Elections 2010 Vioja vyaanza rasmi Bungeni

huyu mama watamuuwa kwa bp maana bunge la safari hii ni hatari sana lina watu makini vibaya sana.....hivi Sitta yupo ukumbini kweli?

kamanda yupo Bungeni kama kawa, na nyeti nilizopata ni kuwa ile kura iliyoharibika jana kwenye kumteua huyo mama, jamaa kura yake iliharibika, katoa somo already, siasa za mkuu wa kaya ni za visasi kweli, sijui tunaelekea wapi.
 
Nahsi ntakuwa na mis sana lectures kwa ajili ya bunge, kwa maana yanayojiri bungeni hivi leo yananipa mshawasha wakupenda hili bunge
 

bunge letu likifikia hapo nitafurahi ili niwe na-enjoy kama ambavyo huwa na-enjoy bunge la mafia wa Italy. Huwa upande mmoja ukielemewa na wakiona hawataafikiana huwa wanakamatana tie na kuchapana ngumi.
I wonder humo bungeni nani ataweza kumkwida Freeman na kimo chake hicho. Mnyika should be on alert kumtorosha mzee Ndesamburo
 
She had a string of individuals who fathered her kids...so the grand kids(brats) are a mix of characters...what a home!!!

no wonder she is like that. unajua kila ukoo una shetani lake sasa amemix mashetani tofauti tofauti wengi!
 
kamanda yupo Bungeni kama kawa, na nyeti nilizopata ni kuwa ile kura iliyoharibika jana kwenye kumteua huyo mama, jamaa kura yake iliharibika, katoa somo already, siasa za mkuu wa kaya ni za visasi kweli, sijui tunaelekea wapi.

confirmed jana hakuwepo na hakupiga kura.
 
hii nchi tutakwenda sawa tu na wala hatuna haja ya vita ikiwezekana tutakua tunaenda kuwasubiria pale nje ya bunge na viboko mpaka hapo watakapokubali kufanya kazi kwa maslahi ya watanzania wote.
 
Hii inaonyesha ni jinsi CCM walivojidhatiti kufanya ukandamizaji katika bunge hiliyangu masikio kwa hili duh Tanzania demokrasi imekufa kabisa hadi bungeni hakuna kitu. Hivi ndivyo walivyojiandaa CCM tusubiri oppression kutoka kwa kibibi kilichochaguliwa leo
 
ssm wanampango wa kupeleka FFU bungeni, kwani imewafaa sana kwenye kupora ushindi!!!!!
 


safiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii chadema safiiiiiiiiii sanaaaaaaa,kafuuuuuuuuu walieeeeeeeeeee tuuuuuuuuuuuuuuu zama zetu hizi na daima
 
Can you elaborate please? How many kids and how many individulas who father these kids?
 
huo ni mwanzo. ubabe, udhalilishaji wa wawakilishi wakati wanatetea maslahi ya nchi yao na ya wananchi ndo utatawala. mimi namjua huyo mama. wana JF mtaona
 
huo ni mwanzo. ubabe, udhalilishaji wa wawakilishi wakati wanatetea maslahi ya nchi yao na ya wananchi ndo utatawala. mimi namjua huyo mama. wana JF mtaona
 
hiyo ni rasharasha......mvua yenyewe bado. ngoja bunge lianze rasmi. maana kwa umakini huu ulioanza mapema kiasi kihi mmmmh
 
Sendeka ana kiherehere utadhani kuku!!!! Ndiyo maana hata Lowassa kamchukia kwa kitendo cha kuropoka kujifanya msafi wakati wote mafisadi.

Zitto ni noma kamto baru utadhani mbwa mwizi pamoja na kitumbo chake. Kweli ukijua sheria ni raha mustarehe!!!!
 

lakini mmemuona anna abdalah akiapa huku ameshika bible kushoto
 
Can you elaborate please? How many kids and how many individulas who father these kids?

huo sasa unaitwa kutaka Kutafuniwa.....
we information nyingine Tafuta mwenyewe kama unaona zitakusaidia ku add Value kwa Maisha yako...:tape:
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…