Vikwazo vyaiumiza Urusi, havijaweza kuipinda, yapata funzo

Vikwazo vyaiumiza Urusi, havijaweza kuipinda, yapata funzo

lee Vladimir cleef

JF-Expert Member
Joined
Feb 5, 2013
Posts
9,571
Reaction score
35,475
Nchi jirani ya Ukraine imesababisha Russia kuingia katika mgogoro mkubwa na West ambao haujawahi tokea tangu kuvunjika kwa USSR.

Russia ni taifa kubwa kieneo,kisayansi,kiteknolojia na hata kiuchumi.

Ina rasilimali nyingi kuliko nchi nyingi duniani ikiwa na mafuta,gesi na madini ya aina nyingi.

Ina viwanda vya kila kitu kuanzia silaha za tek ya hali ya juu, viwanda vya machine, mitambo, magari n.k.

Russia imewekewa vikwazo isiuze bidhaa zake kwa west na hata isinunue baadhi ya bidhaa.
Kwa hali hii hata nchi yeyote hapa duniani ikiwekewa vikwazo kama hivyo itaumia kiuchumi.

Ukizuiwa kupeleka bidhaa zako au kununua bidhaa sokoni utaumia.

HAIJAPINDA
Vikwazo hivi vilikua na lengo la kuipinda Russia au kuiamrisha itii matakwa fulani ya West kuhusu Ukraine.Rassia haijakubali kuwainamia wa West.

FUNZO
Funzo ililopata Russia ni kubwa.

Kuwa inaweza kushambuliwa kiuchumi,kama hivi sasa hivyo imejifunza kujilinda pia kiuchimi.

NATO sio watu wa kuaminika.wanania mbaya na Russia ndio maana bado wana nia ya kujitanua.

Kuwa Russia inatakiwa kuwa na masoko zaidi ya moja.

Hakuna tena kuheshimu mikataba kama ya kupunguza silaha kali,na ushirikiano wa teknolojia.

KITAKACHOTOKEA
Sio vikwazo vyote vinamadhara hasi kwa mda mrefu.

Baada ya miaka kadhaa ijayo pindi Russia itakapokua imevimudu vikwazo hivi na kupata masoko mengine itakua haishikiki,itajitegemea na itakua imara mara dufu.

Kumbuka Russia sio Zimbabwe, sio Cuba, sio Korea kaskazi, sio Iran.

Ina sayansi na teknolojia za hali ya juu sana sawa na West na baadhi hata kushinda West.

Ni suala la mda tu.

Tusubiri.
 
Backfire: How Sanctions, Cheap Oil, and a Weak Ruble Are Sparking Russian Reform

Everything intended to hurt Russia is actually helping to reform the country's economy.

