Twilumba
JF-Expert Member
- Dec 5, 2010
- 12,576
- 14,522
Nipongeze awamu zote zilizojikita kwenye wazo na hatimaye kumamilika kwa train ya mwendo kasi ya SGR.
Kiukweli ni mapinduzi hasa kwenye nyanja ya usafiri katika maeneo yanayopitiwa na kufukiwa na usafiri huo.
sambamba na hilo vipo vioja ambavyo kwa kweli vipekuwa vikiwakumba baadhi ya abiria hasa nadhani kutokana na kutokuchukulia vitu kwa wepesi na kawaida.
Mimi katika safari kadhaa nilizosafr from Dar/Moro/Dom kuna vioja nimeshuhudia;
1. Mheshimiwa tena aliwahi kuwa waziri aligoma kukaa siti ambayo alikaa tofauti na uelekeo wa train akasema yeye atasikia kizunguzungu😅
2. Wadada waliachwa na train wakiwa wanapiga picha nje ya jengo la train (mizaha na niseme ushamba iliwazidi)
3. Ilikuwa wakimbiaji wanatoka NBC Marathon wakawa wamebeba na pale vinjwaji vyao (mapombe makali) waliambiwa waache pale pale...wacha wa mind.
Umeshuhudia kioja gan na wewe ongeza watu tuzid kujifunza...
Kiukweli ni mapinduzi hasa kwenye nyanja ya usafiri katika maeneo yanayopitiwa na kufukiwa na usafiri huo.
sambamba na hilo vipo vioja ambavyo kwa kweli vipekuwa vikiwakumba baadhi ya abiria hasa nadhani kutokana na kutokuchukulia vitu kwa wepesi na kawaida.
Mimi katika safari kadhaa nilizosafr from Dar/Moro/Dom kuna vioja nimeshuhudia;
1. Mheshimiwa tena aliwahi kuwa waziri aligoma kukaa siti ambayo alikaa tofauti na uelekeo wa train akasema yeye atasikia kizunguzungu😅
2. Wadada waliachwa na train wakiwa wanapiga picha nje ya jengo la train (mizaha na niseme ushamba iliwazidi)
3. Ilikuwa wakimbiaji wanatoka NBC Marathon wakawa wamebeba na pale vinjwaji vyao (mapombe makali) waliambiwa waache pale pale...wacha wa mind.
Umeshuhudia kioja gan na wewe ongeza watu tuzid kujifunza...