Vinega wawaogopa Clouds Fm!!clouds Inatisha yoo!!

Vinega wawaogopa Clouds Fm!!clouds Inatisha yoo!!

Greater thinker

JF-Expert Member
Joined
Sep 12, 2011
Posts
286
Reaction score
38
Mara baada tu ya kumaliza tamasha lao pale k/nyama 26/11 vinega hawa j3 yake wakatangaza kuwa 'Mbeya your next' sasa mara baada tu ya clouds+airtel kutangaza kuwa tour ya Bongo50 itakwenda mbeya wiki hii,vinega hawa baada ya kufunikwa dar,wakaona mmmhhh bora wakimbilie Arusha..chek show zao zenyewe wanavyojikongoja tangu wafanye dar 26/11 wanapga A.town 18/12 sasa hadi kumaliza Tz nzma si itawachukua karne nzma?kwa nn wacwe kama fiesta au epiq nation?kila week show? sa sijui watawakimbia mpaka lini?yoo!!
 
and there goes yob in the name of great thinker, yoo

....great stink indeed
 

  • [h=6]Joseph Mbilinyi

    [/h][h=6] I'm in Arusha with Mbeya in my mind...thanks to Blackberry coz I can work from anywhere in the world...tha MP![/h]


 
Mtoa maada ovyo! Wamekupa hela nini? Yaani ukweli unaonekana na kila mtu anafahamu afu unakuja ku*a usingizi!
Mimi si kada kokote bali unaoneka na nina video zote nimezidownload toka youtube.KAZIANGALIE AFU URUDI KUCOMMENT.
 
Mara baada tu ya kumaliza tamasha lao pale k/nyama 26/11 vinega hawa j3 yake wakatangaza kuwa 'Mbeya your next' sasa mara baada tu ya clouds+airtel kutangaza kuwa tour ya Bongo50 itakwenda mbeya wiki hii,vinega hawa baada ya kufunikwa dar,wakaona mmmhhh bora wakimbilie Arusha..chek show zao zenyewe wanavyojikongoja tangu wafanye dar 26/11 wanapga A.town 18/12 sasa hadi kumaliza Tz nzma si itawachukua karne nzma?kwa nn wacwe kama fiesta au epiq nation?kila week show? sa sijui watawakimbia mpaka lini?yoo!!

Mitihani ya form four inakusubiri wee kalia show tu kila siku, utazungusha necta afu tuone hao wafu fm sijui watakusaidia nini.
 
Mara baada tu ya kumaliza tamasha lao pale k/nyama 26/11 vinega hawa j3 yake wakatangaza kuwa 'Mbeya your next' sasa mara baada tu ya clouds+airtel kutangaza kuwa tour ya Bongo50 itakwenda mbeya wiki hii,vinega hawa baada ya kufunikwa dar,wakaona mmmhhh bora wakimbilie Arusha..chek show zao zenyewe wanavyojikongoja tangu wafanye dar 26/11 wanapga A.town 18/12 sasa hadi kumaliza Tz nzma si itawachukua karne nzma?kwa nn wacwe kama fiesta au epiq nation?kila week show? sa sijui watawakimbia mpaka lini?yoo!!

ww GT umetumwa na hao wafu fm,unataka wapange show kwa ratiba yako ww au ya hao mabwana zako wa clauz? acha majungu ww mtt wa kiume,watakukameruni ukiendelea na umbweha huo...sio lazima uandike kitu hapa JF kama huna kitu ambacho hujakifanyia utafiti tulia msimulie bwana wako au peleka kule kwa low understanding wenzako wa FB
 
Mara baada tu ya kumaliza tamasha lao pale k/nyama 26/11 vinega hawa j3 yake wakatangaza kuwa 'Mbeya your next' sasa mara baada tu ya clouds+airtel kutangaza kuwa tour ya Bongo50 itakwenda mbeya wiki hii,vinega hawa baada ya kufunikwa dar,wakaona mmmhhh bora wakimbilie Arusha..chek show zao zenyewe wanavyojikongoja tangu wafanye dar 26/11 wanapga A.town 18/12 sasa hadi kumaliza Tz nzma si itawachukua karne nzma?kwa nn wacwe kama fiesta au epiq nation?kila week show? sa sijui watawakimbia mpaka lini?yoo!!

Mkuu kutakuwa na factor nyingine kama za kifedhana na mambo mengine kama hayo kwa mwanzo ni mgumu
 
Mara baada tu ya kumaliza tamasha lao pale k/nyama 26/11 vinega hawa j3 yake wakatangaza kuwa 'Mbeya your next' sasa mara baada tu ya clouds+airtel kutangaza kuwa tour ya Bongo50 itakwenda mbeya wiki hii,vinega hawa baada ya kufunikwa dar,wakaona mmmhhh bora wakimbilie Arusha..chek show zao zenyewe wanavyojikongoja tangu wafanye dar 26/11 wanapga A.town 18/12 sasa hadi kumaliza Tz nzma si itawachukua karne nzma?kwa nn wacwe kama fiesta au epiq nation?kila week show? sa sijui watawakimbia mpaka lini?yoo!!

kila wiki show? hao watu wanatumia maji nini? show nzuri na yenye mvuto mala nyingi hukaa ama uandaliwa kwa mda mrefu huwezi kukurupuka tu,
nadhani hawa jamaa Vinega watafanya mambo mazuri sana pasipo kuwaangalia mawingu usoni

Vinega go go go go go go
 
Sugu anastahili pongezi show zote anapiga pasipo tumia sponsor yeyote yani Deiwaka Entertainment ndo inafanya kazi daaaa Sugu moto chini anti-virus with no apology
 
mkuu unajua fiesta ilikuwa dar pekee yake ndio wakaanzakwenda mikoani baada ya miaka kadhaa sasa wewe mtu kaanza fasta na tour za mikoa inatakiwa umkubali halafu ni mkono wao wenyewe sio wa makampuni ya udhamini..

kikubwa hapa ni kujua kwa nini imba muziki hawataki kuungana ili watoe kodi zao kwa serikali na pia waweze kuendelea hata siku moja clouds hawafanyi kitu kwa hasara kwa hiyo siku moja mtajua anafanya nini pole sana bendera GT
 
Vinega daima kwa Maendeleo endelevu ya Musik industry hapa Tz sio Wafu fm wanawatumia Wasanii kama big G. Sugu moto chiini endelea kuscan hao Virus
 
jukwaa lishaanza kujengwa tripple A kesho kazi ni moja kuwascan virus afu mwambie RUGAY na yeye atunge kitabu coz kitabu cha Sugu kinauzwa watu wanakinunua kinyama! Ye si anapenda ligi atunge na kitabu kuhusu maisha yake ya u.s.h.o.g.a
 
Back
Top Bottom