Mtoto wa Mkulima
JF-Expert Member
- Apr 12, 2007
- 681
- 134
hahah nimecheka mie watu wanavyo hadi tukananaaaaa
Jamani ktika pita pita yangu kwenye mtandao nimekutana na huu ubishi wa watu hadi kufikia hatua ya kutukanana.
Kisha jamaa kaenda Hollywood kupiga picha. Nadhani JF mnaweza kutoa ushauri kwa wasanii wa Bongo. Fungua link below.
https://www.blogger.com/comment.g?blogID=17229004&postID=3825014518168713194
na picha zenyewe ziko hapa.
http://swahilitime.blogspot.com/search/label/Steven Kanumba