LGE2024 Viongozi wa CCM Tawi la Sokoni, Tabora, waandamana kupinga matokeo ya Uchaguzi

LGE2024 Viongozi wa CCM Tawi la Sokoni, Tabora, waandamana kupinga matokeo ya Uchaguzi

Uchaguzi wa Serikali za Mitaa 2024

Mkalukungone mwamba

JF-Expert Member
Joined
Aug 29, 2022
Posts
862
Reaction score
1,755
Wakuu mambo yameanza kuchangamka sasa. Unaweza kusema walichokuwa wanatarajia wamekikosa kabisa!
===============
Baadhi ya viongozi wa Chama cha Mapinduzi CCM tawi la SOKONI katika mtaa wa MGUMIA kata ya KIDONGO CHEKUNDU Manispaa ya TABORA wameandamana kupinga kushindwa kwa mgombea wa chama hicho.

Wakizungumza na Cg Digital, Mwenyekiti wa CCM tawi la SOKONI JOHN SAIMON amesema hawajaridhishwa na matokeo ya uchaguzi yaliyotangazwa katika mtaa huo.

Naye Mwenyekiti wa umoja wa vijana wa chama hicho-UVCCM-tawi la SOKONI TAUSI MALIFEDHA amesema kuwa kiongozi aliyetangazwa kushinda hastahili kushika wadhifa huo.

Soma Pia: Yanayojiri kuelekea Uchaguzi wa Serikali za Mitaa Mkoa wa Tabora 2024

Kwa upande wake mgombea aliyetangazwa kushinda kupitia chama cha wananchi -CUF- aliyefahamika moja la KAMBI BARUAN amewaahidi kuwahudumia wananchi katika hali yoyote.

Leo watanzania waliojiandikisha kwenye daftari la makazi wamepiga kura kuchagua wenyeviti wa serikali za mitaa,vijiji na viongoji.
 
aliyetangazwa kushinda kupitia chama cha wananchi -CUF- aliyefahamika moja la KAMBI BARUAN amewaahidi kuwahudumia wananchi katika hali yoyote.

Kambi Baruani yupo vizuri ni mtumishi wa watu.

Ndiyo maana watu wame mchagua awatumikie siyo kama angekuwa wa CCM baada ya kuchaguliwa huteka nyara nguvu ya umma na kuanza kuuza mihuri.
 
Wakuu mambo yameanza kuchangamka sasa. Unaweza kusema walichokuwa wanatarajia wamekikosa kabisa!
===============
Baadhi ya viongozi wa Chama cha Mapinduzi CCM tawi la SOKONI katika mtaa wa MGUMIA kata ya KIDONGO CHEKUNDU Manispaa ya TABORA wameandamana kupinga kushindwa kwa mgombea wa chama hicho.

Wakizungumza na Cg Digital, Mwenyekiti wa CCM tawi la SOKONI JOHN SAIMON amesema hawajaridhishwa na matokeo ya uchaguzi yaliyotangazwa katika mtaa huo.

Naye Mwenyekiti wa umoja wa vijana wa chama hicho-UVCCM-tawi la SOKONI TAUSI MALIFEDHA amesema kuwa kiongozi aliyetangazwa kushinda hastahili kushika wadhifa huo.

Soma Pia: Yanayojiri kuelekea Uchaguzi wa Serikali za Mitaa Mkoa wa Tabora 2024

Kwa upande wake mgombea aliyetangazwa kushinda kupitia chama cha wananchi -CUF- aliyefahamika moja la KAMBI BARUAN amewaahidi kuwahudumia wananchi katika hali yoyote.

Leo watanzania waliojiandikisha kwenye daftari la makazi wamepiga kura kuchagua wenyeviti wa serikali za mitaa,vijiji na viongoji.
Kumbe CUF bado ipo???
 
Huyo UVCCM hana akili eti demokrasia itumike kwamba wasikilizwe hawamataki mshindi halali??, kwani kupiga kura haikuwa demokrasia? hawa jamaa tukipata tume huru watapoteza mitaa zaidi ya 60%
 
Wakuu mambo yameanza kuchangamka sasa. Unaweza kusema walichokuwa wanatarajia wamekikosa kabisa!
===============
Baadhi ya viongozi wa Chama cha Mapinduzi CCM tawi la SOKONI katika mtaa wa MGUMIA kata ya KIDONGO CHEKUNDU Manispaa ya TABORA wameandamana kupinga kushindwa kwa mgombea wa chama hicho.

Wakizungumza na Cg Digital, Mwenyekiti wa CCM tawi la SOKONI JOHN SAIMON amesema hawajaridhishwa na matokeo ya uchaguzi yaliyotangazwa katika mtaa huo.

Naye Mwenyekiti wa umoja wa vijana wa chama hicho-UVCCM-tawi la SOKONI TAUSI MALIFEDHA amesema kuwa kiongozi aliyetangazwa kushinda hastahili kushika wadhifa huo.

Soma Pia: Yanayojiri kuelekea Uchaguzi wa Serikali za Mitaa Mkoa wa Tabora 2024

Kwa upande wake mgombea aliyetangazwa kushinda kupitia chama cha wananchi -CUF- aliyefahamika moja la KAMBI BARUAN amewaahidi kuwahudumia wananchi katika hali yoyote.

Leo watanzania waliojiandikisha kwenye daftari la makazi wamepiga kura kuchagua wenyeviti wa serikali za mitaa,vijiji na viongoji.
Safii hakuna mwenye hati miliki wananchi wameamua hakuna namna mpongeze tu mshindani wako!
 
Wakuu mambo yameanza kuchangamka sasa. Unaweza kusema walichokuwa wanatarajia wamekikosa kabisa!
===============
Baadhi ya viongozi wa Chama cha Mapinduzi CCM tawi la SOKONI katika mtaa wa MGUMIA kata ya KIDONGO CHEKUNDU Manispaa ya TABORA wameandamana kupinga kushindwa kwa mgombea wa chama hicho.

Wakizungumza na Cg Digital, Mwenyekiti wa CCM tawi la SOKONI JOHN SAIMON amesema hawajaridhishwa na matokeo ya uchaguzi yaliyotangazwa katika mtaa huo.

Naye Mwenyekiti wa umoja wa vijana wa chama hicho-UVCCM-tawi la SOKONI TAUSI MALIFEDHA amesema kuwa kiongozi aliyetangazwa kushinda hastahili kushika wadhifa huo.

Soma Pia: Yanayojiri kuelekea Uchaguzi wa Serikali za Mitaa Mkoa wa Tabora 2024

Kwa upande wake mgombea aliyetangazwa kushinda kupitia chama cha wananchi -CUF- aliyefahamika moja la KAMBI BARUAN amewaahidi kuwahudumia wananchi katika hali yoyote.

Leo watanzania waliojiandikisha kwenye daftari la makazi wamepiga kura kuchagua wenyeviti wa serikali za mitaa,vijiji na viongoji.

Nimecheka, yaani hata wazee wa jembe na nyundo wameandamana. Yawezekana msimamizi ni mtakatifu si bure.
 
Back
Top Bottom