Viongozi vijana acheni drama za kuwekeana sumu kwa lengo la kupata popularity; mwogopeni Mungu msikufuru

Viongozi vijana acheni drama za kuwekeana sumu kwa lengo la kupata popularity; mwogopeni Mungu msikufuru

Resilience

JF-Expert Member
Joined
Jan 4, 2023
Posts
1,096
Reaction score
4,948
Kinachosambaa kwenye mitandao ya kijamii kuhusu Mbunge na RC kupeana sumu siyo jambo linalopaswa kuandikwa na kusambazwa na vijana wa chama cha mapinduzi wa Chadema.

Tukianza kutengeneza Drama kama alivyofanya mama tunabomoa umoja wetu kama Taifa, tunaondoa utu wetu na tunafanya watoto kuumizwa na drama za wazazi wao.

Yapo mambo yakiasa ya kufumbia macho na yapo ambayo siyo ya kufumbia macho. Ukimya wa Waziri wa Tamisemi, ukimya wa bunge na ukimya dola katika drama hizi hauna afya kwa Taifa

Tuwe wepesi kuzima moto kabla ya kuwaka. Hawa viongozi wawili waliotengeneza hizi drama nadhani ni muda sahihi wakuwawajibisha watambue wanaongoza wananchi na suala la kukaa kimya pale wanapozushiwa jambo baya siyo sahihi.

Juzi kuna watu walizusha kuhusu Bony Mwaitege, familia yake ilitoka mara moja kukanusha. Na yeye mwenyewe alikanusha.

HAKI YA KUISHI ISIPOLINDWA KWA NGUVU ZOTE ITAPOKONYWA NA KILA ANAYEDHANI ANAMAMLAKA YAKUFANYA HIVYO.

Wanasiasa msifanye drama na uhai hata kama mtu mnamchukia. Tuwapende maadui zetu
 
Huenda kuna wanaotembea na nyongo ya mamba.
Wale jamaa wamekuwa wakitembea na sumu kwenye mabegi, mikoba na wallet zao, muda mwingi huwa wanashinda kwenye maeneo ya starehe kama vile bar, club za pombe, migahawani au kwenye vilinge vya kahawa wakiwa na sumu zao na wapo kwenye mawindo ya Watu wao wanaowalenga ili kuwawekea sumu. Be very careful with them.
 
Kinachosambaa kwenye mitandao ya kijamii kuhusu Mbunge na RC kupeana sumu siyo jambo linalopaswa kuandikwa na kusambazwa na vijana wa chama cha mapinduzi wa Chadema.

Tukianza kutengeneza Drama kama alivyofanya mama tunabomoa umoja wetu kama Taifa, tunaondoa utu wetu na tunafanya watoto kuumizwa na drama za wazazi wao.

Yapo mambo yakiasa ya kufumbia macho na yapo ambayo siyo ya kufumbia macho. Ukimya wa Waziri wa Tamisemi, ukimya wa bunge na ukimya dola katika drama hizi hauna afya kwa Taifa

Tuwe wepesi kuzima moto kabla ya kuwaka. Hawa viongozi wawili waliotengeneza hizi drama nadhani ni muda sahihi wakuwawajibisha watambue wanaongoza wananchi na suala la kukaa kimya pale wanapozushiwa jambo baya siyo sahihi.

Juzi kuna watu walizusha kuhusu Bony Mwaitege, familia yake ilitoka mara moja kukanusha. Na yeye mwenyewe alikanusha.

HAKI YA KUISHI ISIPOLINDWA KWA NGUVU ZOTE ITAPOKONYWA NA KILA ANAYEDHANI ANAMAMLAKA YAKUFANYA HIVYO.

Wanasiasa msifanye drama na uhai hata kama mtu mnamchukia. Tuwapende maadui zetu
huyo kaenda kutafuta mtoto mwingine, sio sumu wala nini anawapoteza maboya tu. marekani na ulaya alipigwa marufuku asikanyage. utamwekea makonda sumu utamkuta wapi? mtu mchawi aliyeuza hatima yake kwa shetani hadi viongozi wakubwa wanamtetemekea, we unafikiri wanamtetemekea kwa sababu ya kitu gani kingine alichonacho?
 
Wewe shetani unampenda?
Je, unamuombea shetani?
Kwani Yesu alikuja duniani kufa msalabani Kwa ajili ya shetani?

Mungu anawahitaji hao maadui zako waache UOVU ,wamrudie awaokoe.

