Vinara wa cord wakubali kushirikiana na kenyatta kuleta maridhiano

Vinara wa cord wakubali kushirikiana na kenyatta kuleta maridhiano

lopeighz

Member
Joined
Apr 5, 2013
Posts
13
Reaction score
2
SNFRONTUHURU1304.jpg

SI HASA ni SIASA... Pichani kushoto ni Rais mpya wa Kenya Muheshimiwa Uhuru Kenyatta akifuatiwa na makamu wake William Ruto na aliyekuwa mpinzani mkubwa kabisa wa rais Kenyatta bwana Raila Ondinga pamoja na Kalonzo Musyoka wakifurahi kwa pamoja hapo jana katika Ikulu ya Kenya.Kwa msiujua siasa ni nini hii sasa ndio siasa,Jenga nchini kwa amani na masikilizano,hakuna kupigana wala kusumbua wananchi.Hongereni wakenya kwa kumaliza salama uchaguzi wenu.
Jumapili njema.
 
SNFRONTUHURU1304.jpg

SI HASA ni SIASA... Pichani kushoto ni Rais mpya wa Kenya Muheshimiwa Uhuru Kenyatta akifuatiwa na makamu wake William Ruto na aliyekuwa mpinzani mkubwa kabisa wa rais Kenyatta bwana Raila Ondinga pamoja na Kalonzo Musyoka wakifurahi kwa pamoja hapo jana katika Ikulu ya Kenya.Kwa msiujua siasa ni nini hii sasa ndio siasa,Jenga nchini kwa amani na masikilizano,hakuna kupigana wala kusumbua wananchi.Hongereni wakenya kwa kumaliza salama uchaguzi wenu.
Jumapili njema.

Chapeni kazi wakenya nadhanbi mnaweza kuendelea kuwaonyesha wabongo namna siasa isivyo na unafiki na siasa za majitaka kama huku kwetu.
 
Kwa wakened mnasema chapeni kazi Zanzibar wanashirikiana mnasema ccm b
 
Back
Top Bottom