Zero Hours
JF-Expert Member
- Apr 1, 2011
- 12,942
- 18,669
Kinyozi hajinyoiNunua mashine tu unanyoa nyumbani na familia yako, nina mwaka sijafika saloon.
Wife ndo kinyozi wanguKinyozi hajinyoi
Iyo nayo kaliNa wauza nyama choma wananuka midomo sana
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Nadhan kwa wale waliopo humu watakuwa wamekuelewa [emoji2] [emoji2]
Sio ivyo. Unajua kinyozi anapokuwa anakunyoa mara nyingi anakuwa karibu sana na wewe. Sasa pale anapofunua kinwa na kukuta hewa ni chafu inaboa sana.Ni ushauri mzuri, lakini mkuu ukienda kwa kinyozi kwani unaenda kupata French kiss? Nyolewa urudi kwako ya kinyozi mwachie kinyozi.
Sijaanza kunyoa leo. Mimi husafiri mara kwa mara so huwa natumia salooni tofauti. Na wengi wenu mnatoa harufu.Wewe Unatudhalilisha Vinyozi......!!!!Tutake Radhi
Ulitakiwa kudeal na huyo kinyozi wako Wa Uswahilini Ili Ajirekebishe.
Mtu mwenyewe ukinyolewa unalialia Unatoa madusco Nusu
Huna AdabuSijaanza kunyoa leo. Mimi husafiri mara kwa mara so huwa natumia salooni tofauti. Na wengi wenu mnatoa harufu.