cutelove
JF-Expert Member
- Oct 3, 2017
- 3,448
- 7,972
Nashangaa Yanga kufurahia kutolewa kwa Simba katika hatua ya robo fainali na huku hawafikirii kuwa Simba ni miongoni mwa Vilabu au Timu bora kati Top 8 Afrika
Imagin Afrika ina nchi 56 na kila nchi ina vilabu zaidi ya 10 na huko Afrika Magaribi kuna vilabu vikubwa sana lakini havikuingia hatua hii halafu mtu mzima anaibeza Simba
This is Simba Top 8 Afrika ,sijui Yanga ni ya ngapi Afrika?
Sent using Jamii Forums mobile app
Imagin Afrika ina nchi 56 na kila nchi ina vilabu zaidi ya 10 na huko Afrika Magaribi kuna vilabu vikubwa sana lakini havikuingia hatua hii halafu mtu mzima anaibeza Simba
This is Simba Top 8 Afrika ,sijui Yanga ni ya ngapi Afrika?
Sent using Jamii Forums mobile app