Greater thinker
JF-Expert Member
- Sep 12, 2011
- 286
- 38
Mara baada tu ya kumaliza tamasha lao pale k/nyama 26/11 vinega hawa j3 yake wakatangaza kuwa 'Mbeya your next' sasa mara baada tu ya clouds+airtel kutangaza kuwa tour ya Bongo50 itakwenda mbeya wiki hii,vinega hawa baada ya kufunikwa dar,wakaona mmmhhh bora wakimbilie Arusha..chek show zao zenyewe wanavyojikongoja tangu wafanye dar 26/11 wanapga A.town 18/12 sasa hadi kumaliza Tz nzma si itawachukua karne nzma?kwa nn wacwe kama fiesta au epiq nation?kila week show? sa sijui watawakimbia mpaka lini?yoo!!

