Vilabu vya Tanzania ambavyo havina viwanja na kila msimu wanakodisha viwanja wakiwemo watoto wa Kariakoo Yanga SC na Simba SC ambao wamekuwa watu wakukodi viwanja kwa miaka mingi ili kutumia katika mechi zao za nyumbani.
Mfano katika msimu uliopita wa 2023/2024 Yanga walitumia uwanja wa Azam Complex Chamazi kama Uwanja wao wa nyumbani baada ya uwanja wa Benjamini Mkapa kufungiwa ili kufanyiwa ukarabati.
Licha hata Simba nao waliutumia lakini tulishuhudia wakihamahama. Lakini katika msimu huu Simba SC wameomba kuutumia uwanja wa KMC uwanja unaomilikiwa na Manispaa ya Kinondoni katika michezo yao ya nyumbani. Licha Yanga nao kama wamevutiwa nao na wamesema wataanza kuutumia pia katika michezo yao ya Ligi kuu 2024/2025.
Sasa gharama za kukodi Uwanja wa KMC ulioko Mwenge jijini Dar es Salaam ni shilingi 6,000,000β¦β¦ shilingi 300,000 na shilingi 200,000 kama alivyovyofafanua meneja wa uwanja huo, Daniel Madenyeka.
Amesema kwa mechi za ligi kuu yani timu yoyote ya Ligi kuu kutaka kuutumia basi gharama yake ni milioni 6, lakini kwaajili ya mazoezi ni laki 3 lakini kwa watu wanapopenda kufanya shooting gharama yake ni laki 2.
Tayari kuna makosa yanaendelea hapo. Yaani unaruhusu timu zisiyo na makazi katika Manispaa ziutumie halafu timu za hapo hapo bado wanasema wanazifikiria kisa hazipo ligi kuu?
Pia tofauti ya bei ya mazoezi na mechi ni kubwa sana, wangebase tu kwa level ya ligi ya watumiaji na siyo kwa kigezo cha kusema hii ni mechi na hii ni mazoezi kwa kuangalia uwepo wa mashabiki.
Wajifunze jinsi ya kufanya hiyo biashara kwa weledi, wasifanye mambo kiserikali. Simba wamecheza hapo bila mashabiki hali kadhalika Yanga, kibiashara unazichaji vipi timu hizo kubwa na zenye uwezo 300K tu kutumua uwanja kucheza mechi hata kama hakuna mashabiki wanaoingia?
Pia udogo wa uwanja na ukosefu wa viti umeturudisha kwa makomandoo wa milangoni na chaka la watu kujikusanyia pesa za milangoni ambazo haziingii katika mifuko ya klabu husika. Inasikitisha sana hilo halikuonekana. Sielewi kilichoshindikana kuweka viti ni nini.
Nina mengi ya kusema kuhusu kasoro za huu mradi ila ngoja niishie hapo.
Tayari kuna makosa yanaendelea hapo. Yaani unaruhusu timu zisiyo na makazi katika Manispaa ziutumie halafu timu za hapo hapo bado wanasema wanazifikiria kisa hazipo ligi kuu?
Pia tofauti ya bei ya mazoezi na mechi ni kubwa sana, wangebase tu kwa level ya ligi ya watumiaji na siyo kwa kigezo cha kusema hii ni mechi na hii ni mazoezi kwa kuangalia uwepo wa mashabiki.
Wajifunze jinsi ya kufanya hiyo biashara kwa weledi, wasifanye mambo kiserikali. Simba wamecheza hapo bila mashabiki hali kadhalika Yanga, kibiashara unazichaji vipi timu hizo kubwa na zenye uwezo 300K tu kutumua uwanja kucheza mechi hata kama hakuna mashabiki wanaoingia?
Pia udogo wa uwanja na ukosefu wa viti umeturudisha kwa makomandoo wa milangoni na chaka la watu kujikusanyia pesa za milangoni ambazo haziingii katika mifuko ya klabu husika. Inasikitisha sana hilo halikuonekana. Sielewi kilichoshindikana kuweka viti ni nini.
