Vikwazo vya mataifa nilivyomuwekea huyu demu vimefanya ajilete mwenyewe

Hivi yule mwandishi wa kitabu cha 'nchi ya kusadikika' anaitwa nani?
 
Hapa Mdogo wangu ndio uliniponipa chai ya saa sita na hili joto duuh!
Nashukuru kwa kulijua hili. Km ana uwezo wa kumpa laki5 kwa wiki mbona ana uwezo wa kuoa wake wa4 kwa mpigo??? Eti bado hajajipanga
 
Nashukuru kwa kulijua hili. Km ana uwezo wa kumpa laki5 kwa wiki mbona ana uwezo wa kuoa wake wa4 kwa mpigo??? Eti bado hajajipanga
Ha ha ha ha chai nyengne inabd tuvumilie tu
 
Moja kabisa atakachokufanyia baada ya kurudi hutokuja kukileta humu.

Pili hili tangazo lako la kuhonga laki tano kwa wiki na gari sijui siku wenzio wamehonga nyumba ya thamani ya million 100 na Range Rover Sports la 2017, na wanatoa kila siku hizo laki tano zako. Huwezi kusema unapesa halafu ukawa unazichezea hivyo. Hakuna mwenye pesa anayemwaga kama nyanya hizo hata jambazi hawezi kuwa na upuuzi namna hiyo. Haya kanye ulale
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…