johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 97,869
- 171,716
Huyo aliwahi kuyumba lakini amerejea mstariniUmemsahau Mzee Dr Slaa!
Picha zao plzKwanza Kabisa niwatakie Heri ya Mwaka mpya Wakongwe hawa wa Vyama Vya Upinzani
Pili niwaambie Kuwa Taifa zima linawategemea katika kutuongoza kuipata Katiba mpya na Tume Huru ya Uchaguzi
Ninyi Wazee hamjawahi kuyumba wala kuyumbishwa kwenye Siasa za Upinzani kama wanavyoyumbishwa Vijana na Jumuiya za akina mama
Mlale Unono π
Mdini semaUmemsahau Mzee Dr Slaa!
Siku zote ujinga ujinga tuKwanza Kabisa niwatakie Heri ya Mwaka mpya Wakongwe hawa wa Vyama Vya Upinzani
Pili niwaambie Kuwa Taifa zima linawategemea katika kutuongoza kuipata Katiba mpya na Tume Huru ya Uchaguzi
Ninyi Wazee hamjawahi kuyumba wala kuyumbishwa kwenye Siasa za Upinzani kama wanavyoyumbishwa Vijana na Jumuiya za akina mama
Mlale Unono [emoji1]
Basi tukuweke na wewe hapo Bavicha Tanga magofu πππ₯Siku zote ujinga ujinga tu
Acha kuchafua hali ya hewaLissu vipi
Basi wewe ndiye mdiniMdini sema