Leonel Ateba Mbinda
JF-Expert Member
- Feb 20, 2023
- 644
- 2,695
Uwanja wa Amani umejengwa na unakidhi vigezo vyote vya kimataifa, nchi hii ni moja, ili kukomesha vizabi zabina nawashauri pelekeni gemu zenu uwanja wa Amani.
Kule nako ni Tanzania na walioko ni Watanzania wenzetu na kuna mashabiki wa kutosha, uzuri wake pia tunao wale wataalamu wetu kule kule, nna uhakika uwanja wa Amani hatoki mtu.
Kule nako ni Tanzania na walioko ni Watanzania wenzetu na kuna mashabiki wa kutosha, uzuri wake pia tunao wale wataalamu wetu kule kule, nna uhakika uwanja wa Amani hatoki mtu.