Viongozi 2 wa serikali kwenda kwenye mkutano wa BILDERBERG Ugiriki weekend hii

Viongozi 2 wa serikali kwenda kwenye mkutano wa BILDERBERG Ugiriki weekend hii

Game Theory

JF-Expert Member
Joined
Sep 5, 2006
Posts
8,546
Reaction score
855
Je ni nani hapo?

Anyway Mkutano utachukua viongozi kama 130 na naamini AFRICA itawakilishwa na nchi kadhaa ikiwemo Tanzania maana siku hizi tuko kila kona for reasons ambazo nadhani wote tunazijua

Kwenye mkutano ajenda zitakuwa nyingi lakini naamini tangu civil war ya Kenya sie tunaonekana watu wa maana na hasa kwenye mambo ya EAC na infact tunaweza kupush ajenda yetu ya Comoro c/o Nafsika Astir Palace Hotel, Apollonos Avenue 40, 16671 Vouliagmeni, Greece.

Kila nchi itawasilishwa na viongozi wa 2 wa serikali sasa kilichobaki ni kubet kiongozi gani atakuwa Europe kuanzia this weekend

Anyway kwa maelezo zaidi ya hawa jamaa soma hapa:

ohhh kama hujui nazungumzia nini soma hapa:


[ame=http://en.wikipedia.org/wiki/Bilderberg_group]Bilderberg Group - Wikipedia, the free encyclopedia[/ame]
The Bilderberg Group, Bilderberg conference, or Bilderberg Club is an "off the record" meeting of around 130 transatlantic political and military leaders, business and banking executives, royalty and other power elites. It has been meeting annually since 1954. Despite its influence on postwar history, which arguably eclipses that of the G8 conference, it does not not have a web site and nor does it publicly release records of its meetings.
This year's meeting is stated to be in Greece from 14 May 2009-16 May 2009
.
 
Je ni nani hapo?

Anyway Mkutano utachukua viongozi kama 130 na naamini AFRICA itawakilishwa na nchi kadhaa ikiwemo Tanzania maana siku hizi tuko kila kona for reasons ambazo nadhani wote tunazijua

Kwenye mkutano ajenda zitakuwa nyingi lakini naamini tangu civil war ya Kenya sie tunaonekana watu wa maana na hasa kwenye mambo ya EAC na infact tunaweza kupush ajenda yetu ya Comoro c/o Nafsika Astir Palace Hotel, Apollonos Avenue 40, 16671 Vouliagmeni, Greece.

Kila nchi itawasilishwa na viongozi wa 2 wa serikali sasa kilichobaki ni kubet kiongozi gani atakuwa Europe kuanzia this weekend

Anyway kwa maelezo zaidi ya hawa jamaa soma hapa:

ohhh kama hujui nazungumzia nini soma hapa:


Bilderberg Group - Wikipedia, the free encyclopedia.

tukishabet then what?
 
Je ni nani hapo?

Anyway Mkutano utachukua viongozi kama 130 na naamini AFRICA itawakilishwa na nchi kadhaa ikiwemo Tanzania maana siku hizi tuko kila kona for reasons ambazo nadhani wote tunazijua

Kwenye mkutano ajenda zitakuwa nyingi lakini naamini tangu civil war ya Kenya sie tunaonekana watu wa maana na hasa kwenye mambo ya EAC na infact tunaweza kupush ajenda yetu ya Comoro c/o Nafsika Astir Palace Hotel, Apollonos Avenue 40, 16671 Vouliagmeni, Greece.

Kila nchi itawasilishwa na viongozi wa 2 wa serikali sasa kilichobaki ni kubet kiongozi gani atakuwa Europe kuanzia this weekendAnyway kwa maelezo zaidi ya hawa jamaa soma hapa:

ohhh kama hujui nazungumzia nini soma hapa:


Bilderberg Group - Wikipedia, the free encyclopedia.

GT na RA
 
GT

Vipi ndugu yangu, mbona siku hizi haueleweki; nini kimekusibu mwenzetu?
 
mzee gm vp mkuu au ndio jioni njema au weekend kwako inaanza thursday.hahahah
 
mzee gt vp mkuu au ndio jioni njema au weekend kwako imeanza thursday...hahahah
 
GT i see u been hitting that 'gud shit' People do not have the capacity to understand these things.wachunie tuu mkubwa... All it does is make u look more cookoo than u already are..lol
 
Per Diem tu hapo, watu hawajui hata kuhifadhi mabomu wataenda kufanya nini strategic huko?
 
Yes hawa jamaa ni secret society..Inasemekana hawa jamaa wana maguvu ktk Wall Street na wameikamata US Fed Reserves kama mali yao binafsi, and from this it turns out these people are the ones ruling the world. They decide what should be and shouldn't be done. Hussein Obama ndiye kiranja na official stamp ya kupitisha moves zao.

Guys you gotta watch this documentary, 'The Obama Deception' ..its good to watch it...i would recommend it to everyone ..inaweza kuwafumbua macho wengine msojua kwa nini nchi yetu kwa nini inakuwa robbed systematically na watu walewale day in day out.
 
at last wanaoelewa wameingia...maana mwanzo kulikuwa na ukuta mzito sana...
 
Yes hawa jamaa ni secret society..Inasemekana hawa jamaa wana maguvu ktk Wall Street na wameikamata US Fed Reserves kama mali yao binafsi, and from this it turns out these people are the ones ruling the world. They decide what should be and shouldn't be done. Hussein Obama ndiye kiranja na official stamp ya kupitisha moves zao.

Guys you gotta watch this documentary, 'The Obama Deception' ..its good to watch it...i would recommend it to everyone ..inaweza kuwafumbua macho wengine msojua kwa nini nchi yetu kwa nini inakuwa robbed systematically na watu walewale day in day out.

Nimeiona Obama deception lakini ukiitazama kwa mbaaali utaona kuwa its kinda true kuwa Obama is just a front man used by "the elite" to serve their agenda..try telling that to the so called great thinkers wa JF ambao kwa kuanza walikuwa hawajui what this group does exactly
 
Nimeiona Obama deception lakini ukiitazama kwa mbaaali utaona kuwa its kinda true kuwa Obama is just a front man used by "the elite" to serve their agenda..try telling that to the so called great thinkers wa JF ambao kwa kuanza walikuwa hawajui what this group does exactly

Yes Hussein Obama is a puppet and a slave, and ironically Osama bin Laden said it too, and people where like oooh..Osama is a madman and a racist!

Its pretty sad kwamba Obama atawezesha juhudi zilizoanzishwa na Bush za kukwapua rasilimali za Africa kwa kutumia weusi wake. Naona anaanza safari Ghana..and as expected ndg zetu Wakenya wanaanza kijiba cha roho eti kwa nini aanzie Ghana..if they only knew..gullibility..lol


This is what Prof Griff (Public Enemy founder) had to say:

Obama has been given a pass by the blueboods, and the ok to join certain secret societies. He's being used to implement the globalist NWO agenda, and to deceive the public into thinking he's about good change. Nothing could be further from the truth. Imperial Fascism gets a facelift- Now a Black face, to suck in the rest of the world in the African population. - Professor Griff (founder Public Enemy)
 
GT, hao ma-elite wetu(I'm thinking gavana wa benki kuu na wa pili sijui) walialikwa au ni members? Agenda kubwa ya mkutano wa mwaka huu ilikuwa ni maswala ya fedha. Wakati huo huo naona Bretton Woods committee wamessuport kuongeza kwa funds kwa IMF.
 
Back
Top Bottom