Viongozi Simba mkakati mwingine wa kufungwa mabao 5 utaendelea kombe la Mapinduzi Zanzibar, msiseme sikuwaambia

Viongozi Simba mkakati mwingine wa kufungwa mabao 5 utaendelea kombe la Mapinduzi Zanzibar, msiseme sikuwaambia

Leonel Ateba Mbinda

JF-Expert Member
Joined
Feb 20, 2023
Posts
644
Reaction score
2,695
Unatengenezwa mkakati mwingine ili muingie kwenye anga zao tena huko kwenye Kombe la Mapinduzi, labda mjiangushe mrudi mapema lakini ukweli ni kuwa makamu mwenyekiti wao ndio mastermind wa kubeba waganga wote kule Pemba, yaani safari hii mkidharau tena mmekula 10.

Huko mtakutana tena tu, njia pekee ya kurudisha imani kwa mashabiki ni kuhakikisha kombe la mapinduzi mnarudi nalo, kundi letu gumu, kuna timu nazo huko ni ngumu sasa kazi kwenu uongozi, pambaneni hadi mhakikishe mnakutana na hao Yanga muwadhalilishe kama walivyotudhalilisha sisi, niko tayari kutolewa kafara mimi na ndugu zangu wote ili mabao 5 waliyotufunga yarudi.
 
Mikakati yao ni mkubwa na inajulikana ndiyo maana wameacha kuialika Al Hilal ambao wapo tu mjini na wanahitaji mechi kama hizi ila wanawaogopa wakijua wanaweza kutoa ushindani mkubwa kwao, badala yake wanavialika vitimu vya ajabu ajabu.

Simba ina mashindano makubwa zaidi ya kuzingatia. Mimi nadhani kwenye Mapinduzi, Benchikha azitumie kuwacheki uwezo wachezaji kadhaa alionao bila kuogopa matokeo kwa kuwapa playtime ya kutosha na aende na kosi hili:
  1. ABEL
  2. DUCHU
  3. ISRAEL
  4. KENNEDY
  5. CHE MALONE
  6. ABDALLAH
  7. KIBU
  8. KANOUTE/KAZI
  9. MUSSA
  10. PHIRI
  11. ONANA
Hiki kikosi kina uwezo wa kutoa ushindani kwa karibu timu zote zinazoshiriki. Kama itafika kucheza na Deportivo de Utopolo ndiyo aweke full mkoko ingawa kama hao wakionekana wameclick, tunaweza kuwashangaza kwa kosi wasilolitegemea.
 
Wakifunga tena 5, kikosi kizima na viongozi wa simba wahame Nchi kabisa, maana vita itahamia majumbani kwao.
 
Wakifunga tena 5, kikosi kizima na viongozi wa simba wahame Nchi kabisa, maana vita itahamia majumbani kwao.
Usitutishe Bwana mdogo!!Simba ilikwepo,,,ipo,,na itaendelea kuwepo,,,na kama timu ilikwisha fungwa,,,inafungwa na itaendelea kufungwa,,,ilikwisha fungwa,,,inafungwa,,na itaendelea kufunga,,,kwani wewe katika mapambano,,,mikakati na mipango ya kimaisha yamenyooka Tu hakunaga kushindwa??wale ni watu kama wewe wala Si roboti,,yale ndio maisha yao ya utafutaji sio kila wakati utakuwa bora kwenye kutafuta kuna siku una kula za uso,,unajipanga unakaa sawa unarudi kwenye mapambano,,Na ndio asili ya ulimwengu na walimwengu pia,,Usipende kukaza shingo sana,,,soka ni burudani usilichukulie kwa umakini mnoo utadedi shauri yako
 
Unatengenezwa mkakati mwingine ili muingie kwenye anga zao tena huko kwenye Kombe la Mapinduzi, labda mjiangushe mrudi mapema lakini ukweli ni kuwa makamu mwenyekiti wao ndio mastermind wa kubeba waganga wote kule Pemba, yaani safari hii mkidharau tena mmekula 10.

Huko mtakutana tena tu, njia pekee ya kurudisha imani kwa mashabiki ni kuhakikisha kombe la mapinduzi mnarudi nalo, kundi letu gumu, kuna timu nazo huko ni ngumu sasa kazi kwenu uongozi, pambaneni hadi mhakikishe mnakutana na hao Yanga muwadhalilishe kama walivyotudhalilisha sisi, niko tayari kutolewa kafara mimi na ndugu zangu wote ili mabao 5 waliyotufunga yarudi.
Jitoe sadaka peke yako ndugu zako hawahusiki kwenye upuuzi wako.
 
1. Simba hamuwezi kuongelea mpira hadi muutaje ushirikina?

2. Option pekee umesema Simba ni kurud na hilo kombe, na bado hapo hapo unaposema kwamba Simba ajiepushe asikutane na Yanga, sasa msimamo wako ni upi kijana?
 
Back
Top Bottom