Uchaguzi 2020 Vimbwanga Chaguzi za CCM: Baada ya Rushwa wahamia kwenye uchawi

Determinantor

Platinum Member
Joined
Mar 17, 2008
Posts
59,045
Reaction score
94,974
Chama dola kilichoshindwa kudhibiti rushwa hata kwa Wajumbe wake kimeibuka na mpango mkakati mpya wa kupata kura za Wajumbe kwa kutumia ndumba!

Maelezo kamili haya haya kwenye attachment.

Eti ndio CCM wanapiga kelele kudhibiti rushwa, wameshindwa rushwa wamehamia kwenye nyumba baada ya miaka 40!

Sasa wanategemea Rushwa, Polisi, Mahakama, TISS na wakaona haitoshi wakaamua kutumia ndumba.
 

Attachments

  • IMG-20200726-WA0156.jpg
    46.9 KB · Views: 2
Sasa hizo ni harakati za Chama au za mtu ndani ya Chama? Ina maana huna ywezo wa kusoma kuelewa na kutofautisha matukio?
 
 
Kila mtu ana imani kwa kile anachokiamini ila mwenye uwezo na mpangaji wa yote ni mmoja tuu na ndie anayetupa uhai.
Ndio maana kuna wanaotumia imani za asili wameshindwa, na pia wapo wanaotumia imani za mzungu na mu Arab pia washindwa.
 
Kila mtu ana imani kwa kile anachokiamini ila mwenye uwezo na mpangaji wa yote ni mmoja tuu na ndie anayetupa uhai.
Ndio maana kuna wanaotumia imani za asili wameshindwa, na pia wapo wanaotumia imani za mzungu na mu Arab pia washindwa.
Sawa Boss!
 
Chama kinaundwa na kitu gani? Nyie ni wala rushwa na Wachawi. Full stop
Inawezekana huyo ndio aliyeangusha huo mzigo.
Hicho chama ni hatari sana, unakumbuka Askofu Kakobe kabla hajawa compromised aliwahi kusema kuna watu wanaongoza chama kiuno ni kizito kwa mahirizi?
Ndipo walianza kumshughulikia maTRA
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…