Viongozi wa Azam sikilizeni ushauri wangu kama mnataka kweli kuiletea heshima nchi na Bakhresa mwenyewe

Viongozi wa Azam sikilizeni ushauri wangu kama mnataka kweli kuiletea heshima nchi na Bakhresa mwenyewe

Leonel Ateba Mbinda

JF-Expert Member
Joined
Feb 20, 2023
Posts
644
Reaction score
2,695
Mna timu nzuri kuliko timu yoyote hapa Afrika, mna kocha mzuri na mwenye sifa, mna management nzuri, mna utajiri wa kutosha, mna uwanja mzuri, kusema kweli mna kila mtu.

Mnaweza kufukuza kocha mkiondolewa na APR, mnaweza kufukuzana kimya kimya kama mlivyofanya enzi zile kwa kitasa Idd Nassoro Cheche na msemaji Jaffery Idd lakini mtaendelea kubaki vile vile msipofuata na kukubaliana na ushauri wangu.

Mnaweza kuwa na kila kitu, narudia mnaweza kuwa na kila kitu, na kwa kweli kila kitu mnacho lakini kitu kimoja ambacho hamna na kinachangia kwa asilimia 90 kuimaliza timu yenu ni kimoja tu, kukosa mashabiki wa kutosha.Basi.

Mashabiki wana nguvu sana katika mchezo wa soka, mashabiki ni wachezaji wa 12, nyie mnacheza na APR leo hakuna mashabiki wanaowaunga mkono unadhani APR au timu yoyote mtakayocheza nayo si wanafurahi.

Kukosa mashabiki kwenye mechi zenu kunawaangusha sana, washabiki wanaposhangilia mnapocheza, sio washabiki 20 au 50, uwanja utapike kama mnavyoona Yanga na Simba wakicheza, Simba leo kacheza na Tabora pale mWENGE umati wa mtume kama wote, jana uwanja wenu wenyewe Yanga kacheza na APR kaujaza uwanja.

Mimi nawashauri kama mnacheza mechi za maslahi kwa Taifa wekeni mkakati wa kujaza mashabiki, ombeni mashabiki wa SImba na Yanga hata kwa kuwamotisha tu ili wajae waje kulinda maslahi ya nchi, leo kama kungekuwa na vibe la kutosha pale APR angepelekwa hata mabao manne lakini ushindi umekosekana kwa sababu washabiki hamna uwanjani.

Mnaposikia Simba na Yanga wanakwenda Mbagala kuhamasisha watu waje uwanjani sio wajinga, wanajua makelele yao na vibe lao linasaidia kuwafanya wachezaji wachangamke, washabiki wana nguvu, leo mnapoona timu za kiarabu zinajaza uwanja sio wajinga, kujaza uwanja kunawaogopesha wapinzani na hata mwamuzi mwenyewe anaingiwa woga.

Njia pekee ya kujaza uwanja ni kuwaambia watanzania ukija uwanjani una jezi na soda bure, nyie ni matajiri jamani, mmewekeza mahela mengi kwenye kikosi chenu inakuwaje mnajijengea mazingira magumu mechi ya marudiano wakati mechi ile mlikuwa mnaimaliza hapa hapa.

Soma Pia: FT: CAFCL: AZAM FC 1-0 APR | Preliminary Stage 1st Leg | Azam Complex | 18.08.2024

APR nawajua, kwao wakorofi tangu enzi za akina Jeans Baptist Mugiraneza, kwao watafanya kila hila lazima wawafunge.

APR wana kiu ya mafanikio, wana wachezaji wazuri lakini sio kama wenu, hebu tengenezi mkakati wa kujaza mashabiki, leo mmecheza vizuri lakini mmekosa sapoti ya washabiki, kocha wenu ni master lakini mnahitaji mchezaji wa 13 ambaye ni shabiki.

Nawahakikisheni ndugu zangu kama hamtakuwa na mashabiki wa kutosha mnapocheza mechi zenu mtaendelea kulaumiana, mtafukuza makocha na kila aina ya lawama.

Tafuteni mashabiki mtakuja kuniambia.
 
Mna timu nzuri kuliko timu yoyote hapa Afrika, mna kocha mzuri na mwenye sifa, mna management nzuri, mna utajiri wa kutosha, mna uwanja mzuri, kusema kweli mna kila mtu.
anja kunawaogopesha wapinzani na hata mwamuzi mwenyewe anaingiwa woga.



Nawahakikisheni ndugu zangu kama hamtakuwa na mashabiki wa kutosha mnapocheza mechi zenu mtaendelea kulau)miana, mtafukuza makocha na kila aina ya lawama.

Tafuteni mashabiki mtakuja kuniambia.
Siyo sababu ya msingi kwasababu timu za mpira huweza kushinda ugenini ambako hakuna mashabiki. Swali fikirishi mbona leo wameshinda.