Here's an interesting opinion article on MarketWatch: Sanctions, drop in oil price best things that ever happened to Russia.
A round of punitive sanctions designed to cripple the economy. A collapse in the price of its key commodity. A currency in freefall and a central bank hiking rates to emergency levels while a corrupt, authoritarian government embarks on foreign adventures at potentially huge expense. For the whole of 2014, the Russian economy was the most toxic in the world, with one calamity coming hard after another.​
But here is something nobody expected. In the first quarter of this year, Russia was doing a bit better than anyone could have forecast. We learned last week that the economy managed to grow by 0.4% in the latest quarter, compared to the zero growth or the outright recession that most economists had penciled in. The ruble is the best-performing currency of the last three months. Even the Moscow stock index has started to recover.​
In reality, sanctions and a fall in the oil price might have been the best thing to have happened to Russia since the invention of double-glazing. Why? Because the problem for a country rich in resources and well-educated, creative people has been an over-reliance on energy, and a tight-knit kleptocracy that distributes the wealth it generates. It has failed to create its own industrial economy.​
The predictions of collapse have turned out to be wide of the mark.​
Putin is still in power, and still in possession of Crimea. Nor is there much sign of anything more than short-term damage. A 0.4% quarterly growth rate is not fantastic, but it is better than France, and roughly the same as Germany or Japan.​
True, the forecasts are for gross domestic product to fall for this year the IMF suggest it will contract by more than 3% but those may well turn out to wrong as well. What is certainly true is that the economy has not been devastated.​
The interesting question, however, is whether it might actually be strengthened. That might sound odd. But the main problem for the Russian economy over the past decade was an over-reliance on oil revenues, and a state-led kleptocracy, which stifled the emergence of a productive domestic economy.​
The big reason might well be what plenty of analysts over the years have described as the curse of oil. The black stuff generates lots of easy money, and by filling the state coffers with cash, it makes it relatively easy for a corrupt, authoritarian regime to entrench itself in power. That has been seen in countries ranging from Saudi Arabia, to Saddam Husseins Iraq, and Hugo Chavezs Venezuela. Putins Russia was no different.​
Without oil, Russia will have to develop its own industries. And with sanctions slowing down imports, there will be space for entrepreneurs to move into. The state will become less powerful, because it will have lower oil revenues, and so will the oligarchs. Russia will have the opportunity to gradually replace crony capitalism with competitive capitalism. In the medium term, that can only be for the better.​
Of course, just because it might happen does not mean that it will.​
Keep in mind as well that this is one of the cheapest markets in the world. The Moscow index trades on a price-to-earnings ratio of 6.7, less even than Greece. For an economy that is solvent, and growing at 0.4%, that is a bargain. Sanctions and a collapsing oil price were meant to torpedo Russia but they may end up doing it a favor.​
I sent the article to Pater Tenebrarum at Acting Man. He replied:
It seems Medvedev and his free-market economic advisors have convinced Putin to do just that. It was not reported in the Western press, but a few months ago Putin announced that all inspections of companies will be suspended for at least three years and that company start-ups will be free of taxation for their first two years. Add to that the 13% flat tax, and there could be quite an effect. According to Medvedev's advisors, Russian GDP could improve by $200 billion per year by curbing corruption alone. Since the inspections were the main avenue of corruption, their suspension is a very significant step. Admittedly, the jury is still out on the success of these measures, but they have been taken, and it was in reaction to the sanctions. Also, the author is correct: industry surveys in Russia show that companies see import substitution as a huge growth area over the coming year and have accordingly already increased investment and production.
I bought into Russia near the peak of the panic, but not enough. I have plans to add more.

lee van cliff
Source:

Backfire: How Sanctions, Cheap Oil, and a Weak Ruble Are Sparking Russian Reform
 
Russian Currency Ruble 'miracle' pushes 2015 gains to 15%

The Russian ruble continues its scorching ascent, improving 3% against the dollar and nearly 4% versus the euro, the best performance in over four months. The currency, on of the worst performers in 2014, is now the best in 2015.

Russian ruble seen as worlds best performing currency, hits 2015 high.

The Russian ruble has hit 55.3 to the dollar Monday, its highest value this year. The currency has become the best performer during the first three months of the year, after it finished 2014 as one of the biggest losers.

The ruble gained above one percent against the US dollar, standing at 55.3 and at 60.8 to the euro at the closing on Moscow Exchange on Monday. Oil prices have been one of the drivers for the rubles climb through the day. Brent May futures rose to $56.36 a barrel, up about 3 percent on Saudi Arabias decision to raise its crude sale prices for Asia. WTI traded at $50.48 a barrel.

Read more on:
http://rt.com/business/247145-ruble-winner-gains-economy/
 
On the contrary, the long term loser is going to be the US. Kuna baadhi ya nchi za EU zimeshamshtukia US na hazitaki kuburuzwa tena kwa vikwazo vinavyowaumiza hata wao wenyewe.
Ungekuwa unajua how international financial markets zinavyo fanya kazi usiongea hayo,acha ushabiki and go educate yourself.
 
