Ving'amuzi vinavyotumia internet

daraja la kigamboni

JF-Expert Member
Joined
Apr 28, 2016
Posts
3,127
Reaction score
3,062
Naomba kujua hivi ving'amuzi vinavyotumia moderm/internet vinaitwaje, bei yake na vipi kuhusu matumizi ya bundle.
Naomba kuwasilisha
 
Utakuwa unamaanisha TV Box, hizi ni kama computer au simu iliyounganishwa kwenye TV, zinatumia Android mara nyingi na App ni kama za kwenye simu so zinakula data kama hivyo hivyo, zinahitaji wifi au wired internet, kama hauna unlimited internet utateseka. Haina "channel" ni juu yako kutafuta vitu vya kuangalia kama vile kwenye simu.

Bei zinatofautiana kuendana na uwezo wa processor n.k unaweza kucheki TV box aliexpress utaona.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…