Vinyozi mnapelekaga wapi nywele zetu?

Vinyozi mnapelekaga wapi nywele zetu?

lukelo sakafu

JF-Expert Member
Joined
Feb 19, 2015
Posts
2,938
Reaction score
517
Jamani hivi hawa vinyozi wakishanyoa nywele zetu huwa wanazipeleka wapi?
 
Hua zinatengenezewa mito ya kulalia kitandani
nyinine hua zinauzwa nje ya nchi halafu wana tengenezea wigi za wanawake usishangae muhindi au mwarabu ana kipili pili na yeye ana choka kuwa na nywele za kuteleza so ana nunua wigi la nywele za kipilipili
bilashaka jibu limekutosha.
 
jamani hivi hawa vinyozi wakishanyoa nywele zetu huwa wanazipeleka wapi?
Wewe wasiwasi wako nini?

Unaenda Salon kwa lengo la kupunguza nywele ili upendeze, sasa hizo nywele ukishanyolewa unaziulizia tena zinakwenda wapi?

Vipi una wasiwasi kuwa zinapelekwa kwa Sangoma?

Lakini ninachojua mimi ni kuwa hizo nywele huwa hao vinyozi wanazitumbukiza kwenye malori yanayosomba takataka mitaani na hatimaye hayo malori ya taka yanaenda kuzibwaga kwenye madampo.
 
jamani hivi hawa vinyozi uwa wanapelekaga wapi nywele zetu? maana nimejiuliza sana bila ya kupata majibu.
 
we nywele za sehemu nyingine unazipelekaga wapi?
 
Yaani nilipoona "title" nikajua hii mada ni yako tu. Teh teh teh!
 
Hua zinatengenezewa mito ya kulalia kitandani
nyinine hua zinauzwa nje ya nchi halafu wana tengenezea wigi za wanawake usishangae muhindi au mwarabu ana kipili pili na yeye ana choka kuwa na nywele za kuteleza so ana nunua wigi la nywele za kipilipili
bilashaka jibu limekutosha.

Hahahaaaa you made my day lol
 
Hua zinatengenezewa mito ya kulalia kitandani
nyinine hua zinauzwa nje ya nchi halafu wana tengenezea wigi za wanawake usishangae muhindi au mwarabu ana kipili pili na yeye ana choka kuwa na nywele za kuteleza so ana nunua wigi la nywele za kipilipili
bilashaka jibu limekutosha.

loading.....
 
Nikinyolewa huchukua nywele zangu nikazitupe chooni nyumbani, siachi salon hata mara moja.
 
saluni za Kigoma na Sumbawanga!
:becky::becky::becky::becky:.....
 
Back
Top Bottom