CAFCL: AZAM FC 1-0 APR​

Baada ya kujibu swali tunaomba upendekeze jinsi ya kupata mashabiki wengi wa mpira kwa timu ya. Azam fc, (labda itakuwa rahisi kama vile kuchemsha kiazi)
 
Mna timu nzuri kuliko timu yoyote hapa Afrika, mna kocha mzuri na mwenye sifa, mna management nzuri, mna utajiri wa kutosha, mna uwanja mzuri, kusema kweli mna kila mtu.

Mnaweza kufukuza kocha mkiondolewa na APR, mnaweza kufukuzana kimya kimya kama mlivyofanya enzi zile kwa kitasa Idd Nassoro Cheche na msemaji Jaffery Idd lakini mtaendelea kubaki vile vile msipofuata na kukubaliana na ushauri wangu.

Mnaweza kuwa na kila kitu, narudia mnaweza kuwa na kila kitu, na kwa kweli kila kitu mnacho lakini kitu kimoja ambacho hamna na kinachangia kwa asilimia 90 kuimaliza timu yenu ni kimoja tu, kukosa mashabiki wa kutosha.Basi.

Mashabiki wana nguvu sana katika mchezo wa soka, mashabiki ni wachezaji wa 12, nyie mnacheza na APR leo hakuna mashabiki wanaowaunga mkono unadhani APR au timu yoyote mtakayocheza nayo si wanafurahi.

Kukosa mashabiki kwenye mechi zenu kunawaangusha sana, washabiki wanaposhangilia mnapocheza, sio washabiki 20 au 50, uwanja utapike kama mnavyoona Yanga na Simba wakicheza, Simba leo kacheza na Tabora pale mWENGE umati wa mtume kama wote, jana uwanja wenu wenyewe Yanga kacheza na APR kaujaza uwanja.

Mimi nawashauri kama mnacheza mechi za maslahi kwa Taifa wekeni mkakati wa kujaza mashabiki, ombeni mashabiki wa SImba na Yanga hata kwa kuwamotisha tu ili wajae waje kulinda maslahi ya nchi, leo kama kungekuwa na vibe la kutosha pale APR angepelekwa hata mabao manne lakini ushindi umekosekana kwa sababu washabiki hamna uwanjani.

Mnaposikia Simba na Yanga wanakwenda Mbagala kuhamasisha watu waje uwanjani sio wajinga, wanajua makelele yao na vibe lao linasaidia kuwafanya wachezaji wachangamke, washabiki wana nguvu, leo mnapoona timu za kiarabu zinajaza uwanja sio wajinga, kujaza uwanja kunawaogopesha wapinzani na hata mwamuzi mwenyewe anaingiwa woga.

Njia pekee ya kujaza uwanja ni kuwaambia watanzania ukija uwanjani una jezi na soda bure, nyie ni matajiri jamani, mmewekeza mahela mengi kwenye kikosi chenu inakuwaje mnajijengea mazingira magumu mechi ya marudiano wakati mechi ile mlikuwa mnaimaliza hapa hapa.

APR nawajua, kwao wakorofi tangu enzi za akina Jeans Baptist Mugiraneza, kwao watafanya kila hila lazima wawafunge.

APR wana kiu ya mafanikio, wana wachezaji wazuri lakini sio kama wenu, hebu tengenezi mkakati wa kujaza mashabiki, leo mmecheza vizuri lakini mmekosa sapoti ya washabiki, kocha wenu ni master lakini mnahitaji mchezaji wa 13 ambaye ni shabiki.

Nawahakikisheni ndugu zangu kama hamtakuwa na mashabiki wa kutosha mnapocheza mechi zenu mtaendelea kulaumiana, mtafukuza makocha na kila aina ya lawama.

Tafuteni mashabiki mtakuja kuniambia.
Waambie washushe bei za vifurushi vyao😁😁. Japo Wana kila kitu Ndio maana hawatoboi
 
Mna timu nzuri kuliko timu yoyote hapa Afrika, mna kocha mzuri na mwenye sifa, mna management nzuri, mna utajiri wa kutosha, mna uwanja mzuri, kusema kweli mna kila mtu.

Mnaweza kufukuza kocha mkiondolewa na APR, mnaweza kufukuzana kimya kimya kama mlivyofanya enzi zile kwa kitasa Idd Nassoro Cheche na msemaji Jaffery Idd lakini mtaendelea kubaki vile vile msipofuata na kukubaliana na ushauri wangu.

Mnaweza kuwa na kila kitu, narudia mnaweza kuwa na kila kitu, na kwa kweli kila kitu mnacho lakini kitu kimoja ambacho hamna na kinachangia kwa asilimia 90 kuimaliza timu yenu ni kimoja tu, kukosa mashabiki wa kutosha.Basi.

Mashabiki wana nguvu sana katika mchezo wa soka, mashabiki ni wachezaji wa 12, nyie mnacheza na APR leo hakuna mashabiki wanaowaunga mkono unadhani APR au timu yoyote mtakayocheza nayo si wanafurahi.

