Mtu na nusu
JF-Expert Member
- Jan 9, 2020
- 680
- 1,306
Wewe ni Pablo?Sina undugu na mudathir ila hiki ndicho viongozi wa Simba SC wanapaswa kukifanya mapema
Jamaa Yuko vizuri ni Mmoja kati ya viungo wachache wanyumbulifu hapa nyumbani
Sina mengi mimeona niilete hii akiwa uwanjani isije kusemwa anajipigia promo
250mil sio kitu Kwa SimbaMkataba wake n tsh 250mil
Kama ponjoro yupo tayar katika ile mil500 atakayotoa kwa usajir aje
Simba hawana uwezo wa Kuvunja uo mkataba labda wasubiri mkataba wake uishe wampate Bure. Maana apo bado signing fee.250mil sio kitu Kwa Simba
kwa wachezaji wanaocheza ndani Simba au Yanga kuvunja mkataba siyo jambo ngumu ,kwanza wenyewe wanashobokea kucheza timu hizoSimba hawana uwezo wa Kuvunja uo mkataba labda wasubiri mkataba wake uishe wampate Bure. Maana apo bado signing fee.
Hapana, yeye ni Barbara!Wewe ni Pablo?
Wanalijua vizuri Hilo ndio maana sijawajibukwa wachezaji wanaocheza ndani Simba au Yanga kuvunja mkataba siyo jambo ngumu ,kwanza wenyewe wanashobokea kucheza timu hizo
Mudathir ni bonge la midfielder kwa hapa ndaniHapana, yeye ni Barbara!
Ndiye aliyetuletea hakina Banda na Mzee Chama!
ungesema cola labda afadhali ,hata hivo simba wanao midfielders wengiMudathir ni bonge la midfielder kwa hapa ndani
kama walivyofanya yanga kusubiri kwa sureboy mkataba wake uishe sio? Azam waliweka bei ya sureboy mezan GSM akaingia mitini..Simba hawana uwezo wa Kuvunja uo mkataba labda wasubiri mkataba wake uishe wampate Bure. Maana apo bado signing fee.
kuvunja mkataba ni zaidi ya magodoro 500 unadhani gsm atakubali kula hasara?kama walivyofanya yanga kusubiri kwa sureboy mkataba wake uishe sio? Azam waliweka bei ya sureboy mezan GSM akaingia mitini..
kwel mchezaj mreenda kama huyo unamleta apambane na jitu kama Aucho au Mzee Wa Kazi Chafu Bangala ?! unategemea nini kwa mchezaji asie na akili na maarifa mithili ya kibu denis au mhilu?Mudathir ni bonge la midfielder kwa hapa ndani
Ni Fimbo Tu Zitaendelea...Tutatembeza Mboko Kila Tutakapokutana Mpaka Waombe Pooo.kwel mchezaj mreenda kama huyo unamleta apambane na jitu kama Aucho au Mzee Wa Kazi Chafu Bangala ?! unategemea nini kwa mchezaji asie na akili na maarifa mithili ya kibu denis au mhilu?
Mlipeni chama pesa zake kama 250 mln nothing kwa makolo250mil sio kitu Kwa Simba