Timu bora 8 Afrika Simba yumo full stopanashika nafasi ya ngapi kwenye rank ya CAF?
[emoji375][emoji375]
Laumu bodi ya ligiYanga hatujafurahi kutolewa kwa Simba ila tumekasirika Simba kuacha viforo vingi kwenye ligi kuu wakati hawana lolote. Walipanga kuchelewesha ligi tu bila ya sababu za msingi.
ni ya 249
Hapo wameangalia mambo kadha wa kadha,aset,gharama za uendeshaji ndo wanaiweka katika kiwango hiko,lakini timu nane bora kwa Sasa Afrika kwa kusakata soka Simba imo, nadhani umenielewani ya 249
[emoji375][emoji375]
Hakuna jipya ndugu! Hata Yanga tulikuwa miongoni mwa timu 8 bora Afrika ( 1998)!Nashangaa Yanga kufurahia kutolewa kwa Simba katika hatua ya robo fainali na huku hawafikirii kuwa Simba ni miongoni mwa Vilabu au Timu bora kati Top 8 Afrika
Imagin Afrika ina nchi 56 na kila nchi ina vilabu zaidi ya 10 na huko Afrika Magaribi kuna vilabu vikubwa sana lakini havikuingia hatua hii halafu mtu mzima anaibeza Simba
This is Simba Top 8 Afrika ,sijui Yanga ni ya ngapi Afrika?
Sent using Jamii Forums mobile app
UjingaNashangaa Yanga kufurahia kutolewa kwa Simba katika hatua ya robo fainali na huku hawafikirii kuwa Simba ni miongoni mwa Vilabu au Timu bora kati Top 8 Afrika
Imagin Afrika ina nchi 56 na kila nchi ina vilabu zaidi ya 10 na huko Afrika Magaribi kuna vilabu vikubwa sana lakini havikuingia hatua hii halafu mtu mzima anaibeza Simba
This is Simba Top 8 Afrika ,sijui Yanga ni ya ngapi Afrika?
Sent using Jamii Forums mobile app
Marehemu alikuwa na mdomo sana.Nashangaa Yanga kufurahia kutolewa kwa Simba katika hatua ya robo fainali na huku hawafikirii kuwa Simba ni miongoni mwa Vilabu au Timu bora kati Top 8 Afrika
Imagin Afrika ina nchi 56 na kila nchi ina vilabu zaidi ya 10 na huko Afrika Magaribi kuna vilabu vikubwa sana lakini havikuingia hatua hii halafu mtu mzima anaibeza Simba
This is Simba Top 8 Afrika ,sijui Yanga ni ya ngapi Afrika?
Sent using Jamii Forums mobile app
wewe wa kike tulia kapikie wa toto chakula na muandalie mmeo maji ya kuoga afu kakitulize.Hapo wameangalia mambo kadha wa kadha,aset,gharama za uendeshaji ndo wanaiweka katika kiwango hiko,lakini timu nane bora kwa Sasa Afrika kwa kusakata soka Simba imo, nadhani umenielewa
Sent using Jamii Forums mobile app
ndo mmebakiza kujifariji jayosasa hivi yanga kushiriki klabu bingwa asahau. ajiandae tu na kombe la shirikisho. Simba mwakani aenda tena safiri akiwa usajili wa nguvu.
Sent using Jamii Forums mobile app
Mla ni mla Leo,Jana nini?Hakuna jipya ndugu! Hata Yanga tulikuwa miongoni mwa timu 8 bora Afrika ( 1998)!
Sent using Jamii Forums mobile app
ndo mmebakiza kujifariji jayo
[emoji375][emoji375]