Kukosa mashabiki kwenye mechi zenu kunawaangusha sana, washabiki wanaposhangilia mnapocheza, sio washabiki 20 au 50, uwanja utapike kama mnavyoona Yanga na Simba wakicheza, Simba leo kacheza na Tabora pale mWENGE umati wa mtume kama wote, jana uwanja wenu wenyewe Yanga kacheza na APR kaujaza uwanja.

Mimi nawashauri kama mnacheza mechi za maslahi kwa Taifa wekeni mkakati wa kujaza mashabiki, ombeni mashabiki wa SImba na Yanga hata kwa kuwamotisha tu ili wajae waje kulinda maslahi ya nchi, leo kama kungekuwa na vibe la kutosha pale APR angepelekwa hata mabao manne lakini ushindi umekosekana kwa sababu washabiki hamna uwanjani.

Mnaposikia Simba na Yanga wanakwenda Mbagala kuhamasisha watu waje uwanjani sio wajinga, wanajua makelele yao na vibe lao linasaidia kuwafanya wachezaji wachangamke, washabiki wana nguvu, leo mnapoona timu za kiarabu zinajaza uwanja sio wajinga, kujaza uwanja kunawaogopesha wapinzani na hata mwamuzi mwenyewe anaingiwa woga.

Njia pekee ya kujaza uwanja ni kuwaambia watanzania ukija uwanjani una jezi na soda bure, nyie ni matajiri jamani, mmewekeza mahela mengi kwenye kikosi chenu inakuwaje mnajijengea mazingira magumu mechi ya marudiano wakati mechi ile mlikuwa mnaimaliza hapa hapa.

APR nawajua, kwao wakorofi tangu enzi za akina Jeans Baptist Mugiraneza, kwao watafanya kila hila lazima wawafunge.

APR wana kiu ya mafanikio, wana wachezaji wazuri lakini sio kama wenu, hebu tengenezi mkakati wa kujaza mashabiki, leo mmecheza vizuri lakini mmekosa sapoti ya washabiki, kocha wenu ni master lakini mnahitaji mchezaji wa 13 ambaye ni shabiki.

Nawahakikisheni ndugu zangu kama hamtakuwa na mashabiki wa kutosha mnapocheza mechi zenu mtaendelea kulaumiana, mtafukuza makocha na kila aina ya lawama.

Tafuteni mashabiki mtakuja kuniambia.
Umesahau wapunguze bei ya vifurushi ili tuwaombee heri vinginevyo tutasema "mmejitahidi#asante kwa kushiriki
 
Waamishie mechi zao uwanja wa KMC complex waone watu watakavyojaa,wilaya ya Temeke ni wahuni tu wamejaa huko
 
Mna timu nzuri kuliko timu yoyote hapa Afrika, mna kocha mzuri na mwenye sifa, mna management nzuri, mna utajiri wa kutosha, mna uwanja mzuri, kusema kweli mna kila mtu.

Mnaweza kufukuza kocha mkiondolewa na APR, mnaweza kufukuzana kimya kimya kama mlivyofanya enzi zile kwa kitasa Idd Nassoro Cheche na msemaji Jaffery Idd lakini mtaendelea kubaki vile vile msipofuata na kukubaliana na ushauri wangu.

Mnaweza kuwa na kila kitu, narudia mnaweza kuwa na kila kitu, na kwa kweli kila kitu mnacho lakini kitu kimoja ambacho hamna na kinachangia kwa asilimia 90 kuimaliza timu yenu ni kimoja tu, kukosa mashabiki wa kutosha.Basi.

Mashabiki wana nguvu sana katika mchezo wa soka, mashabiki ni wachezaji wa 12, nyie mnacheza na APR leo hakuna mashabiki wanaowaunga mkono unadhani APR au timu yoyote mtakayocheza nayo si wanafurahi.

Kukosa mashabiki kwenye mechi zenu kunawaangusha sana, washabiki wanaposhangilia mnapocheza, sio washabiki 20 au 50, uwanja utapike kama mnavyoona Yanga na Simba wakicheza, Simba leo kacheza na Tabora pale mWENGE umati wa mtume kama wote, jana uwanja wenu wenyewe Yanga kacheza na APR kaujaza uwanja.

Mimi nawashauri kama mnacheza mechi za maslahi kwa Taifa wekeni mkakati wa kujaza mashabiki, ombeni mashabiki wa SImba na Yanga hata kwa kuwamotisha tu ili wajae waje kulinda maslahi ya nchi, leo kama kungekuwa na vibe la kutosha pale APR angepelekwa hata mabao manne lakini ushindi umekosekana kwa sababu washabiki hamna uwanjani.

