Viongozi wa Arab Contractors wakielekea Ikulu hayawi hayawi sasa yamekuwa

Mnamuwaza Magufuli kuliko mnavyowaza ilani ya chadomo
 
😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
Makada wa CCM walivyofyumu.
 
Reactions: BAK

Nakuuliza wewe kada CCM ilikuwaje ukanigonga.kwa nyuma?!..au na wewe ni arab contractors
 
Reactions: BAK
Hahahahaha bila shaka huyu Punda katumwa toka chato kwa nanihii 😜
Mimi nina wasiwasi na Lugola anafikiri amemtoa jamaa kwenye ofisi labda atarudi kwa hiyo akajigeuza punda...Ili mnyiramba Ute umtoke.
 
Reactions: BAK
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣 mambo ya kuelekea 2020

Mimi nina wasiwasi na Lugola anafikiri amemtoa jamaa kwenye ofisi labda atarudi kwa hiyo akajigeuza punda...Ili mnyiramba Ute umtoke.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…