Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Pichisha 🙂🙂🙂Biashara ina mambo mengi sana, katika biashara yangu leo asubuhi mbele ya malango nimekuta manyonya ya kuku, kichwa cha paka, kucha za binadamu na damu.
Hii hatari sana.
wanakutisha tu hao, mimi nyumbani kwangu tu, nilikuta damu nyingi mlangoni na naishi mwenyewe, nikafuta nikaendelea na mambo yangu, kesho yake narudi kutoka kwenye mishe nafungua mlango namkuta njiwa amekaa kwenye stendi ya TV ananiangalia😂😂😂😂, nikasema karibu mgeni kwa kunitembelea nikafunga mlango nikaanza kuimba tenzi, nikashusha mvua ya maombi usema Amen njiwa simuoniMuamini Muumba wako huku ukizidisha sala na dua kwa wingi wala usiogope ivo vitu piga moto endelea na mishe zako
Hao wanakutia khofu tu ili usiendelee
Mkuu usiogope. Hiyo ni "competition matrix" ya mshindani wako wa kibiashara. Wewe tafuta tu chura aliyehai mshonee katika kitambaa cheusi na nyekundu mfano wa hirizi inayopumua kisha na wewe nenda pia kaitupie hapo hapo. Ebu sikilizia kwa siku kama mbili upate kuona matokeo yake.Biashara ina mambo mengi sana, katika biashara yangu leo asubuhi mbele ya malango nimekuta manyonya ya kuku, kichwa cha paka, kucha za binadamu na damu.
Hii hatari sana.
Tunataka picha mkuuBiashara ina mambo mengi sana, katika biashara yangu leo asubuhi mbele ya malango nimekuta manyonya ya kuku, kichwa cha paka, kucha za binadamu na damu.
Hii hatari sana.
Nadhani ulimaanisha vimbwangaBiashara ina mambo mengi sana, katika biashara yangu leo asubuhi mbele ya malango nimekuta manyonya ya kuku, kichwa cha paka, kucha za binadamu na damu.
Hii hatari sana.
Nadhani ulimaanisha vimbwangaBiashara ina mambo mengi sana, katika biashara yangu leo asubuhi mbele ya malango nimekuta manyonya ya kuku, kichwa cha paka, kucha za binadamu na damu.
Hii hatari sana.
Vimwagie mkojo ama chumvi kisha fagia tia mafuta Piga kibiritiBiashara ina mambo mengi sana, katika biashara yangu leo asubuhi mbele ya malango nimekuta manyonya ya kuku, kichwa cha paka, kucha za binadamu na damu.
Hii hatari sana.
Nadhani ulimaanisha vimbwanga
Vimwagie mkojo ama chumvi kisha fagia tia mafuta Piga kibiriti
Mlisoma chuo kimoja cha haya mambo?Kojolea, mwagia chumvi ,piga kiberiti
Mkuu nakucheki PM naona umefunga, kuna ishu nilikuwa nataka unisaidie.Tunataka picha mkuu
Nishakucheki mkuuMkuu nakucheki PM naona umefunga, kuna ishu nilikuwa nataka unisaidie.
Sent from my Infinix PR652B using JamiiForums mobile app
Unapimwa ili waone upepo wako upoje.Biashara ina mambo mengi sana, katika biashara yangu leo asubuhi mbele ya malango nimekuta manyonya ya kuku, kichwa cha paka, kucha za binadamu na damu.
Hii hatari sana.
Mimi ni mzee Kaka ,nione huruma hata Mimi basiwanakutisha tu hao, mimi nyumbani kwangu tu, nilikuta damu nyingi mlangoni na naishi mwenyewe, nikafuta nikaendelea na mambo yangu, kesho yake narudi kutoka kwenye mishe nafungua mlango namkuta njiwa amekaa kwenye stendi ya TV ananiangalia😂😂😂😂, nikasema karibu mgeni kwa kunitembelea nikafunga mlango nikaanza kuimba tenzi, nikashusha mvua ya maombi usema Amen njiwa simuoni