Mnaposikia Simba na Yanga wanakwenda Mbagala kuhamasisha watu waje uwanjani sio wajinga, wanajua makelele yao na vibe lao linasaidia kuwafanya wachezaji wachangamke, washabiki wana nguvu, leo mnapoona timu za kiarabu zinajaza uwanja sio wajinga, kujaza uwanja kunawaogopesha wapinzani na hata mwamuzi mwenyewe anaingiwa woga.

Njia pekee ya kujaza uwanja ni kuwaambia watanzania ukija uwanjani una jezi na soda bure, nyie ni matajiri jamani, mmewekeza mahela mengi kwenye kikosi chenu inakuwaje mnajijengea mazingira magumu mechi ya marudiano wakati mechi ile mlikuwa mnaimaliza hapa hapa.

APR nawajua, kwao wakorofi tangu enzi za akina Jeans Baptist Mugiraneza, kwao watafanya kila hila lazima wawafunge.

APR wana kiu ya mafanikio, wana wachezaji wazuri lakini sio kama wenu, hebu tengenezi mkakati wa kujaza mashabiki, leo mmecheza vizuri lakini mmekosa sapoti ya washabiki, kocha wenu ni master lakini mnahitaji mchezaji wa 13 ambaye ni shabiki.

Nawahakikisheni ndugu zangu kama hamtakuwa na mashabiki wa kutosha mnapocheza mechi zenu mtaendelea kulaumiana, mtafukuza makocha na kila aina ya lawama.

Tafuteni mashabiki mtakuja kuniambia.
Badala ya kuajiri kocha unaajiri MAALIM! Mpira na dini wapi na wapi.
 
Mna timu nzuri kuliko timu yoyote hapa Afrika, mna kocha mzuri na mwenye sifa, mna management nzuri, mna utajiri wa kutosha, mna uwanja mzuri, kusema kweli mna kila mtu.

Mnaweza kufukuza kocha mkiondolewa na APR, mnaweza kufukuzana kimya kimya kama mlivyofanya enzi zile kwa kitasa Idd Nassoro Cheche na msemaji Jaffery Idd lakini mtaendelea kubaki vile vile msipofuata na kukubaliana na ushauri wangu.

Mnaweza kuwa na kila kitu, narudia mnaweza kuwa na kila kitu, na kwa kweli kila kitu mnacho lakini kitu kimoja ambacho hamna na kinachangia kwa asilimia 90 kuimaliza timu yenu ni kimoja tu, kukosa mashabiki wa kutosha.Basi.

Mashabiki wana nguvu sana katika mchezo wa soka, mashabiki ni wachezaji wa 12, nyie mnacheza na APR leo hakuna mashabiki wanaowaunga mkono unadhani APR au timu yoyote mtakayocheza nayo si wanafurahi.

Kukosa mashabiki kwenye mechi zenu kunawaangusha sana, washabiki wanaposhangilia mnapocheza, sio washabiki 20 au 50, uwanja utapike kama mnavyoona Yanga na Simba wakicheza, Simba leo kacheza na Tabora pale mWENGE umati wa mtume kama wote, jana uwanja wenu wenyewe Yanga kacheza na APR kaujaza uwanja.

Mimi nawashauri kama mnacheza mechi za maslahi kwa Taifa wekeni mkakati wa kujaza mashabiki, ombeni mashabiki wa SImba na Yanga hata kwa kuwamotisha tu ili wajae waje kulinda maslahi ya nchi, leo kama kungekuwa na vibe la kutosha pale APR angepelekwa hata mabao manne lakini ushindi umekosekana kwa sababu washabiki hamna uwanjani.

Mnaposikia Simba na Yanga wanakwenda Mbagala kuhamasisha watu waje uwanjani sio wajinga, wanajua makelele yao na vibe lao linasaidia kuwafanya wachezaji wachangamke, washabiki wana nguvu, leo mnapoona timu za kiarabu zinajaza uwanja sio wajinga, kujaza uwanja kunawaogopesha wapinzani na hata mwamuzi mwenyewe anaingiwa woga.

Njia pekee ya kujaza uwanja ni kuwaambia watanzania ukija uwanjani una jezi na soda bure, nyie ni matajiri jamani, mmewekeza mahela mengi kwenye kikosi chenu inakuwaje mnajijengea mazingira magumu mechi ya marudiano wakati mechi ile mlikuwa mnaimaliza hapa hapa.

APR nawajua, kwao wakorofi tangu enzi za akina Jeans Baptist Mugiraneza, kwao watafanya kila hila lazima wawafunge.

APR wana kiu ya mafanikio, wana wachezaji wazuri lakini sio kama wenu, hebu tengenezi mkakati wa kujaza mashabiki, leo mmecheza vizuri lakini mmekosa sapoti ya washabiki, kocha wenu ni master lakini mnahitaji mchezaji wa 13 ambaye ni shabiki.

Nawahakikisheni ndugu zangu kama hamtakuwa na mashabiki wa kutosha mnapocheza mechi zenu mtaendelea kulaumiana, mtafukuza makocha na kila aina ya lawama.

