Wakimataifa1
JF-Expert Member
- Jul 30, 2015
- 326
- 100
Viongozi wa Simba hawana mpango wa kusajili wachezaji wa kimataifa ila wanacheza dili ya kupata hela wanafanya hivi; Wanatangaza wanaleta bonge la mchezaji wanaandaa mechi ya kirafiki washabiki wanahamu ya kumwangalia wanaenda uwanjani wanamuona, si mchezaji lolote.
Sasa wametangaza kumleta mchezaji mwingine wataandaa mechi ya kirafiki, mashabiki kama mlikuwa hamjui ndio mchezo huo wa kupata pesa!
Sasa wametangaza kumleta mchezaji mwingine wataandaa mechi ya kirafiki, mashabiki kama mlikuwa hamjui ndio mchezo huo wa kupata pesa!