Russia isnt Libya...wale wanaowaza kwamba nchi kubwa kama Urusi itababaishwa na vikwazo wanakosea

Kama sio nuclear bombs hiyo Russia haina tofauti na Libya mbele ya US,kama Russia kufanyiziwa kishafanyiziwa sana na anajua anytime wanaweza kumfanya walichomfanya Dec 2014,hiyo gas,oil and high tech aliyonayo haviwezi kumsaidia mbele ya US wakiamua kumfanyia ushenzi kiuchumi.
 
Kama sio nuclear bombs hiyo Russia haina tofauti na Libya mbele ya US,kama Russia kufanyiziwa kishafanyiziwa sana na anajua anytime wanaweza kumfanya walichomfanya Dec 2014,hiyo gas,oil and high tech aliyonayo haviwezi kumsaidia mbele ya US wakiamua kumfanyia ushenzi kiuchumi.
Waamue mara ngapi? Labda utueleze wewe unayefahamu malengo ya huo ushenzi ni nini, na yamefanikiwa kwa kiasi gani. Ni marekani huyohuyo aliyelia juzi tu baada ya mashoga wenzake kuomba kujiunga na benki ya maendeleo inayoanzishwa na BRICS, analia nini?
 
Waamue mara ngapi? Labda utueleze wewe unayefahamu malengo ya huo ushenzi ni nini, na yamefanikiwa kwa kiasi gani. Ni marekani huyohuyo aliyelia juzi tu baada ya mashoga wenzake kuomba kujiunga na benki ya maendeleo inayoanzishwa na BRICS, analia nini?

Acha michezo wewe,hao wote AKA BRICS hakuna anayeweza risk kuharibu relation na US ,ngoja nikupe mfano mdogo kabla sijaenda deep,trade btn China and US ina worth more than 700 billions a year sasa tell me BRICS ni nini compare to that trades.
 
Acha michezo wewe,hao wote AKA BRICS hakuna anayeweza risk kuharibu relation na US ,ngoja nikupe mfano mdogo kabla sijaenda deep,trade btn China and US ina worth more than 700 billions a year sasa tell me BRICS ni nini compare to that trades.
Michezo tena! Marekani hakujaribu kuwazuia Waingereza kujiunga na hiyo benki na wao kumkatalia? Anahofia nini?
 
Hii game ya wakubwa jameni,si yetu macho na madhara pia lazima yatufikie.

US anajua vyema uwezo wa Russia lakini bado anafanya anachokifanya,maana yake ni kwamba amejipanga.

Ni hivi hii dunia lazima iwe na mbabe mmoja,na atakuja patikana tu kwa gharama yoyote ile huko mbeleni.
 
Hii game ya wakubwa jameni,si yetu macho na madhara pia lazima yatufikie.

US anajua vyema uwezo wa Russia lakini bado anafanya anachokifanya,maana yake ni kwamba amejipanga.

Ni hivi hii dunia lazima iwe na mbabe mmoja,na atakuja patikana tu kwa gharama yoyote ile huko mbeleni.

Russia yupo pale kubalance the power
 
Russia yupo pale kubalance the power
Multipolar World
... GAUTAMA.. Today's world is underpinned by a multipolar order, which emerged from the rise of developing economies – most notably China – as major actors in trade and finance.

The US – not to mention the other G-7 countries – now must compete and cooperate not only with China, but also with India, Brazil, and others through expanded forums like the G-20.
 
Multipolar World
... GAUTAMA.. Today's world is underpinned by a multipolar order, which emerged from the rise of developing economies – most notably China – as major actors in trade and finance.

The US – not to mention the other G-7 countries – now must compete and cooperate not only with China, but also with India, Brazil, and others through expanded forums like the G-20.
Kuna watumwa wasiotaka kabisa kuusikia ukweli kama huu.
 
Kama sio nuclear bombs hiyo Russia haina tofauti na Libya mbele ya US,kama Russia kufanyiziwa kishafanyiziwa sana na anajua anytime wanaweza kumfanya walichomfanya Dec 2014,hiyo gas,oil and high tech aliyonayo haviwezi kumsaidia mbele ya US wakiamua kumfanyia ushenzi kiuchumi.


leta data na acha ku apply Sayansi Kimu hapa,
 
Back
Top Bottom