Vikwazo vya kiuchumi na 'double standards' za nchi za Magharibi

Vikwazo vya kiuchumi na 'double standards' za nchi za Magharibi

mafutamingi

JF-Expert Member
Joined
Feb 14, 2011
Posts
2,773
Reaction score
2,183
Uvamizi wa nchi ya Ukraine uliofanywa na Urussi umeshuhudia vikwazo lukuki vikiwekwa na nchi za magharibi dhidi ya Urusi.

Kwa wale tuliokuwa watu wazima miaka ya 70 na 80 (akiwemo bwashee) watakumbuka nchi hizo za magharibi zilikataa katakata kuweka vikwazo dhidi ya Afrika Kusini iliyokuwa ikitekeleza sera ya ubaguzi wa rangi katika utawala wake.

Sababu waliokuwa wakiitoa ilikuwa kwamba vikwazo hivyo vingeumiza watu wa kawaida. Hapa najiuliza kwani hakuna watu wa kawaida huko Ukraine? Ama kweli nchi za magharibi zina double standard!
 
Hv mtu akiwa guru , unamchagulia tena cha kufanya
 
Hata YouTube nao wameshusha pigo kwa Russia

 
Wananchi wa Urusi Kwa maelfu wanaandamana kupinga uvamizi unaofanywa na kubwa jinga Put-in kwa Ukraine, ila ajabu Warusi wa Tanzania wanaunga mkono huo uhuni!
 
Wananchi wa Urusi Kwa maelfu wanaandamana kupinga uvamizi unaofanywa na kubwa jinga Put-in kwa Ukraine, ila ajabu Warusi wa Tanzania wanaunga mkono huo uhuni!
Nakazia tena "warusi wa tanzania" ambao wako tandale huko wanashabikia vita wasiyo ijua.
 
IMG_4892.jpg

IMG_4893.jpg

IMG_4890.jpg
 
Mrussia Hana urafiki na mtu,nyie wapuuzi mtambue Hilo,Hana huruma akiachiwa anaweza kufanya lolote katika nchi yoyote akitaka,to much power to the wrong hands it's dangerous
 
Uvamizi wa nchi ya Ukraine uliofanywa na Urussi umeshuhudia vikwazo lukuki vikiwekwa na nchi za magharibi dhidi ya Urusi.

Kwa wale tuliokuwa watu wazima miaka ya 70 na 80 (akiwemo bwashee) watakumbuka nchi hizo za magharibi zilikataa katakata kuweka vikwazo dhidi ya Afrika Kusini iliyokuwa ikitekeleza sera ya ubaguzi wa rangi katika utawala wake.

Sababu waliokuwa wakiitoa ilikuwa kwamba vikwazo hivyo vingeumiza watu wa kawaida. Hapa najiuliza kwani hakuna watu wa kawaida huko Ukraine? Ama kweli nchi za magharibi zina double standard!
Takbiiir
 
Back
Top Bottom