Vinega wawaogopa Clouds Fm!!clouds Inatisha yoo!!

utakuwa unawaza kwa kutumia makwapa yako, hakuna point hapo unafuka pumba tu
 
We ni mwehu tu.hata LWP,Afande na Babu walishasahaulika na wafu fm lakini kwa kishindo cha vinega wafu ikabidi iwakumbuke hili waonekane sio wabaguzi. Vinega imewapa hao masnitch wako somo.
 
Tunatupia tu kwenye nyavu zao..wataokota wao. Kesho tripple A vinega wamepanda ndege kwenda A town kwenda kuwascan na kuwadelete mash.oga wote km wewe yoo yoo.
 
nami niseme tu mtoa mada katumwa wallahi laadhim
 
wangekuwa wanawaogopa clouds wasingefanya uzinduzi wa album dar
 
Big up Sugu na Vinega wote kwa harakati hizi kwani tayari matunda yake twayaona.cloudz wasanii waliowaona hawafai leo hii wanawapandisha jukwaani.kelele za hawa misukule hazikuanza leo, hata yule nyama ya kusaga anaonekana f*la
 

Umenisikitisha sana user id yako haifanani na utumbo uliouandika.
Zaidi ulichofanya ww kuleta ushabiki, ukweli ni kwamba baada ya show ya vinega pale ustawi wa jamii clouds pamoja na kumleta msanii mkali wa mtoni show ilionekana famba na haikufanya vema kama clouds ilivozoeleka. Khs kufanya show kila wiki ni utaratibu wa ratiba yao kama ambavyo epiq na nbongo 50 iliyo na ratiba!

Acha ushabiki vinega kwa speed na status yao wanaelekea kuiharibu kbs status nzr waliyokuwa nayo clouds kabla!
 
We ndio moja ya wale mnaovaa nguo za kike!
 
tuu tuu twee,kijamaika zaidi
 
Sugu huwezi kupambana Clouds hata siku moja na hizo Virus zako!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…