M MAMU35 Member Joined Feb 6, 2011 Posts 63 Reaction score 6 Nov 13, 2011 #1 Wanajamii kwa yaliyotokea MBEYA ni fundisho kwa viongozi wengine wasiotumia busara katika maamuzi yao. Kungekuwa na busara kwa aliyofanya KANDORO hali ya vurugu isingekuwepo. Wakuu wa mikoa aina ya KANDORO hawatufai kuongoza wananchi
Wanajamii kwa yaliyotokea MBEYA ni fundisho kwa viongozi wengine wasiotumia busara katika maamuzi yao. Kungekuwa na busara kwa aliyofanya KANDORO hali ya vurugu isingekuwepo. Wakuu wa mikoa aina ya KANDORO hawatufai kuongoza wananchi
GodfreyTajiri JF-Expert Member Joined Sep 26, 2010 Posts 1,001 Reaction score 704 Nov 13, 2011 #2 mbona uzi huu inaelekea umeuweka mahali pasipo pake?! nadhani ungepeleka siasa.