Nina mengi ya kusema kuhusu kasoro za huu mradi ila ngoja niishie hapo.
Tayari kuna makosa yanaendelea hapo. Yaani unaruhusu timu zisiyo na makazi katika Manispaa ziutumie halafu timu za hapo hapo bado wanasema wanazifikiria kisa hazipo ligi kuu?
Pia tofauti ya bei ya mazoezi na mechi ni kubwa sana, wangebase tu kwa level ya ligi ya watumiaji na siyo kwa kigezo cha kusema hii ni mechi na hii ni mazoezi kwa kuangalia uwepo wa mashabiki.
Wajifunze jinsi ya kufanya hiyo biashara kwa weledi, wasifanye mambo kiserikali. Simba wamecheza hapo bila mashabiki hali kadhalika Yanga, kibiashara unazichaji vipi timu hizo kubwa na zenye uwezo 300K tu kutumua uwanja kucheza mechi hata kama hakuna mashabiki wanaoingia?
Pia udogo wa uwanja na ukosefu wa viti umeturudisha kwa makomandoo wa milangoni na chaka la watu kujikusanyia pesa za milangoni ambazo haziingii katika mifuko ya klabu husika. Inasikitisha sana hilo halikuonekana. Sielewi kilichoshindikana kuweka viti ni nini.
Nina mengi ya kusema kuhusu kasoro za huu mradi ila ngoja niishie hapo.
Vilabu vya Tanzania ambavyo havina viwanja na kila msimu wanakodisha viwanja wakiwemo watoto wa Kariakoo Yanga SC na Simba SC ambao wamekuwa watu wakukodi viwanja kwa miaka mingi ili kutumia katika mechi zao za nyumbani.
Mfano katika msimu uliopita wa 2023/2024 Yanga walitumia uwanja wa Azam Complex Chamazi kama Uwanja wao wa nyumbani baada ya uwanja wa Benjamini Mkapa kufungiwa ili kufanyiwa ukarabati.
Licha hata Simba nao waliutumia lakini tulishuhudia wakihamahama. Lakini katika msimu huu Simba SC wameomba kuutumia uwanja wa KMC uwanja unaomilikiwa na Manispaa ya Kinondoni katika michezo yao ya nyumbani. Licha Yanga nao kama wamevutiwa nao na wamesema wataanza kuutumia pia katika michezo yao ya Ligi kuu 2024/2025.
Sasa gharama za kukodi Uwanja wa KMC ulioko Mwenge jijini Dar es Salaam ni shilingi 6,000,000β¦β¦ shilingi 300,000 na shilingi 200,000 kama alivyovyofafanua meneja wa uwanja huo, Daniel Madenyeka.
Amesema kwa mechi za ligi kuu yani timu yoyote ya Ligi kuu kutaka kuutumia basi gharama yake ni milioni 6, lakini kwaajili ya mazoezi ni laki 3 lakini kwa watu wanapopenda kufanya shooting gharama yake ni laki 2.
Vilabu vya Tanzania ambavyo havina viwanja na kila msimu wanakodisha viwanja wakiwemo watoto wa Kariakoo Yanga SC na Simba SC ambao wamekuwa watu wakukodi viwanja kwa miaka mingi ili kutumia katika mechi zao za nyumbani.
Mfano katika msimu uliopita wa 2023/2024 Yanga walitumia uwanja wa Azam Complex Chamazi kama Uwanja wao wa nyumbani baada ya uwanja wa Benjamini Mkapa kufungiwa ili kufanyiwa ukarabati.
Licha hata Simba nao waliutumia lakini tulishuhudia wakihamahama. Lakini katika msimu huu Simba SC wameomba kuutumia uwanja wa KMC uwanja unaomilikiwa na Manispaa ya Kinondoni katika michezo yao ya nyumbani. Licha Yanga nao kama wamevutiwa nao na wamesema wataanza kuutumia pia katika michezo yao ya Ligi kuu 2024/2025.
