Peramiho yetu
JF-Expert Member
- May 25, 2018
- 5,303
- 14,983
Ina sikitisha Sana ina maana viongoz hawaumii na hii timu juu ya matokeo maana naona Wana nenepeana tu huku sisi mashabiki tunakonda na nywele zina nyonyoka kwa mawazo wengine hatuli vizur chakula hakipiti kooni
Nirud kwenye mada Nchimbi alisajiliwa YANGA kuja kufunga s kudrible au kukaba hadi Sasa mchezaj ana mwaka mmoja na na mwezi hajawah ifungia timu hata goli nasikia hata kwenye mazoezi hajawah kufunga viongoz na makocha hawaoni hili tatizo
Wangemtoa kwa mkopo timu yoyote ili kukuza kiwango au abadili mazingira maana nafas anapata lakn haonyesh mabadiriko
GSM wanaharibu timu wanagawa wachezaji kuna wachezaj wanalipwa na mwekezaj na wengine wanalipwa na susi mashabiki hapo napo n tatizo
YANGA inaviongozi vilaza Sana sijawahi ona jaman
Nirud kwenye mada Nchimbi alisajiliwa YANGA kuja kufunga s kudrible au kukaba hadi Sasa mchezaj ana mwaka mmoja na na mwezi hajawah ifungia timu hata goli nasikia hata kwenye mazoezi hajawah kufunga viongoz na makocha hawaoni hili tatizo
Wangemtoa kwa mkopo timu yoyote ili kukuza kiwango au abadili mazingira maana nafas anapata lakn haonyesh mabadiriko
GSM wanaharibu timu wanagawa wachezaji kuna wachezaj wanalipwa na mwekezaj na wengine wanalipwa na susi mashabiki hapo napo n tatizo
YANGA inaviongozi vilaza Sana sijawahi ona jaman