Viongozi Simba acheni kiburi, mtaturudisha enzi za akina Jimmy David Ngonya, Morrison anahitajika Simba

Viongozi Simba acheni kiburi, mtaturudisha enzi za akina Jimmy David Ngonya, Morrison anahitajika Simba

Mwishokambi

JF-Expert Member
Joined
Nov 23, 2020
Posts
390
Reaction score
1,425
Viongozi Simba acheni kiburi, Morrison ni msaada mkubwa kwetu, timu haina mtu wa kufoc, Sakho, Banda na Mhilu bado wachanga sana, ujeuri wenu na majivuno mnawaumiza mashabiki wenu, watu mitaani wanaipenda Simba kuliko ninyi, ninyi mko kimaslahi t lkn mtaani watu wanaumiza, mnaonekana kama mnaihujumu Simba, Azam walikuwa wakufa kabisa leo kama Morrison angekuwepo.

Watu wanavumilia sana sema hamjui tu, mnasimamisha wachezaji bila mpango, hamsemi ukweli, timu haina uwezo mnaipeleka ikacheze na Yanga Nusu fainali, siku moto ukiwaka mtashindwa kuuzima.

Tumeudhika sana leo.
 
Viongozi Simba acheni kiburi, Morrison ni msaada mkubwa kwetu, timu haina mtu wa kufoc, Sakho, Banda na Mhilu bado wachanga sana, ujeuri wenu na majivuno mnawaumiza mashabiki wenu, watu mitaani wanaipenda Simba kuliko ninyi, ninyi mko kimaslahi t lkn mtaani watu wanaumiza, mnaonekana kama mnaihujumu Simba, Azam walikuwa wakufa kabisa leo kama Morrison angekuwepo.

Watu wanavumilia sana sema hamjui tu, mnasimamisha wachezaji bila mpango, hamsemi ukweli, timu haina uwezo mnaipeleka ikacheze na Yanga Nusu fainali, siku moto ukiwaka mtashindwa kuuzima.

Tumeudhika sana leo.
Utakuta na wewe eti una demu au mke!!!

Wanawake wanavumilia sana
 
Nyie utopolo mliloga mpate droo na prison
Unadhani kila timu wachawi kama nyie? Kilichotokea pale ulikielewa? Ni Djuma alienda kutoa kilichowekwa na wachezaji wa Prisons, tafuta video full utazame.


Mpunguze uchawi
 
Viongozi Simba acheni kiburi, Morrison ni msaada mkubwa kwetu, timu haina mtu wa kufoc, Sakho, Banda na Mhilu bado wachanga sana, ujeuri wenu na majivuno mnawaumiza mashabiki wenu, watu mitaani wanaipenda Simba kuliko ninyi, ninyi mko kimaslahi t lkn mtaani watu wanaumiza, mnaonekana kama mnaihujumu Simba, Azam walikuwa wakufa kabisa leo kama Morrison angekuwepo.

Watu wanavumilia sana sema hamjui tu, mnasimamisha wachezaji bila mpango, hamsemi ukweli, timu haina uwezo mnaipeleka ikacheze na Yanga Nusu fainali, siku moto ukiwaka mtashindwa kuuzima.

Tumeudhika sana leo.
Morrison ni mbwembwe tu, si mchezaji wa maana.
 
Viongozi Simba acheni kiburi, Morrison ni msaada mkubwa kwetu, timu haina mtu wa kufoc, Sakho, Banda na Mhilu bado wachanga sana, ujeuri wenu na majivuno mnawaumiza mashabiki wenu, watu mitaani wanaipenda Simba kuliko ninyi, ninyi mko kimaslahi t lkn mtaani watu wanaumiza, mnaonekana kama mnaihujumu Simba, Azam walikuwa wakufa kabisa leo kama Morrison angekuwepo.

Watu wanavumilia sana sema hamjui tu, mnasimamisha wachezaji bila mpango, hamsemi ukweli, timu haina uwezo mnaipeleka ikacheze na Yanga Nusu fainali, siku moto ukiwaka mtashindwa kuuzima.

