Vimbwanga katika Biashara

Vimbwanga katika Biashara

Bullshit

JF-Expert Member
Joined
Nov 30, 2016
Posts
1,357
Reaction score
1,596
Biashara ina mambo mengi sana, katika biashara yangu leo asubuhi mbele ya malango nimekuta manyonya ya kuku, kichwa cha paka, kucha za binadamu na damu.

Hii hatari sana.
 
Muamini Muumba wako huku ukizidisha sala na dua kwa wingi wala usiogope ivo vitu piga moto endelea na mishe zako

Hao wanakutia khofu tu ili usiendelee
 
Biashara ina mambo mengi sana, katika biashara yangu leo asubuhi mbele ya malango nimekuta manyonya ya kuku, kichwa cha paka, kucha za binadamu na damu.

Hii hatari sana.
Pichisha 🙂🙂🙂
 
Muamini Muumba wako huku ukizidisha sala na dua kwa wingi wala usiogope ivo vitu piga moto endelea na mishe zako

Hao wanakutia khofu tu ili usiendelee
wanakutisha tu hao, mimi nyumbani kwangu tu, nilikuta damu nyingi mlangoni na naishi mwenyewe, nikafuta nikaendelea na mambo yangu, kesho yake narudi kutoka kwenye mishe nafungua mlango namkuta njiwa amekaa kwenye stendi ya TV ananiangalia😂😂😂😂, nikasema karibu mgeni kwa kunitembelea nikafunga mlango nikaanza kuimba tenzi, nikashusha mvua ya maombi usema Amen njiwa simuoni
 
Biashara ina mambo mengi sana, katika biashara yangu leo asubuhi mbele ya malango nimekuta manyonya ya kuku, kichwa cha paka, kucha za binadamu na damu.

Hii hatari sana.
Mkuu usiogope. Hiyo ni "competition matrix" ya mshindani wako wa kibiashara. Wewe tafuta tu chura aliyehai mshonee katika kitambaa cheusi na nyekundu mfano wa hirizi inayopumua kisha na wewe nenda pia kaitupie hapo hapo. Ebu sikilizia kwa siku kama mbili upate kuona matokeo yake.
 
Biashara ina mambo mengi sana, katika biashara yangu leo asubuhi mbele ya malango nimekuta manyonya ya kuku, kichwa cha paka, kucha za binadamu na damu.

Hii hatari sana.
Tunataka picha mkuu
 
Biashara ina mambo mengi sana, katika biashara yangu leo asubuhi mbele ya malango nimekuta manyonya ya kuku, kichwa cha paka, kucha za binadamu na damu.

Hii hatari sana.
Nadhani ulimaanisha vimbwanga
Biashara ina mambo mengi sana, katika biashara yangu leo asubuhi mbele ya malango nimekuta manyonya ya kuku, kichwa cha paka, kucha za binadamu na damu.

Hii hatari sana.
Vimwagie mkojo ama chumvi kisha fagia tia mafuta Piga kibiriti
 
Biashara ina mambo mengi sana, katika biashara yangu leo asubuhi mbele ya malango nimekuta manyonya ya kuku, kichwa cha paka, kucha za binadamu na damu.

Hii hatari sana.
Unapimwa ili waone upepo wako upoje.

Ila umaskini na uchawi ni inseparable 😆😆😆
 
wanakutisha tu hao, mimi nyumbani kwangu tu, nilikuta damu nyingi mlangoni na naishi mwenyewe, nikafuta nikaendelea na mambo yangu, kesho yake narudi kutoka kwenye mishe nafungua mlango namkuta njiwa amekaa kwenye stendi ya TV ananiangalia😂😂😂😂, nikasema karibu mgeni kwa kunitembelea nikafunga mlango nikaanza kuimba tenzi, nikashusha mvua ya maombi usema Amen njiwa simuoni
Mimi ni mzee Kaka ,nione huruma hata Mimi basi
 
Back
Top Bottom