Viongozi acheni utani wa maisha ya raia wenu, chukueni hatua za haraka kabla nchi haijageuka kuwa graveyard

Dereva anaendesha gari ingawa abiria hawajui linaelekea wapi [emoji16]
 
Its not too late, serikali chukueni hatua madhubuti ikiwemo kufunga mashule na vyuo kabla hali haijawa mbaya zaidi. Its not too late.
 
Exactly.

Kwa kuwa Mungu anasimamia haki, hauwezi wewe Jiwe ukusimama katika Public, ukasema kuwa Taifa letu linamtegemea Mungu wetu...........

Wakati huo huo serikali yako ndiyo inayoongoza kwa ukandamizaji wa haki za binadamu!

Ni lazima huyu Mungu wetu atakuonyesha cha mtema kuni
 
Sijui Kama kweli hau
 
Vaa barakoa, takatisha mikono, epuka mikusanyiko.
 
Labda kama tunguli lilivyofeli kwenye uchaguzi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…