Pre GE2025 Viongozi CHADEMA kanda ya Magharibi warushiana maneno ovyo mbele ya wanachama

Pre GE2025 Viongozi CHADEMA kanda ya Magharibi warushiana maneno ovyo mbele ya wanachama

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)

Mzee wa Code

Member
Joined
Sep 23, 2024
Posts
61
Reaction score
91
Kitendo cha viongozi wa Chadema kurushiana maneno mbele ya wanachama wenu kimenishangaza sana, wakati umma ukiangalia Chadema kama chama ambacho kitaleta mabadiriko ya uongozi wanagombana hadharani bila aigu tena katika nyakati hihi za kuhamasisha Mwananchi wakajiandikishe katika taftari la wapiga kura uchaguzi wa semrikali za mitaa.

Kitendo cha Makamu Mwenyekiti CHADEMA Kanda ya Magharibi Masanja Mussa Katambi kuzozana na hadharani na kuzuia mkutano wa hadhara wa Mwenyekiti wa CHADEMA Mkoa wa Katavi Mhe. Rhoda Kunchela Oktoba 07, 2024 uliopangwa kufanyika katika Kata ya Kakese, Jimbo la Mpanda mjini mkoani Katavi kwaajili ya kuhamasisha viongozi na wananchi katika kata hiyo kushiriki uchaguzi wa Serikali za mitaa 2024, jambo ajabu sana kwa chama kama Chadema asa wakati huu chaguzi.

Kitendo cha Masanja kuzuia na kuleta fujo uwanjani wakati Rhoda Kunchela alikuwa na ratiba ya kufanya mkutano wa hadhara katika kata hiyo ni aibu kwa Chadema, na baada tena Rhoda Kunchela kuitisha kikao cha mashauriano na viongozi wa Kata ya Kakese lakini bado Masanja aliendelea na alimfuata Mwenyekiti wa Mkoa katika kikao hicho na kuanza kumtishia ni tabia ile ile ya utekaji ambazo tunazipigia kelele.



 
Kitendo cha viongozi wa Chadema kurushiana maneno mbele ya wanachama wenu kimenishangaza sana, wakati umma ukiangalia Chadema kama chama ambacho kitaleta mabadiriko ya uongozi wanagombana hadharani bila aigu tena katika nyakati hihi za kuhamasisha Mwananchi wakajiandikishe katika taftari la wapiga kura uchaguzi wa semrikali za mitaa

Kitendo cha Makamu Mwenyekiti CHADEMA Kanda ya Magharibi Masanja Mussa Katambi kuzozana na hadharani na kuzuia mkutano wa hadhara wa Mwenyekiti wa CHADEMA Mkoa wa Katavi Mhe. Rhoda Kunchela Oktoba 07, 2024 uliopangwa kufanyika katika Kata ya Kakese, Jimbo la Mpanda mjini mkoani Katavi kwaajili ya kuhamasisha viongozi na wananchi katika kata hiyo kushiriki uchaguzi wa Serikali za mitaa 2024, jambo ajabu sana kwa chama kama Chadema asa wakati huu chaguzi

Kitendo cha Masanja kuzuia na kuleta fujo uwanjani wakati Rhoda Kunchela alikuwa na ratiba ya kufanya mkutano wa hadhara katika kata hiyo ni aibu kwa Chadema, na baada tena Rhoda Kunchela kuitisha kikao cha mashauriano na viongozi wa Kata ya Kakese lakini bado Masanja aliendelea na alimfuata Mwenyekiti wa Mkoa katika kikao hicho na kuanza kumtishia ni tabia ile ile ya utekaji ambazo tunazipigia kelele
1728388959002.png
 
Mada Imekosewa🙌🏾 😂😂😂😂😂
🧐

Ingesema...

Viongozi wa CHADEMA waendeleza maneno ya ovyo mbele ya Wananchi.​

Ni kwaida yao...

Hatahivyo, Unategemea nini kutoka kwenye chama kinachofokafoka tu bila ya kuwa na ajenda za sera?
 
Kitendo cha viongozi wa Chadema kurushiana maneno mbele ya wanachama wenu kimenishangaza sana, wakati umma ukiangalia Chadema kama chama ambacho kitaleta mabadiriko ya uongozi wanagombana hadharani bila aigu tena katika nyakati hihi za kuhamasisha Mwananchi wakajiandikishe katika taftari la wapiga kura uchaguzi wa semrikali za mitaa

Kitendo cha Makamu Mwenyekiti CHADEMA Kanda ya Magharibi Masanja Mussa Katambi kuzozana na hadharani na kuzuia mkutano wa hadhara wa Mwenyekiti wa CHADEMA Mkoa wa Katavi Mhe. Rhoda Kunchela Oktoba 07, 2024 uliopangwa kufanyika katika Kata ya Kakese, Jimbo la Mpanda mjini mkoani Katavi kwaajili ya kuhamasisha viongozi na wananchi katika kata hiyo kushiriki uchaguzi wa Serikali za mitaa 2024, jambo ajabu sana kwa chama kama Chadema asa wakati huu chaguzi