Tafuteni mashabiki mtakuja kuniambia.
WAO WAMEKUJA KUSHINDANA na YANGA na simba....Sasa wajitafute wenyewe.....watu wanapika supu pale jangwani sio WAJINGA.
 
Mna timu nzuri kuliko timu yoyote hapa Afrika, mna kocha mzuri na mwenye sifa, mna management nzuri, mna utajiri wa kutosha, mna uwanja mzuri, kusema kweli mna kila mtu.

Mnaweza kufukuza kocha mkiondolewa na APR, mnaweza kufukuzana kimya kimya kama mlivyofanya enzi zile kwa kitasa Idd Nassoro Cheche na msemaji Jaffery Idd lakini mtaendelea kubaki vile vile msipofuata na kukubaliana na ushauri wangu.

Mnaweza kuwa na kila kitu, narudia mnaweza kuwa na kila kitu, na kwa kweli kila kitu mnacho lakini kitu kimoja ambacho hamna na kinachangia kwa asilimia 90 kuimaliza timu yenu ni kimoja tu, kukosa mashabiki wa kutosha.Basi.

Mashabiki wana nguvu sana katika mchezo wa soka, mashabiki ni wachezaji wa 12, nyie mnacheza na APR leo hakuna mashabiki wanaowaunga mkono unadhani APR au timu yoyote mtakayocheza nayo si wanafurahi.

Kukosa mashabiki kwenye mechi zenu kunawaangusha sana, washabiki wanaposhangilia mnapocheza, sio washabiki 20 au 50, uwanja utapike kama mnavyoona Yanga na Simba wakicheza, Simba leo kacheza na Tabora pale mWENGE umati wa mtume kama wote, jana uwanja wenu wenyewe Yanga kacheza na APR kaujaza uwanja.

Mimi nawashauri kama mnacheza mechi za maslahi kwa Taifa wekeni mkakati wa kujaza mashabiki, ombeni mashabiki wa SImba na Yanga hata kwa kuwamotisha tu ili wajae waje kulinda maslahi ya nchi, leo kama kungekuwa na vibe la kutosha pale APR angepelekwa hata mabao manne lakini ushindi umekosekana kwa sababu washabiki hamna uwanjani.

Mnaposikia Simba na Yanga wanakwenda Mbagala kuhamasisha watu waje uwanjani sio wajinga, wanajua makelele yao na vibe lao linasaidia kuwafanya wachezaji wachangamke, washabiki wana nguvu, leo mnapoona timu za kiarabu zinajaza uwanja sio wajinga, kujaza uwanja kunawaogopesha wapinzani na hata mwamuzi mwenyewe anaingiwa woga.

Njia pekee ya kujaza uwanja ni kuwaambia watanzania ukija uwanjani una jezi na soda bure, nyie ni matajiri jamani, mmewekeza mahela mengi kwenye kikosi chenu inakuwaje mnajijengea mazingira magumu mechi ya marudiano wakati mechi ile mlikuwa mnaimaliza hapa hapa.

APR nawajua, kwao wakorofi tangu enzi za akina Jeans Baptist Mugiraneza, kwao watafanya kila hila lazima wawafunge.

APR wana kiu ya mafanikio, wana wachezaji wazuri lakini sio kama wenu, hebu tengenezi mkakati wa kujaza mashabiki, leo mmecheza vizuri lakini mmekosa sapoti ya washabiki, kocha wenu ni master lakini mnahitaji mchezaji wa 13 ambaye ni shabiki.

Nawahakikisheni ndugu zangu kama hamtakuwa na mashabiki wa kutosha mnapocheza mechi zenu mtaendelea kulaumiana, mtafukuza makocha na kila aina ya lawama.

Tafuteni mashabiki mtakuja kuniambia.
Ushauri kwao wajitume wapate matokeo mazuri. Mashabiki watakuja wenyewe, sasa timu inabanwa mbavu na APR nyumbani sijui huko Rwanda itakuwaje. Kingine kocha hatoshi. Wao wakicheza na Yanga na Simba ni vita, ila kimataifa ni kama wamefungwa miguu.
 
Nikukumbushe tu mzee tina ni yake na sio ya wanachama sw.
Izo shobo peleka kwa simba n YANGA za wanachama.
 
Mna timu nzuri kuliko timu yoyote hapa Afrika, mna kocha mzuri na mwenye sifa, mna management nzuri, mna utajiri wa kutosha, mna uwanja mzuri, kusema kweli mna kila mtu.

Mnaweza kufukuza kocha mkiondolewa na APR, mnaweza kufukuzana kimya kimya kama mlivyofanya enzi zile kwa kitasa Idd Nassoro Cheche na msemaji Jaffery Idd lakini mtaendelea kubaki vile vile msipofuata na kukubaliana na ushauri wangu.

