Ving'amuzi visivyojulikana tishio kwa DSTV na Azam

Ving'amuzi visivyojulikana tishio kwa DSTV na Azam

Kaka yake shetani

JF-Expert Member
Joined
Feb 1, 2023
Posts
5,771
Reaction score
14,732
Kuna vifaa vingi vinavyoingia tanzania kwa vile wapo sababu ya kukusanya pesa ndani ya chama ila ndio tatizo.

Niliagiza ving'amuzi ambacho unalipa kwa mfumo wa crypto kinafanya channel zote dstv na azam ili mradi tu kuwa na dishi yenye masafa uweelekeo.

bado nasisitizia dola tutaisikia mtaani
 
Back
Top Bottom