Utingo JF-Expert Member Joined Dec 15, 2009 Posts 10,266 Reaction score 8,085 Jan 26, 2011 #21 Kimbweka said: Hiyo ya Kapuya mbona ni kama disco vumbi jamaa wamevaa kandambili (malapa) ni wapi hiyo? Click to expand... kwa issue za ngono, jamaa ni kama tai, chochote anabeba hata mzoga!
Kimbweka said: Hiyo ya Kapuya mbona ni kama disco vumbi jamaa wamevaa kandambili (malapa) ni wapi hiyo? Click to expand... kwa issue za ngono, jamaa ni kama tai, chochote anabeba hata mzoga!
Ntemi Kazwile JF-Expert Member Joined May 14, 2010 Posts 2,182 Reaction score 308 Jan 26, 2011 #22 Hongera Global Publishers, vinginevyo hii kitu tungeona wapi??
Gurudumu JF-Expert Member Joined Feb 5, 2008 Posts 2,349 Reaction score 264 Jan 26, 2011 #23 yaani kuna uhusiano mkubwa sana kati ya namna ya usakataji wa dansi na uongozi wa mhusika!!
G geophysics JF-Expert Member Joined Nov 1, 2010 Posts 904 Reaction score 167 Jan 28, 2011 #24 Ama kweli Wakubwa wetu hawa...huwezi amini kama ni baba mtu mzima na heshima zake.
Monstgala JF-Expert Member Joined Aug 25, 2009 Posts 1,079 Reaction score 1,036 Jan 28, 2011 #25 Sijui kwa nini siku hizi sytle za kucheza muziki zifanane na na nanii... hasa hiyo ya Kapuya.