Viongozi kama hawa kuendelea kutumia television kuwagawa watanzania haikubaliki kwa misingi ya dini

Viongozi kama hawa kuendelea kutumia television kuwagawa watanzania haikubaliki kwa misingi ya dini

Dragunov Sniper

JF-Expert Member
Joined
Mar 9, 2015
Posts
2,795
Reaction score
9
mimi ni mtanzania mwenye akili timamu, katika pitapita yangu nilibahatika kumsikia kiongozi mmoja wa dini (picha imeambatishwa) akizungumza na watanzania kupitia chanel ten kuendelea kuligawa taifa kwa kuendesha mjadala wa mahakama ya kadhi akieleza kuwa serikali inawatumia kuwadanganya waislam kuwapatia mahakama hiyo nikashtuka sana, nikamuona kiongozi huyu anataka kutulazimisha wananchi kuchukiana na kuanza kupoteza imani na serikali yetu, jambo hili ni baya na halifai kuigwa.

Wanaomfahamu huyu kiongozi watatupa data zaidi, je huyu kiongozi ana nia njema na tanzania kulazimisha masuala ya dini kuingizwa
kwenye katiba???


View attachment 242013View attachment 242013View attachment 242013
 
Kilichokushtua ni nini Mkuu?

Ni huko kusema kuwa Serikali inawadanganya na kuwatumia Waislam kuwa watawapatia Mahakama ya kadhi?

Kama ni hili, kwa kweli huyu ndugu siyo mchochezi bali amesema kweli maana walioboronga ni CCM kuwaahidi kwenye Ilani yake ya Uchaguzi kuwa wangewapatia mahakama ya kadhi

Sasa hapa mgawaji wa wananchi kwa misingi ya dini ni nani? Ni yule aliyewadanganya Waislam kuwa angewapa mahakama ya kadhi (bila shaka hawakupima uzito wake wakati wanatoa ahadi hii) au anaesema ukweli kuwa walitumiwa na kudanganywa na Serikali ya CCM kupitia ilani ya uchaguzi?
 
Nani kakuambia Serikali inatoa hiyo mahakama?hivi suala la dini si lao wenyewe???? Mimi nachojua Serikali haina dini ila watu wake wana dini,sasa unapokua kiongozi/mwanazuoni wa dini fulani ukaanza kushawishi watu kuichukianserikali yao ni kufirisika kifikra!
 
Back
Top Bottom