Mnaweza kuwa na kila kitu, narudia mnaweza kuwa na kila kitu, na kwa kweli kila kitu mnacho lakini kitu kimoja ambacho hamna na kinachangia kwa asilimia 90 kuimaliza timu yenu ni kimoja tu, kukosa mashabiki wa kutosha.Basi.

Mashabiki wana nguvu sana katika mchezo wa soka, mashabiki ni wachezaji wa 12, nyie mnacheza na APR leo hakuna mashabiki wanaowaunga mkono unadhani APR au timu yoyote mtakayocheza nayo si wanafurahi.

Kukosa mashabiki kwenye mechi zenu kunawaangusha sana, washabiki wanaposhangilia mnapocheza, sio washabiki 20 au 50, uwanja utapike kama mnavyoona Yanga na Simba wakicheza, Simba leo kacheza na Tabora pale mWENGE umati wa mtume kama wote, jana uwanja wenu wenyewe Yanga kacheza na APR kaujaza uwanja.

Mimi nawashauri kama mnacheza mechi za maslahi kwa Taifa wekeni mkakati wa kujaza mashabiki, ombeni mashabiki wa SImba na Yanga hata kwa kuwamotisha tu ili wajae waje kulinda maslahi ya nchi, leo kama kungekuwa na vibe la kutosha pale APR angepelekwa hata mabao manne lakini ushindi umekosekana kwa sababu washabiki hamna uwanjani.

Mnaposikia Simba na Yanga wanakwenda Mbagala kuhamasisha watu waje uwanjani sio wajinga, wanajua makelele yao na vibe lao linasaidia kuwafanya wachezaji wachangamke, washabiki wana nguvu, leo mnapoona timu za kiarabu zinajaza uwanja sio wajinga, kujaza uwanja kunawaogopesha wapinzani na hata mwamuzi mwenyewe anaingiwa woga.

Njia pekee ya kujaza uwanja ni kuwaambia watanzania ukija uwanjani una jezi na soda bure, nyie ni matajiri jamani, mmewekeza mahela mengi kwenye kikosi chenu inakuwaje mnajijengea mazingira magumu mechi ya marudiano wakati mechi ile mlikuwa mnaimaliza hapa hapa.

APR nawajua, kwao wakorofi tangu enzi za akina Jeans Baptist Mugiraneza, kwao watafanya kila hila lazima wawafunge.

APR wana kiu ya mafanikio, wana wachezaji wazuri lakini sio kama wenu, hebu tengenezi mkakati wa kujaza mashabiki, leo mmecheza vizuri lakini mmekosa sapoti ya washabiki, kocha wenu ni master lakini mnahitaji mchezaji wa 13 ambaye ni shabiki.

Nawahakikisheni ndugu zangu kama hamtakuwa na mashabiki wa kutosha mnapocheza mechi zenu mtaendelea kulaumiana, mtafukuza makocha na kila aina ya lawama.

Tafuteni mashabiki mtakuja kuniambia.
Mamelod hawana mashabiki mechi zao za cl kiingilio bure ,kwenye ligi wanagawa wastani kwa idadi na mashabiki wao wachache,kiufupi azam ategeneze team
 
Ushauri kwao wajitume wapate matokeo mazuri. Mashabiki watakuja wenyewe, sasa timu inabanwa mbavu na APR nyumbani sijui huko Rwanda itakuwaje. Kingine kocha hatoshi. Wao wakicheza na Yanga na Simba ni vita, ila kimataifa ni kama wamefungwa miguu.
Anajiamini sana mpira ni sayansi
 
Kwani nini watz msiwaunge mkono bila kusukumwa et mtu akiwq nje ya simba au yanga ni dhambi sijui why .. thus why natupa kapuni soka la hapa
 
Mashabiki wa bongo wahuni waliwahi kuweka mechi zao kiingilio Bure ila watu wakawa wanajaa lakini hawashangilii Azam kazi Yao kushangilia mpinzani yeyote atakayecheza na Azam sometimes mpaka kuzomea wachezaji .Mimi nilishuhudia hali hiyo Azam walipocheza na Singida msimu ulioisha.
 
MTAZAMO WANGU


Azam hawezi kuitawala Afrika bila Kuwa na mafanikio ya ligi ya ndani,Kitu ambacho Azam anapaswa kukifanya ni kuacha Siasa za Mpira wa Kibongo hasa U-Simba na U- Yanga.

Kuna stori za chini chini ambazo zimekuwa zikisikika ya kwamba,kila Azam anapocheza na Simba huwa analegeza kimakusudi ili afungwe na akifungwa Huwezi sikia Viongozi wao akiwemo mmiliki wakilalamika,ila anapocheza na Yanga akifungwa huwa Viongozi wanalalamika sana na kupelekea wachezaji kusimangwa mno,haya mambo yako wazi na hata Dube alizungumzia hili.

