Leonel Ateba Mbinda
JF-Expert Member
- Feb 20, 2023
- 644
- 2,695
Simba hii ya msimu ujao ni nzuri mno na ina uwezo wa kuikabili timu yoyote ile duniani na ikapata matokeo.
Hawa wachezaji Che Malobe, Onana, Kramo, Chama, Micquisone, Chilunda, Kanoute, Saido, Baleke, Phiri, Inonga ni wachezaji wa kiwango cha juu sana
Shida ninayoiona mm ni hii.
1. Kocha Robertinho kawekewa benchi la ufundi lote wageni.Je, hawa walioondoka akina Patrick hawatawahujumu ili waonekane wao ndio wazoefu na wanajua siasa za soka letu.
2.Kuna mmoja wa marafiki wa Simba Leo asbh kaposti maneno kuwa ukitaka kwenda peke yako nenda mwenyewe peke ako lkn ukitaka kwenda na kufika mbali nenda na wenzako . Kauli hii ina maanisha viongozi wa sasa wa Simba wanaenda peke yao, hawajitaji kwenda na wenzao kama wao.Kauli hii inamaanisha kuwa unafiki Simba bado haujaisha.Timu itahujumiwa.
3.Hitimisho, wanachama na mashabiki wa Simba chukueni tahadhari, Msipoilinda Simba na maadui wenu ndani ya uongozi na nje timu nzuri lakn inakwenda kushika nafasi ya tatu.Kila mechi dua na ufundi nje ya uwanja ufanyike.Hawa akina Onana msipowafanyia dua hawa mtashangaa viwango vyao, dalili mbaya nimeanza kuziona.
Nawaombeni sana Yanga msimu ujao hawana timu lkn mtashangaa wamechukua ubingwa huku mnalalamikia marefa
Hawa wachezaji Che Malobe, Onana, Kramo, Chama, Micquisone, Chilunda, Kanoute, Saido, Baleke, Phiri, Inonga ni wachezaji wa kiwango cha juu sana
Shida ninayoiona mm ni hii.
1. Kocha Robertinho kawekewa benchi la ufundi lote wageni.Je, hawa walioondoka akina Patrick hawatawahujumu ili waonekane wao ndio wazoefu na wanajua siasa za soka letu.
2.Kuna mmoja wa marafiki wa Simba Leo asbh kaposti maneno kuwa ukitaka kwenda peke yako nenda mwenyewe peke ako lkn ukitaka kwenda na kufika mbali nenda na wenzako . Kauli hii ina maanisha viongozi wa sasa wa Simba wanaenda peke yao, hawajitaji kwenda na wenzao kama wao.Kauli hii inamaanisha kuwa unafiki Simba bado haujaisha.Timu itahujumiwa.
3.Hitimisho, wanachama na mashabiki wa Simba chukueni tahadhari, Msipoilinda Simba na maadui wenu ndani ya uongozi na nje timu nzuri lakn inakwenda kushika nafasi ya tatu.Kila mechi dua na ufundi nje ya uwanja ufanyike.Hawa akina Onana msipowafanyia dua hawa mtashangaa viwango vyao, dalili mbaya nimeanza kuziona.
Nawaombeni sana Yanga msimu ujao hawana timu lkn mtashangaa wamechukua ubingwa huku mnalalamikia marefa