Ukiwaona wanafunzi huruma. Wanafunzi wengi tangu wafungue chuo hajapata pesa zao ambazo ni stahiki.
Hali hii imesababisha wanafunzi kusoma na wengne kutumia Mwili yao Vibaya.
Nimepita jana, watoto huruma mno. Serikali Mnafanya Mambo gani haya? Wabunge wekeni mjadala mezani kuokoa wasomi wetu hawa.
Hali hii imesababisha wanafunzi kusoma na wengne kutumia Mwili yao Vibaya.
Nimepita jana, watoto huruma mno. Serikali Mnafanya Mambo gani haya? Wabunge wekeni mjadala mezani kuokoa wasomi wetu hawa.