Vimbwanga vya wenye majina sijui, stars wa kitanzania !!!

Vimbwanga vya wenye majina sijui, stars wa kitanzania !!!

Muke Ya Muzungu

JF-Expert Member
Joined
Jun 17, 2009
Posts
3,444
Reaction score
265
haya majitu ya kitanzania maarufu au yenye hela yanamatatizo. Sijui niseme ulimbukeni
1. Hasheem anapigana na watu kwenye ma-club, ana tembea na VOGUE Dar, linapiga muziki mkubwa IFM ili lipate attention, toto la sinza lishamba! hapo hapo kwenye redio na TV anajifanya hajui kiswahili!

2. Mwenzie John Mashaka mshamba mkurya, ananunua heka mia moja heti ranch? wakati amehamisha masikini karibia familia 50 huko mbweni baharini. Huu ni ushamba mtupu, akiweza kujenga kwenye heka 100 kwa sababu anafanya wall-street basi na mimi nanunua Private Jet. Yaani heka mia moja yote kazungushia fensi, wakati natives wa eneo hilo wote kawanunua na kuwatoa kwenye makazi yao hata na wenye familia. Makubwa!!!

Wadau haki iko wapi?
 
haya majitu ya kitanzania maarufu au yenye hela yanamatatizo. Sijui niseme ulimbukeni
1. Hasheem anapigana na watu kwenye ma-club, ana tembea na VOGUE Dar, linapiga muziki mkubwa IFM ili lipate attention, toto la sinza lishamba! hapo hapo kwenye redio na TV anajifanya hajui kiswahili!

2. Mwenzie John Mashaka mshamba mkurya, ananunua heka mia moja heti ranch? wakati amehamisha masikini karibia familia 50 huko mbweni baharini. Huu ni ushamba mtupu, akiweza kujenga kwenye heka 100 kwa sababu anafanya wall-street basi na mimi nanunua Private Jet. Yaani heka mia moja yote kazungushia fensi, wakati natives wa eneo hilo wote kawanunua na kuwatoa kwenye makazi yao hata na wenye familia. Makubwa!!!

Wadau haki iko wapi?

BTW, who is Mashaka!.

Sijategemea na we "FISI - ADI- ORIGINAL uanze kuulizia ilipo haki wakati watu wanatumia hela zao bana!...

Kwani tabu mtu kununua eneo kama ana mijihela inamsumbua na anataka kuongeza?? Au tabu bapi kununua Vogue na kupiga Muziki Mukubwa iwapo wale unaotaka wajue nawe upo hawana muda na wewe??.. Binafsi nadhani ni sehemu ya maisha mzee yasikuumize sana haya yapo mengi yanakuja, we tulia tu angaikia masisha yako na familia vinginevyo utakosa usingizi bure wakati wenzio wanazidi kuruka !!!
 
Back
Top Bottom