Vimbwanga vya Mademu

STUNTER

JF-Expert Member
Joined
Dec 15, 2015
Posts
13,076
Reaction score
17,247
Unapewa number na demu halafu anakuambia uwe unampigia saa 12 asubuhi
pekee, unashindwa kuelewa na kujiuliza maswali mengi ni kwanini?

Kidogo kidogo unachunguza na kugundua kuwa amekusave "alarm". Huu mchezo hauhitaji hasira...!
 
aiseeeeeeeeeee.......!

zoezi la uhakiki wa vyeti liendelee tafadhari,....!
 
aiseeeeeeeeeee.......!

zoezi la uhakiki wa vyeti liendelee tafadhari,....!
Unataka kusema kuwa cheti cha mtoa mada kina walakini? mimi km nakuelewa vile
 
Unataka kusema kuwa cheti cha mtoa mada kina walakini? mimi km nakuelewa vile
mkuu hayo mimi sijasema mkuu.....ingawa nawe una hoja pia kiongozi,..!
hoja yangu ni-zoezi la kuhakiki vyeti liendelee ili Tz ya viwanda iwezekane mkuu.
 
mkuu hayo mimi sijasema mkuu.....ingawa nawe una hoja pia kiongozi,..!
hoja yangu ni-zoezi la kuhakiki vyeti liendelee ili Tz ya viwanda iwezekane mkuu.
Hahaha.......mkuu naona unaogopa personal attack lkn inaonekana umemusema mtoa mada indirect, hata hivyo hoja yako sawiya sana.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…