ndege JOHN
JF-Expert Member
- Aug 5, 2015
- 21,643
- 51,642
Kuna vile vi spy voice recorder vidogo vidogo unaweza ukakaweka ofisini kwa mtu au nyumbani kwa mtu ili unase anayoongea.Si kwa ubaya nauliza tu hapa dar naweza kuvipata sehemu gani?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kweli mkuu amazon na alixpress vinauzwa...nilidhani labda kuna maduka hapa posta au kariakoo vinaweza kupatikanaHivyo nadhani mpaka kuagiza online, ila ngoja wajuzi wengine waje
Phonepoint posta kama unaelekea salamander tower nilinunua miwano spy glassesKuna vile vi spy voice recorder vidogo vidogo unaweza ukakaweka ofisini kwa mtu au nyumbani kwa mtu ili unase anayoongea.Si kwa ubaya nauliza tu hapa dar naweza kuvipata sehemu gani?
Waulize Wafanyakazi wa Clouds Media Group (Radio and Television) kwani karibia Wote wanavyo. Ukikutana na Mfanyakazi yoyote wa Clouds Media Group (hasa Mwandishi wa Habari au Mtangazaji wa Redio au Television) kuwa makini sana katika Kuropoka Kwako kwani utaishia Jela. Nimemaliza.Kuna vile vi spy voice recorder vidogo vidogo unaweza ukakaweka ofisini kwa mtu au nyumbani kwa mtu ili unase anayoongea.Si kwa ubaya nauliza tu hapa dar naweza kuvipata sehemu gani?
Una agenda ya mapenzi? Mimi kuna watu ntawadaka kwa njia hio Nina vifaa vya kiutafiti nimepewa na partners wangu wa Belgium, hata watekaji unawanasa uzuri tuKuna vile vi spy voice recorder vidogo vidogo unaweza ukakaweka ofisini kwa mtu au nyumbani kwa mtu ili unase anayoongea.Si kwa ubaya nauliza tu hapa dar naweza kuvipata sehemu gani?
Karibu tukuhudumieKuna vile vi spy voice recorder vidogo vidogo unaweza ukakaweka ofisini kwa mtu au nyumbani kwa mtu ili unase anayoongea.Si kwa ubaya nauliza tu hapa dar naweza kuvipata sehemu gani?
Kausha radio ya idara Ile!!Waulize Wafanyakazi wa Clouds Media Group (Radio and Television) kwani karibia Wote wanavyo. Ukikutana na Mfanyakazi yoyote wa Clouds Media Group (hasa Mwandishi wa Habari au Mtangazaji wa Redio au Television) kuwa makini sana katika Kuropoka Kwako kwani utaishia Jela. Nimemaliza.
Najua hilo Kitambo sana tu kama ilivyo kwa Gazeti la Majira, Business Times na Radio yao ya Times FM.Kausha radio ya idara Ile!!
Na Hiyo miwani ndio inakuajeKaribu tukuhudumie
Ufukunyuku ukizidi sana unaweza kuchukua maamuzi magumuMpige chini asikuumize kichwa.
Mtaa wa Uhuru maduka yoyote coz ndiyo mtaa unaodili na vifaa vya eletroniki vya kisasa, agents wa makampuni makubwa ya mawasiliano wapo mtaa huo.Kuna vile vi spy voice recorder vidogo vidogo
Miwani zipo za aina tatu 1. Zinazorecord video na Sauti 2. Zinazo piga picha na 3 zenye fanya zote 2... zipo pen kama camera na voice recodersNa Hiyo miwani ndio inakuaje
Mashushushu wa Jf mtufafanulie
Wale wa BBC wana mpaka mini(spy cameras) zaidi ya moja, na muda wote zipo active,....Waulize Wafanyakazi wa Clouds Media Group (Radio and Television) kwani karibia Wote wanavyo. Ukikutana na Mfanyakazi yoyote wa Clouds Media Group (hasa Mwandishi wa Habari au Mtangazaji wa Redio au Television) kuwa makini sana katika Kuropoka Kwako kwani utaishia Jela. Nimemaliza.