Muke Ya Muzungu
JF-Expert Member
- Jun 17, 2009
- 3,444
- 265
haya majitu ya kitanzania maarufu au yenye hela yanamatatizo. Sijui niseme ulimbukeni
1. Hasheem anapigana na watu kwenye ma-club, ana tembea na VOGUE Dar, linapiga muziki mkubwa IFM ili lipate attention, toto la sinza lishamba! hapo hapo kwenye redio na TV anajifanya hajui kiswahili!
2. Mwenzie John Mashaka mshamba mkurya, ananunua heka mia moja heti ranch? wakati amehamisha masikini karibia familia 50 huko mbweni baharini. Huu ni ushamba mtupu, akiweza kujenga kwenye heka 100 kwa sababu anafanya wall-street basi na mimi nanunua Private Jet. Yaani heka mia moja yote kazungushia fensi, wakati natives wa eneo hilo wote kawanunua na kuwatoa kwenye makazi yao hata na wenye familia. Makubwa!!!
Wadau haki iko wapi?
1. Hasheem anapigana na watu kwenye ma-club, ana tembea na VOGUE Dar, linapiga muziki mkubwa IFM ili lipate attention, toto la sinza lishamba! hapo hapo kwenye redio na TV anajifanya hajui kiswahili!
2. Mwenzie John Mashaka mshamba mkurya, ananunua heka mia moja heti ranch? wakati amehamisha masikini karibia familia 50 huko mbweni baharini. Huu ni ushamba mtupu, akiweza kujenga kwenye heka 100 kwa sababu anafanya wall-street basi na mimi nanunua Private Jet. Yaani heka mia moja yote kazungushia fensi, wakati natives wa eneo hilo wote kawanunua na kuwatoa kwenye makazi yao hata na wenye familia. Makubwa!!!
Wadau haki iko wapi?