Ngolewise New Member Joined May 28, 2021 Posts 2 Reaction score 2 Jun 15, 2021 #1 Kama ilinyo elezwa apo juu vinatafutwa viti vya asili ka. A hii picha inavyoonekana. Location viwe kanda ya ziwa bei iwekwe hapa mimi ni mgeni wa huu mtandao, staweza kuja inbox πΈπππ
Kama ilinyo elezwa apo juu vinatafutwa viti vya asili ka. A hii picha inavyoonekana. Location viwe kanda ya ziwa bei iwekwe hapa mimi ni mgeni wa huu mtandao, staweza kuja inbox πΈπππ
Kibukuasili JF-Expert Member Joined May 15, 2010 Posts 1,053 Reaction score 615 Jun 15, 2021 #2 tafuta fundi mwonyeshe hii picha atakupa makadirio. BTW: picha nzuri, pametulia
Smart911 Platinum Member Joined Jan 3, 2014 Posts 135,167 Reaction score 160,806 Jun 15, 2021 #3 Ngoja waje kukupa muongozo...
EastSun Member Joined Apr 28, 2020 Posts 40 Reaction score 55 Jun 21, 2021 #4 0672018368 ,huyu ni fundi wa viti vya asili mcheki kiongozi
EastSun Member Joined Apr 28, 2020 Posts 40 Reaction score 55 Jun 21, 2021 #5 0672018368, hizo ni baadhi ya kazi zao so whatever sample unahitaji wacheki
EastSun Member Joined Apr 28, 2020 Posts 40 Reaction score 55 Jun 21, 2021 #6 0767937314 so sorry namba nyingine kwa ajili ya mawasiliano na WhatsApp ni hiyo pia kwa ajili ya kupata viti vya asili
0767937314 so sorry namba nyingine kwa ajili ya mawasiliano na WhatsApp ni hiyo pia kwa ajili ya kupata viti vya asili
No SQL JF-Expert Member Joined Nov 8, 2014 Posts 7,063 Reaction score 12,563 Jun 22, 2021 #7 Bei zake nazo ni za asili ...tupe bei
EastSun Member Joined Apr 28, 2020 Posts 40 Reaction score 55 Jun 23, 2021 #8 Hivyo vidogo bei ni Laki moja na nusu na meza ni 90 elfu