Vina kubomoa vima neno hivi?

bbwaoy

JF-Expert Member
Joined
Apr 17, 2015
Posts
466
Reaction score
468
Una tuma sms kwa mtu ana jibu huku sms ikiwa imechanganyika na tuma neno hutu..

tyu _ tu
Jomoni_ jamani
xaxa_sasa
K_ okay
Vepe_vipi
Buana_ Bwana/Bana
Exn_Thanks
G9t_Goodnight
Poah_Poa

Share mengine yano kukera katika uandishi wa sms.....
 
Cn…sina
Mby…mbaya
Nzr…nzuri

Mimi mtu hanitumii msg ya aina hii nikaijibu , kwangu ni marufuku sms za kijinga hivi
 
Cn…sina
Mby…mbaya
Nzr…nzuri

Mimi mtu hanitumii msg ya aina hii nikaijibu , kwangu ni marufuku sms za kijinga hivi
 
Cn…sina
Mby…mbaya
Nzr…nzuri

Mimi mtu hanitumii msg ya aina hii nikaijibu , kwangu ni marufuku sms za kijinga hivi
Tp p1 xn mkuu coz maisha yanataka tuwe ivyo
 
Una tuma sms kwa mtu ana jibu huku sms ikiwa imechanganyika na tuma neno hutu..

tyu _ tu
Jomoni_ jamani
xaxa_sasa
K_ okay
Vepe_vipi
Buana_ Bwana/Bana
Exn_Thanks
G9t_Goodnight
Poah_Poa

Share mengine yano kukera katika uandishi wa sms.....
Kuna mdada aliniandikia ...4ne
Akimaanisha phone

Ilinichukua karibia wiki nzima kuelewa
 
P
Yan sipendagi mtu anijibu hivyo lingine dime kabsa yan, mm jitu likinitxt hivyo na mm nalijb "k"
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…