So,Ili Azam aweze kufanya vizuri ni kuondoa haya Makando kando na kuhakikisha anachukua ligi ya ndani Mara 3 mfululizo.

Mamelod Sundowns hakuweza kufanya vizuri Kimataifa hadi alipohakikisha anafanya kwanza ndani vizuri,Leo ukienda Afrika kusini Huwezi kuwasikia Orlando & Kaizer but utawasikia Mamelod Sundowns ambao nao pia wameanza Kuwa na mashabiki wengi wa kizazi Chake!

Mamelod Sundowns kuchukua Ubingwa mara 7 mfululizo maana yake ni kwamba,kizazi Cha watoto wenye miaka 7 chote bila shaka kitakuwa ni mashabiki wa Mamelod Sundowns kwasababu kimezaliwa wakati ambao Mamelod Sundowns anafanya vizuri,hivyo Huwezi kuwaambia wazishabikie Orlando & Kaizer kwasababu hawafanyi vizuri,hivyo miaka 5 Ijayo Mamelod Sundowns hapo Afrika Kusini atakuwa na Mashabiki wengi kuwazidi Orlando & Kaizer!

Leo Simba na Yanga Wana mashabiki wengi kwasababu wanafanya vizuri!

Namna pekee ya Azam Kuwa na mashabiki wengi ni kuhakikisha wanafanya vizuri zaidi ya Simba na Yanga Ili kujizolea mashabiki wa kizazi Chake,hili linawezekana endapo wataacha mambo ya kijinga ya U-Simba na U- Yanga!

Wahakikishe hata ndani ya Miaka 10 wanachukua Ubingwa mara 6!


 
Mna timu nzuri kuliko timu yoyote hapa Afrika, mna kocha mzuri na mwenye sifa, mna management nzuri, mna utajiri wa kutosha, mna uwanja mzuri, kusema kweli mna kila mtu.

Mnaweza kufukuza kocha mkiondolewa na APR, mnaweza kufukuzana kimya kimya kama mlivyofanya enzi zile kwa kitasa Idd Nassoro Cheche na msemaji Jaffery Idd lakini mtaendelea kubaki vile vile msipofuata na kukubaliana na ushauri wangu.

Mnaweza kuwa na kila kitu, narudia mnaweza kuwa na kila kitu, na kwa kweli kila kitu mnacho lakini kitu kimoja ambacho hamna na kinachangia kwa asilimia 90 kuimaliza timu yenu ni kimoja tu, kukosa mashabiki wa kutosha.Basi.

Mashabiki wana nguvu sana katika mchezo wa soka, mashabiki ni wachezaji wa 12, nyie mnacheza na APR leo hakuna mashabiki wanaowaunga mkono unadhani APR au timu yoyote mtakayocheza nayo si wanafurahi.

Kukosa mashabiki kwenye mechi zenu kunawaangusha sana, washabiki wanaposhangilia mnapocheza, sio washabiki 20 au 50, uwanja utapike kama mnavyoona Yanga na Simba wakicheza, Simba leo kacheza na Tabora pale mWENGE umati wa mtume kama wote, jana uwanja wenu wenyewe Yanga kacheza na APR kaujaza uwanja.

Mimi nawashauri kama mnacheza mechi za maslahi kwa Taifa wekeni mkakati wa kujaza mashabiki, ombeni mashabiki wa SImba na Yanga hata kwa kuwamotisha tu ili wajae waje kulinda maslahi ya nchi, leo kama kungekuwa na vibe la kutosha pale APR angepelekwa hata mabao manne lakini ushindi umekosekana kwa sababu washabiki hamna uwanjani.

Mnaposikia Simba na Yanga wanakwenda Mbagala kuhamasisha watu waje uwanjani sio wajinga, wanajua makelele yao na vibe lao linasaidia kuwafanya wachezaji wachangamke, washabiki wana nguvu, leo mnapoona timu za kiarabu zinajaza uwanja sio wajinga, kujaza uwanja kunawaogopesha wapinzani na hata mwamuzi mwenyewe anaingiwa woga.

Njia pekee ya kujaza uwanja ni kuwaambia watanzania ukija uwanjani una jezi na soda bure, nyie ni matajiri jamani, mmewekeza mahela mengi kwenye kikosi chenu inakuwaje mnajijengea mazingira magumu mechi ya marudiano wakati mechi ile mlikuwa mnaimaliza hapa hapa.

Soma Pia: FT: CAFCL: AZAM FC 1-0 APR | Preliminary Stage 1st Leg | Azam Complex | 18.08.2024

APR nawajua, kwao wakorofi tangu enzi za akina Jeans Baptist Mugiraneza, kwao watafanya kila hila lazima wawafunge.

APR wana kiu ya mafanikio, wana wachezaji wazuri lakini sio kama wenu, hebu tengenezi mkakati wa kujaza mashabiki, leo mmecheza vizuri lakini mmekosa sapoti ya washabiki, kocha wenu ni master lakini mnahitaji mchezaji wa 13 ambaye ni shabiki.

