Vilabu 15 NBC havijapata mgawo wowote miezi 3

Vilabu 15 NBC havijapata mgawo wowote miezi 3

Dabil

JF-Expert Member
Joined
Sep 30, 2021
Posts
6,823
Reaction score
15,293
Tangu mkataba usainiwe Kati ya GSM na TFF na kushirikisha vilabu 15 ,vilabu havijapata mgawo ndani ya miezi yote mitatu .

Tulisema mkataba wa GSM ni wa kihuni na hawana huo ubavu kudhamini ligi , vilabu 15 vilijifanya vyote vimekubali na njaa zao na kukebehi Simba kumbe wanafanya matangazo ya GSM bure.

GSM ni genge la kihuni wamejaa chupli chupli tu.


Screenshot_20220207-194340.jpg
 
ushauri wangu wa bure vilabu vifungue kesi kwa muda ambao wameitangaza gsm wanastahili malipo.

2CBABA7E-28C1-49AC-867E-EE59FE5F2302.jpeg
 
Hamuoni hapo kuna mgongano wa kimaslahi (conflict if interest) ??

Ni sawa na kesi ya baba tff na gsm alafu mtoto wa baba tff anakuja kulalamika gsm hivi na vile.

Kwanini timu zenyewe zisiongee na tujue sababu haswa??
 
Back
Top Bottom