Game Theory
JF-Expert Member
- Sep 5, 2006
- 8,546
- 855
Je ni nani hapo?
Anyway Mkutano utachukua viongozi kama 130 na naamini AFRICA itawakilishwa na nchi kadhaa ikiwemo Tanzania maana siku hizi tuko kila kona for reasons ambazo nadhani wote tunazijua
Kwenye mkutano ajenda zitakuwa nyingi lakini naamini tangu civil war ya Kenya sie tunaonekana watu wa maana na hasa kwenye mambo ya EAC na infact tunaweza kupush ajenda yetu ya Comoro c/o Nafsika Astir Palace Hotel, Apollonos Avenue 40, 16671 Vouliagmeni, Greece.
Kila nchi itawasilishwa na viongozi wa 2 wa serikali sasa kilichobaki ni kubet kiongozi gani atakuwa Europe kuanzia this weekend
Anyway kwa maelezo zaidi ya hawa jamaa soma hapa:
ohhh kama hujui nazungumzia nini soma hapa:
[ame=http://en.wikipedia.org/wiki/Bilderberg_group]Bilderberg Group - Wikipedia, the free encyclopedia[/ame]
Anyway Mkutano utachukua viongozi kama 130 na naamini AFRICA itawakilishwa na nchi kadhaa ikiwemo Tanzania maana siku hizi tuko kila kona for reasons ambazo nadhani wote tunazijua
Kwenye mkutano ajenda zitakuwa nyingi lakini naamini tangu civil war ya Kenya sie tunaonekana watu wa maana na hasa kwenye mambo ya EAC na infact tunaweza kupush ajenda yetu ya Comoro c/o Nafsika Astir Palace Hotel, Apollonos Avenue 40, 16671 Vouliagmeni, Greece.
Kila nchi itawasilishwa na viongozi wa 2 wa serikali sasa kilichobaki ni kubet kiongozi gani atakuwa Europe kuanzia this weekend
Anyway kwa maelezo zaidi ya hawa jamaa soma hapa:
ohhh kama hujui nazungumzia nini soma hapa:
[ame=http://en.wikipedia.org/wiki/Bilderberg_group]Bilderberg Group - Wikipedia, the free encyclopedia[/ame]
.The Bilderberg Group, Bilderberg conference, or Bilderberg Club is an "off the record" meeting of around 130 transatlantic political and military leaders, business and banking executives, royalty and other power elites. It has been meeting annually since 1954. Despite its influence on postwar history, which arguably eclipses that of the G8 conference, it does not not have a web site and nor does it publicly release records of its meetings.
This year's meeting is stated to be in Greece from 14 May 2009-16 May 2009