Nawahakikisheni ndugu zangu kama hamtakuwa na mashabiki wa kutosha mnapocheza mechi zenu mtaendelea kulaumiana, mtafukuza makocha na kila aina ya lawama.

Tafuteni mashabiki mtakuja kuniambia.
Sikuona sababu ya azam kung'ang'nia kuanzisha team apa Mjini kwa mashabiki maandazi wa simba na yanga.

Mara kumi angeipeleka team au kuanzishia hata morogoro
 
Mashabiki wa bongo wahuni waliwahi kuweka mechi zao kiingilio Bure ila watu wakawa wanajaa lakini hawashangilii Azam kazi Yao kushangilia mpinzani yeyote atakayecheza na Azam sometimes mpaka kuzomea wachezaji .Mimi nilishuhudia hali hiyo Azam walipocheza na Singida msimu ulioisha.
Swali fikirishi je viongozi wa Azam fc, wataacha ushabiki wa simba ama Yanga? Japokuwa mimi nadhani ni washabiki wa simba na hilo ndilo pia lilikuwa linamtesa Prince Dube
 
Mna timu nzuri kuliko timu yoyote hapa Afrika, mna kocha mzuri na mwenye sifa, mna management nzuri, mna utajiri wa kutosha, mna uwanja mzuri, kusema kweli mna kila mtu.

Mnaweza kufukuza kocha mkiondolewa na APR, mnaweza kufukuzana kimya kimya kama mlivyofanya enzi zile kwa kitasa Idd Nassoro Cheche na msemaji Jaffery Idd lakini mtaendelea kubaki vile vile msipofuata na kukubaliana na ushauri wangu.

Mnaweza kuwa na kila kitu, narudia mnaweza kuwa na kila kitu, na kwa kweli kila kitu mnacho lakini kitu kimoja ambacho hamna na kinachangia kwa asilimia 90 kuimaliza timu yenu ni kimoja tu, kukosa mashabiki wa kutosha.Basi.

Mashabiki wana nguvu sana katika mchezo wa soka, mashabiki ni wachezaji wa 12, nyie mnacheza na APR leo hakuna mashabiki wanaowaunga mkono unadhani APR au timu yoyote mtakayocheza nayo si wanafurahi.

Kukosa mashabiki kwenye mechi zenu kunawaangusha sana, washabiki wanaposhangilia mnapocheza, sio washabiki 20 au 50, uwanja utapike kama mnavyoona Yanga na Simba wakicheza, Simba leo kacheza na Tabora pale mWENGE umati wa mtume kama wote, jana uwanja wenu wenyewe Yanga kacheza na APR kaujaza uwanja.

Mimi nawashauri kama mnacheza mechi za maslahi kwa Taifa wekeni mkakati wa kujaza mashabiki, ombeni mashabiki wa SImba na Yanga hata kwa kuwamotisha tu ili wajae waje kulinda maslahi ya nchi, leo kama kungekuwa na vibe la kutosha pale APR angepelekwa hata mabao manne lakini ushindi umekosekana kwa sababu washabiki hamna uwanjani.

Mnaposikia Simba na Yanga wanakwenda Mbagala kuhamasisha watu waje uwanjani sio wajinga, wanajua makelele yao na vibe lao linasaidia kuwafanya wachezaji wachangamke, washabiki wana nguvu, leo mnapoona timu za kiarabu zinajaza uwanja sio wajinga, kujaza uwanja kunawaogopesha wapinzani na hata mwamuzi mwenyewe anaingiwa woga.

Njia pekee ya kujaza uwanja ni kuwaambia watanzania ukija uwanjani una jezi na soda bure, nyie ni matajiri jamani, mmewekeza mahela mengi kwenye kikosi chenu inakuwaje mnajijengea mazingira magumu mechi ya marudiano wakati mechi ile mlikuwa mnaimaliza hapa hapa.

Soma Pia: FT: CAFCL: AZAM FC 1-0 APR | Preliminary Stage 1st Leg | Azam Complex | 18.08.2024

APR nawajua, kwao wakorofi tangu enzi za akina Jeans Baptist Mugiraneza, kwao watafanya kila hila lazima wawafunge.

APR wana kiu ya mafanikio, wana wachezaji wazuri lakini sio kama wenu, hebu tengenezi mkakati wa kujaza mashabiki, leo mmecheza vizuri lakini mmekosa sapoti ya washabiki, kocha wenu ni master lakini mnahitaji mchezaji wa 13 ambaye ni shabiki.

Nawahakikisheni ndugu zangu kama hamtakuwa na mashabiki wa kutosha mnapocheza mechi zenu mtaendelea kulaumiana, mtafukuza makocha na kila aina ya lawama.

Tafuteni mashabiki mtakuja kuniambia.
Job true true....
 
Back
Top Bottom