Sasa gharama za kukodi Uwanja wa KMC ulioko Mwenge jijini Dar es Salaam ni shilingi 6,000,000β¦β¦ shilingi 300,000 na shilingi 200,000 kama alivyovyofafanua meneja wa uwanja huo, Daniel Madenyeka.
Amesema kwa mechi za ligi kuu yani timu yoyote ya Ligi kuu kutaka kuutumia basi gharama yake ni milioni 6, lakini kwaajili ya mazoezi ni laki 3 lakini kwa watu wanapopenda kufanya shooting gharama yake ni laki 2.
Vilabu vya Tanzania ambavyo havina viwanja na kila msimu wanakodisha viwanja wakiwemo watoto wa Kariakoo Yanga SC na Simba SC ambao wamekuwa watu wakukodi viwanja kwa miaka mingi ili kutumia katika mechi zao za nyumbani.
Mfano katika msimu uliopita wa 2023/2024 Yanga walitumia uwanja wa Azam Complex Chamazi kama Uwanja wao wa nyumbani baada ya uwanja wa Benjamini Mkapa kufungiwa ili kufanyiwa ukarabati.
Licha hata Simba nao waliutumia lakini tulishuhudia wakihamahama. Lakini katika msimu huu Simba SC wameomba kuutumia uwanja wa KMC uwanja unaomilikiwa na Manispaa ya Kinondoni katika michezo yao ya nyumbani. Licha Yanga nao kama wamevutiwa nao na wamesema wataanza kuutumia pia katika michezo yao ya Ligi kuu 2024/2025.
Sasa gharama za kukodi Uwanja wa KMC ulioko Mwenge jijini Dar es Salaam ni shilingi 6,000,000β¦β¦ shilingi 300,000 na shilingi 200,000 kama alivyovyofafanua meneja wa uwanja huo, Daniel Madenyeka.
Amesema kwa mechi za ligi kuu yani timu yoyote ya Ligi kuu kutaka kuutumia basi gharama yake ni milioni 6, lakini kwaajili ya mazoezi ni laki 3 lakini kwa watu wanapopenda kufanya shooting gharama yake ni laki 2.
Vilabu vya Tanzania ambavyo havina viwanja na kila msimu wanakodisha viwanja wakiwemo watoto wa Kariakoo Yanga SC na Simba SC ambao wamekuwa watu wakukodi viwanja kwa miaka mingi ili kutumia katika mechi zao za nyumbani.
Mfano katika msimu uliopita wa 2023/2024 Yanga walitumia uwanja wa Azam Complex Chamazi kama Uwanja wao wa nyumbani baada ya uwanja wa Benjamini Mkapa kufungiwa ili kufanyiwa ukarabati.
Licha hata Simba nao waliutumia lakini tulishuhudia wakihamahama. Lakini katika msimu huu Simba SC wameomba kuutumia uwanja wa KMC uwanja unaomilikiwa na Manispaa ya Kinondoni katika michezo yao ya nyumbani. Licha Yanga nao kama wamevutiwa nao na wamesema wataanza kuutumia pia katika michezo yao ya Ligi kuu 2024/2025.
Sasa gharama za kukodi Uwanja wa KMC ulioko Mwenge jijini Dar es Salaam ni shilingi 6,000,000β¦β¦ shilingi 300,000 na shilingi 200,000 kama alivyovyofafanua meneja wa uwanja huo, Daniel Madenyeka.
Amesema kwa mechi za ligi kuu yani timu yoyote ya Ligi kuu kutaka kuutumia basi gharama yake ni milioni 6, lakini kwaajili ya mazoezi ni laki 3 lakini kwa watu wanapopenda kufanya shooting gharama yake ni laki 2.