Tumeudhika sana leo.
Nakubaliana na wewe.
Hii ni bongo sio ulaya.Mnatakiwa mjue kuishi na watu wenye tabia tofauti.
Binafsi kama kocha hamtaki Morrison ni bora aondoke kocha kuliko mchezaji.Ni rahisi kupata mwalimu bora zaidi kuliko mchezaji mwenye kipaji.

Pia ninaanza kuwa na wasi wasi hii timu imeshikwa na mtu bahili sana hata kama ni tajiri.
Huwa sipendi akiwasimanga wachezaji eti anatoa bonus.
Tunataka Morrison, Chama warudi
 
Ni vizuri pia tungepata takwimu za Morrison, katika misimu miwili aliyocheza Simba , alitakiwa acheze mechi ngapi, amecheza ngapi, amefunga goli ngapi, na assist ngapi, lakini pia tujiulize kwa nini uongozi uliamua kurudisha Chama kikosini, wakati kina Morrison walikuwepo!
 
Ni vizuri pia tungepata takwimu za Morrison, katika misimu miwili aliyocheza Simba , alitakiwa acheze mechi ngapi, amecheza ngapi, amefunga goli ngapi, na assist ngapi, lakini pia tujiulize kwa nini uongozi uliamua kurudisha Chama kikosini, wakati kina Morrison walikuwepo!
Hajawahi kufikisha atleast goli 5 kwa msimu..
 
Viongozi Simba acheni kiburi, Morrison ni msaada mkubwa kwetu, timu haina mtu wa kufoc, Sakho, Banda na Mhilu bado wachanga sana, ujeuri wenu na majivuno mnawaumiza mashabiki wenu, watu mitaani wanaipenda Simba kuliko ninyi, ninyi mko kimaslahi t lkn mtaani watu wanaumiza, mnaonekana kama mnaihujumu Simba, Azam walikuwa wakufa kabisa leo kama Morrison angekuwepo.

Watu wanavumilia sana sema hamjui tu, mnasimamisha wachezaji bila mpango, hamsemi ukweli, timu haina uwezo mnaipeleka ikacheze na Yanga Nusu fainali, siku moto ukiwaka mtashindwa kuuzima.

Tumeudhika sana leo.
Hahahahaa mwaka huu mtatapika nywele
 
Viongozi Simba acheni kiburi, Morrison ni msaada mkubwa kwetu, timu haina mtu wa kufoc, Sakho, Banda na Mhilu bado wachanga sana, ujeuri wenu na majivuno mnawaumiza mashabiki wenu, watu mitaani wanaipenda Simba kuliko ninyi, ninyi mko kimaslahi t lkn mtaani watu wanaumiza, mnaonekana kama mnaihujumu Simba, Azam walikuwa wakufa kabisa leo kama Morrison angekuwepo.

Watu wanavumilia sana sema hamjui tu, mnasimamisha wachezaji bila mpango, hamsemi ukweli, timu haina uwezo mnaipeleka ikacheze na Yanga Nusu fainali, siku moto ukiwaka mtashindwa kuuzima.

Tumeudhika sana leo.
Next levoooo.
Hahahaha Wazee wa faya
 
Viongozi Simba acheni kiburi, Morrison ni msaada mkubwa kwetu, timu haina mtu wa kufoc, Sakho, Banda na Mhilu bado wachanga sana, ujeuri wenu na majivuno mnawaumiza mashabiki wenu, watu mitaani wanaipenda Simba kuliko ninyi, ninyi mko kimaslahi t lkn mtaani watu wanaumiza, mnaonekana kama mnaihujumu Simba, Azam walikuwa wakufa kabisa leo kama Morrison angekuwepo.

Watu wanavumilia sana sema hamjui tu, mnasimamisha wachezaji bila mpango, hamsemi ukweli, timu haina uwezo mnaipeleka ikacheze na Yanga Nusu fainali, siku moto ukiwaka mtashindwa kuuzima.

Tumeudhika sana leo.
Nyie kwa moto hamfai
 
Back
Top Bottom