Kitendo cha Masanja kuzuia na kuleta fujo uwanjani wakati Rhoda Kunchela alikuwa na ratiba ya kufanya mkutano wa hadhara katika kata hiyo ni aibu kwa Chadema, na baada tena Rhoda Kunchela kuitisha kikao cha mashauriano na viongozi wa Kata ya Kakese lakini bado Masanja aliendelea na alimfuata Mwenyekiti wa Mkoa katika kikao hicho na kuanza kumtishia ni tabia ile ile ya utekaji ambazo tunazipigia kelele
Mkuu unarekodije tukio muhimu kizembe zembe namna hiyo?

Ulikuwa unatetemeka nini na kusheki sheki ovyo ovyo hadi imipoteza maana sasa!

Huyo Masaja aliyetukana yuko wapi?
 
Gen
Kitendo cha viongozi wa Chadema kurushiana maneno mbele ya wanachama wenu kimenishangaza sana, wakati umma ukiangalia Chadema kama chama ambacho kitaleta mabadiriko ya uongozi wanagombana hadharani bila aigu tena katika nyakati hihi za kuhamasisha Mwananchi wakajiandikishe katika taftari la wapiga kura uchaguzi wa semrikali za mitaa

Kitendo cha Makamu Mwenyekiti CHADEMA Kanda ya Magharibi Masanja Mussa Katambi kuzozana na hadharani na kuzuia mkutano wa hadhara wa Mwenyekiti wa CHADEMA Mkoa wa Katavi Mhe. Rhoda Kunchela Oktoba 07, 2024 uliopangwa kufanyika katika Kata ya Kakese, Jimbo la Mpanda mjini mkoani Katavi kwaajili ya kuhamasisha viongozi na wananchi katika kata hiyo kushiriki uchaguzi wa Serikali za mitaa 2024, jambo ajabu sana kwa chama kama Chadema asa wakati huu chaguzi

Kitendo cha Masanja kuzuia na kuleta fujo uwanjani wakati Rhoda Kunchela alikuwa na ratiba ya kufanya mkutano wa hadhara katika kata hiyo ni aibu kwa Chadema, na baada tena Rhoda Kunchela kuitisha kikao cha mashauriano na viongozi wa Kata ya Kakese lakini bado Masanja aliendelea na alimfuata Mwenyekiti wa Mkoa katika kikao hicho na kuanza kumtishia ni tabia ile ile ya utekaji ambazo tunazipigia kelele
Genge la walevi na wazinzi!
 
Ndiyo demokrasia hiyo
Hii akiiona mwanangu Tlaatlaah atapata ya kusema
😄

Ova
wala sina cha kusema gentleman ,

ila ushirikina, pombe na uzinzi kazini vikichanganyika na uwezo mdogo wa viongozi, Lazima ugomvi na mafarakano yataibuka tu, na hiyo ni chanzo cha kutoana kafara halafu vinaibuka visingizio kwa taasisi nyingine..

mbaya zaidi posho ikiwa haitoshi 🐒
 
wala sina cha kusema gentleman ,

ila ushirikina, pombe na uzinzi kazini vikichanganyika na uwezo mdogo wa viongozi, Lazima ugomvi na mafarakano yataibuka tu, na hiyo ni chanzo cha kutoana kafara halafu vinaibuka visingizio kwa taasisi nyingine..

mbaya zaidi posho ikiwa haitoshi 🐒
Ndy demokrasia hyo kukosoana
Mbona mbunge wa kongwa alimpiga mgombea mwenzake huko mpaka akazimia,unasemaje kwa hilo

Ova
 
CHADEMA NI SACCOS YA MBOWE SASA MBOWE MLEVI UNATEGEMEA WANACHAMA NA VIONGOZI WENGINE WATAKUWAJE
Vp na nyie mkuu wenu wa wilaya aliyemtifua bint wa watu marinda mpaka kumtoa knys, hv sakat limeishaje , vp mtamrudisha kwenye uongozi au

ova
 
Kawaida sana bilauri kugongana ziwapo kabatini kikubwa zisivunjike
 
Wanakwambia ndio Demokrasia hiyo. Ila ikitokea kwa wengine sio Demokrasia
 
Vp na nyie mkuu wenu wa wilaya aliyemtifua bint wa watu marinda mpaka kumtoa knys, hv sakat limeishaje , vp mtamrudisha kwenye uongozi au

ova
Yule wakili wa ubelgiji hana huruma aisee
 
Hakuna kundi la watu ambalo halitofautiani mawazo.Kuna vyama wanachama wako kama misukuke wao ni kumsifia tu mwenyekiti na ukizingua kidogo wanakuchomoa.
 
Back
Top Bottom