Viongozi Simba sare mnazopata mechi za kimataifa ni za kutengenezwa, fanyieni kazi suala hilo

Viongozi Simba sare mnazopata mechi za kimataifa ni za kutengenezwa, fanyieni kazi suala hilo

Leonel Ateba Mbinda

JF-Expert Member
Joined
Feb 20, 2023
Posts
644
Reaction score
2,695
Mechi na Power Dynamo zote sare, mechi na Al Ahly zote sare, mechi na Asec sare nyie hamjashtuka tu, mshambuliaji wetu tunayetemgemea Jean Baleke ndio huyo huyo msimu uliopita alitupa furaha, Leo kimemkuta nn hadi anakosa mabao mengi kiasi hiki, Baleke alianza kukosa mabao na Power Dynamo hadi tukapaza sauti auzwe, Baleke amewakosa Al Ahly nyumbani na ugenini, Baleke huyu huyu anakosa mabao ya wazi na Asec, Baleke huyu huyu anakosa migoli na Gwanengy, kuna nini? Kuna mawili huenda kuna mtu kamfanyia kitu Baleke ama timu nzima imeingia kwenye mfumo wa mshirikina mmoja asieipenda Simba.

Mechi ya Wydad ni ya kufa na kupona, Wydad wameshapoteana lakini kwa ujinga wetu atachukua pointi kwetu na ndio itakuwa mwisho wetu
 
Mechi na Power Dynamo zote sare, mechi na Al Ahly zote sare, mechi na Asec sare nyie hamjashtuka tu, mshambuliaji wetu tunayetemgemea Jean Baleke ndio huyo huyo msimu uliopita alitupa furaha, Leo kimemkuta nn hadi anakosa mabao mengi kiasi hiki, Baleke alianza kukosa mabao na Power Dynamo hadi tukapaza sauti auzwe, Baleke amewakosa Al Ahly nyumbani na ugenini, Baleke huyu huyu anakosa mabao ya wazi na Asec, Baleke huyu huyu anakosa migoli na Gwanengy, kuna nini? Kuna mawili huenda kuna mtu kamfanyia kitu Baleke ama timu nzima imeingia kwenye mfumo wa mshirikina mmoja asieipenda Simba.

Mechi ya Wydad ni ya kufa na kupona, Wydad wameshapoteana lakini kwa ujinga wetu atachukua pointi kwetu na ndio itakuwa mwisho wetu
Tunaweza vunja records kwa kuwa team yenye droo nyingi africa msimu huu..

Na kila nikiangalia game zilizobaki za caf naziona draws nyingi sana.
 
Mechi na Power Dynamo zote sare, mechi na Al Ahly zote sare, mechi na Asec sare nyie hamjashtuka tu, mshambuliaji wetu tunayetemgemea Jean Baleke ndio huyo huyo msimu uliopita alitupa furaha, Leo kimemkuta nn hadi anakosa mabao mengi kiasi hiki, Baleke alianza kukosa mabao na Power Dynamo hadi tukapaza sauti auzwe, Baleke amewakosa Al Ahly nyumbani na ugenini, Baleke huyu huyu anakosa mabao ya wazi na Asec, Baleke huyu huyu anakosa migoli na Gwanengy, kuna nini? Kuna mawili huenda kuna mtu kamfanyia kitu Baleke ama timu nzima imeingia kwenye mfumo wa mshirikina mmoja asieipenda Simba.

Mechi ya Wydad ni ya kufa na kupona, Wydad wameshapoteana lakini kwa ujinga wetu atachukua pointi kwetu na ndio itakuwa mwisho wetu
Unashabikia timu lakini Kila siku kizua mitafaruku Kwa uzushi na hoja za kitapeli. Kwa timu ipi mpaka udai matokeo ya Sare ni hujuma?
 
Back
Top Bottom