beth
JF-Expert Member
- Aug 19, 2012
- 3,880
- 6,368
Vilabu vyote 20 vya Ligi Kuu ya England zimepiga kura ya kurejea mazoezini kwa vikundi vidogo kuanzia Jumanne
Kura hiyo iliyokuja baada ya kikao cha wadau kimetajwa kuwa hatua ya kwanza katika kuanza msimu wa 2019/20
Taarifa ya Ligi hiyo imesema makubaliano ya hatua hiyo yamehusisha wachezaji, makocha, madaktari wa vilabu, wataalamu binafsi na serikali
Pia imeelezwa kuwa, wachezaji watarejea mazoezini huku wakizingatia umbali baina yao, pia hawataruhisiwa kugusana
======
All 20 English Premier League clubs on Monday voted unanimously to return to small-group training beginning on Tuesday.
The vote, which took place following a meeting of shareholders, is the first step towards restarting the 2019-20 season.
The protocol is widely reported to include training in groups of no more than five players, getting changed at home and driving to the training ground on their own.
"Step One of the Return to Training Protocol enables squads to train while maintaining social distancing. Contact training is not yet permitted," the Premier League said in a statement.
All professional football in England is currently suspended indefinitely.
Kura hiyo iliyokuja baada ya kikao cha wadau kimetajwa kuwa hatua ya kwanza katika kuanza msimu wa 2019/20
Taarifa ya Ligi hiyo imesema makubaliano ya hatua hiyo yamehusisha wachezaji, makocha, madaktari wa vilabu, wataalamu binafsi na serikali
Pia imeelezwa kuwa, wachezaji watarejea mazoezini huku wakizingatia umbali baina yao, pia hawataruhisiwa kugusana
======
All 20 English Premier League clubs on Monday voted unanimously to return to small-group training beginning on Tuesday.
The vote, which took place following a meeting of shareholders, is the first step towards restarting the 2019-20 season.
The protocol is widely reported to include training in groups of no more than five players, getting changed at home and driving to the training ground on their own.
"Step One of the Return to Training Protocol enables squads to train while maintaining social distancing. Contact training is not yet permitted," the Premier League said in a statement.
The Premier League told CNN on Friday that June 12 is the earliest, hypothetical start date for the resumption of play."This first stage has been agreed in consultation with players, managers, Premier League club doctors, independent experts and the Government," the statement read.
All professional football in England is currently suspended indefinitely.