NALIA NGWENA
JF-Expert Member
- Oct 6, 2016
- 10,587
- 13,425
Nimeona hamasa ya Raisi Samia Suluhu Hassan tu.
Wengine mliokuwa mnavimba na kujitutumua mbele ya camera timu zenu za kariakoo (Simba na Yanga) zilipokuwa zikicheza mbona Jambo la kitaifa mmeliacha?
Au nyinyi siyo wazalendo? NALIA NGWENA nilitegemea hamasa kubwa sana kushinda zile za Simba na Yanga lakini nilipoangalia mpira /uwanja hata watu hamsini (50) hawafiki.
Au hamna Imani na timu yenu (taifa stars)?
Nawasilisha hoja.
Wengine mliokuwa mnavimba na kujitutumua mbele ya camera timu zenu za kariakoo (Simba na Yanga) zilipokuwa zikicheza mbona Jambo la kitaifa mmeliacha?
Au nyinyi siyo wazalendo? NALIA NGWENA nilitegemea hamasa kubwa sana kushinda zile za Simba na Yanga lakini nilipoangalia mpira /uwanja hata watu hamsini (50) hawafiki.
Au hamna Imani na timu yenu (taifa stars)?
Nawasilisha hoja.