Sasa adui Yako ambaye ni mwanadamu, ukimlaani, anabarikiwa, ila ukimbariki, Mungu anamshughulikia, anamnyoosha na kumlipiza mabaya yake. Na baadae atamuokoa apendavyo Kwa wakati wake.

Soma Romans 12:19,

Ni juu yangu kulipiza kisasi, nitalipiza asema BWANA.
 
Kwani Yesu alikuja duniani kufa msalabani Kwa ajili ya shetani?

Mungu anawahitaji hao maadui zake waache UOVU ,wamrudie awaokoe.

Sasa adui Yako ambaye ni mwanadamu, ukimlaani, anabarikiwa, ila ukimbariki, Mungu anamshughulikia, anamnyoosha na kumlipiza mabaya yake.

Soma Romans 12:19,

Ni juu yangu kulipiza kisasi, nitalipiza asema BWANA.
Kwanini asianze na shetani ambaye ndio muharibifu mkubwa?
 
Kinachosambaa kwenye mitandao ya kijamii kuhusu Mbunge na RC kupeana sumu siyo jambo linalopaswa kuandikwa na kusambazwa na vijana wa chama cha mapinduzi wa Chadema.

Tukianza kutengeneza Drama kama alivyofanya mama tunabomoa umoja wetu kama Taifa, tunaondoa utu wetu na tunafanya watoto kuumizwa na drama za wazazi wao.

Yapo mambo yakiasa ya kufumbia macho na yapo ambayo siyo ya kufumbia macho. Ukimya wa Waziri wa Tamisemi, ukimya wa bunge na ukimya dola katika drama hizi hauna afya kwa Taifa

Tuwe wepesi kuzima moto kabla ya kuwaka. Hawa viongozi wawili waliotengeneza hizi drama nadhani ni muda sahihi wakuwawajibisha watambue wanaongoza wananchi na suala la kukaa kimya pale wanapozushiwa jambo baya siyo sahihi.

Juzi kuna watu walizusha kuhusu Bony Mwaitege, familia yake ilitoka mara moja kukanusha. Na yeye mwenyewe alikanusha.

HAKI YA KUISHI ISIPOLINDWA KWA NGUVU ZOTE ITAPOKONYWA NA KILA ANAYEDHANI ANAMAMLAKA YAKUFANYA HIVYO.

Wanasiasa msifanye drama na uhai hata kama mtu mnamchukia. Tuwapende maadui zetu
LIFE TU...
 
Kwanini asianze na shetani ambaye ndio muharibifu mkubwa?
Shetani alishahukumiwa tayari.

Hana tena nafasi ya kutubu Ili arejee Mbinguni, mlango huo kwake ulishafungwa,

Ila Hawa waovu Walio WANADAMU Wana chance ya kutubu, usishangae muovu akatubu na akakutangulia kuingia Mbinguni.

Muhimu tuwaombee wabadilike na kuadhibiwa na Mungu lakini awarejeshee tena ubinadamu wawe watu WEMA.
 
Kinachosambaa kwenye mitandao ya kijamii kuhusu Mbunge na RC kupeana sumu siyo jambo linalopaswa kuandikwa na kusambazwa na vijana wa chama cha mapinduzi wa Chadema.

Tukianza kutengeneza Drama kama alivyofanya mama tunabomoa umoja wetu kama Taifa, tunaondoa utu wetu na tunafanya watoto kuumizwa na drama za wazazi wao.

Yapo mambo yakiasa ya kufumbia macho na yapo ambayo siyo ya kufumbia macho. Ukimya wa Waziri wa Tamisemi, ukimya wa bunge na ukimya dola katika drama hizi hauna afya kwa Taifa

Tuwe wepesi kuzima moto kabla ya kuwaka. Hawa viongozi wawili waliotengeneza hizi drama nadhani ni muda sahihi wakuwawajibisha watambue wanaongoza wananchi na suala la kukaa kimya pale wanapozushiwa jambo baya siyo sahihi.

Juzi kuna watu walizusha kuhusu Bony Mwaitege, familia yake ilitoka mara moja kukanusha. Na yeye mwenyewe alikanusha.

HAKI YA KUISHI ISIPOLINDWA KWA NGUVU ZOTE ITAPOKONYWA NA KILA ANAYEDHANI ANAMAMLAKA YAKUFANYA HIVYO.

Wanasiasa msifanye drama na uhai hata kama mtu mnamchukia. Tuwapende maadui zetu
Ipi taarifa sahihi hapa,kuwa yote sii,ya kweli,uhakika haupo ama majibu yanahitajika?
 
Back
Top Bottom