kanchibay
JF-Expert Member
- Jan 4, 2019
- 671
- 690
Hello! Mabib na Mabwana, habari za siku nyingine mpya? Naamini ladies and gentlemen mpo salama kabisa.
Kwa mujibu wa kichwa cha Thread hii bwana, kutoka mtaani kwetu nimeshuhudia vimbwanga na vituko mbalimbali,
Sikumoja hivi karibuni niliwahi kushuhudia mtu mmoja ambaye alikua akichukiwa na kundi fulan la vijana kwa watu wazima.
Duh! Ama kweli binadam Mungu anatuona, mtu yule alifanyiwa kisanga ambacho sijawahi ona, kunasiku sasa kund la watu lili panga kumshambulia kisaikolojia, kwanza kabisa watu wale walianza kumuwinda huyo bwana, walimpangia mipango ya kumtenga mfano, walihakikisha akijisaidia kwenye choo cha mtu fulani wanakibomoa choo hicho na kukifukia kaabisa, ilifikia hatua mpaka raia wakaogopa vyoo vyao visifukiwe kwa kumfukuza yule bwana walipo muona akitaka kujisaidia kwenye vyoo vyao, Jamaa yule alihangaika sana akawa anataka kuwa anajisaidia mbugani bahati mbaya nako wakawa wana mfuata, duh! Wanadam wabaya sana jamaa kitambi kiliisha, hilo nalo tukaliona.
Baada ya hiyo hatua ya kwanza kupita wakapanga mbinu nyingine ya kumpa hofu, lakini tu lengo ni kumpa pschological unrest, kundi hilo la watu likaanza tena kumfukuza kwa mwanga wa torch ifikapo usiku akiwa matembezini, so alipokua akitoka nyumbani kwake muda wa usiku alikua akiona kuna watu wamewasha tochi wakiwa wanamfukuza kwa kasi, doh! Jamaa alihaha kweli kweli yani na mbaya zaidi mazingira alokua akiishi nikuwa umeme upo senta pekeyake, so ilikua ngumu kuweza kuwatambua watu wanaomfanyia hivyo, duh! Mpaka jamaa alihama eneo na kuelekea wilaya nyingine.
Itaendelea...
Iwapo ndugu msomaji pia ushawahi kuona vituko na vimbwanga kutoka kitaani kwako iweke hapa tuweze kujifunza, maana ugumu ndio hutufunza na kutuonyesha njia ya kujikwamua kwenye tatizo husika.
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwa mujibu wa kichwa cha Thread hii bwana, kutoka mtaani kwetu nimeshuhudia vimbwanga na vituko mbalimbali,
Sikumoja hivi karibuni niliwahi kushuhudia mtu mmoja ambaye alikua akichukiwa na kundi fulan la vijana kwa watu wazima.
Duh! Ama kweli binadam Mungu anatuona, mtu yule alifanyiwa kisanga ambacho sijawahi ona, kunasiku sasa kund la watu lili panga kumshambulia kisaikolojia, kwanza kabisa watu wale walianza kumuwinda huyo bwana, walimpangia mipango ya kumtenga mfano, walihakikisha akijisaidia kwenye choo cha mtu fulani wanakibomoa choo hicho na kukifukia kaabisa, ilifikia hatua mpaka raia wakaogopa vyoo vyao visifukiwe kwa kumfukuza yule bwana walipo muona akitaka kujisaidia kwenye vyoo vyao, Jamaa yule alihangaika sana akawa anataka kuwa anajisaidia mbugani bahati mbaya nako wakawa wana mfuata, duh! Wanadam wabaya sana jamaa kitambi kiliisha, hilo nalo tukaliona.
Baada ya hiyo hatua ya kwanza kupita wakapanga mbinu nyingine ya kumpa hofu, lakini tu lengo ni kumpa pschological unrest, kundi hilo la watu likaanza tena kumfukuza kwa mwanga wa torch ifikapo usiku akiwa matembezini, so alipokua akitoka nyumbani kwake muda wa usiku alikua akiona kuna watu wamewasha tochi wakiwa wanamfukuza kwa kasi, doh! Jamaa alihaha kweli kweli yani na mbaya zaidi mazingira alokua akiishi nikuwa umeme upo senta pekeyake, so ilikua ngumu kuweza kuwatambua watu wanaomfanyia hivyo, duh! Mpaka jamaa alihama eneo na kuelekea wilaya nyingine.
Itaendelea...
Iwapo ndugu msomaji pia ushawahi kuona vituko na vimbwanga kutoka kitaani kwako iweke hapa tuweze kujifunza, maana ugumu ndio hutufunza na kutuonyesha njia ya kujikwamua kwenye tatizo husika.
Sent using Jamii Forums mobile app