Reference ya upinzani inaanzia mwaka 1992 mfumo wa vyama vingi ulipoanza. Yeyote aliyebaki ccm baada ya mwaka huo ndo mwana ccm halisi na ambaye alijiunga na upinzani ndo mpinzani halisi.Kila ambae yuko upinzani alikuwa ccm,
Haya yote ni impact ya waliohamia kwenu au impact ya muunganiko mliouita Ukawa?Wabunge waliongezeka
Wabunge wa viti maalumu waliongezeka
Ruzuku ya chama iliongezeka
Hayo yote uoni kama ni faida?
Haya yote ni impact ya waliohamia kwenu au impact ya muunganiko mliouita Ukawa?
Kama hiviHata CHADEMA au ACT kikiunda serikali bado viongozi uliowataja wataendelea kulipwa na kulindwa kwa mujibu wa Katiba yetu.
Mimi nadhani pamoja na Mh. Lowasa na Sumaye kurudi CCM bado wafaidika ni CHADEMA/UKAWA kwa maana ujio wao uliweza kuongeza idadi ya wabunge kwa upande wa vyama vya upinzani. Kwa uwiano wa wabunge kwa sasa sidhani kama wabunge wa CCM wanaweza kufanya mabadiliko ya katiba bila kupata uungwaji wa wenzao toka vyama vya upinzani.
Hata CHADEMA au ACT kikiunda serikali bado viongozi uliowataja wataendelea kulipwa na kulindwa kwa mujibu wa Katiba yetu.
Mimi nadhani pamoja na Mh. Lowasa na Sumaye kurudi CCM bado wafaidika ni CHADEMA/UKAWA kwa maana ujio wao uliweza kuongeza idadi ya wabunge kwa upande wa vyama vya upinzani. Kwa uwiano wa wabunge kwa sasa sidhani kama wabunge wa CCM wanaweza kufanya mabadiliko ya katiba bila kupata uungwaji wa wenzao toka vyama vya upinzani.
Mimi niliona nikighairi ntakuwa nimewapa ushindi CHADEMA. nilipiga kura kila nafasi ya mgombea niliwapa CCM. Sijawah jutia.Mimi hata kwenda kupiga kura 2015 nilighairi kwasababu ya mambo ya hovyo kama haya
😀😆hawa jamaa walituingiza king wanaharakati wao kibaoMi
Mimi niliona nikighairi ntakuwa nimewapa ushindi CHADEMA. nilipiga kura kila nafasi ya mgombea niliwapa CCM. Sijawah jutia.
Sitaki hata kuwasikia hawa wahuni wakisiasa. Tulipambana kujenga chama mwisho wasiku wakatuona wote wapuuzi. Eti gia ya angani?!
Nikiona hivi naonaga chadema ni wajinga sana
Nikikusoma naona CCM mataahira sanaNikiona hivi naonaga chadema ni wajinga sana
[emoji23][emoji23][emoji23]
Sent using Jamii Forums mobile app
Miaka mitano sasa bado mnajadili haya?Habari!
Mimi napenda kuwauliza viongozi wa CHADEMA. Je, uamuzi wa haraka wa kuwapokea na kuwapa nafasi haraka viongozi hawa wanaolipwa na kulindwa na serikali mpaka kifo chao mliotoa wapi?
Kwanini mliwapa nafasi ndani ya CHADEMA haraka? Mliamini ikulu mtaingia kupitia hawa? Mlitaka kuongeza ruzuku ndani ya chama mkiamini mtavuna wabunge wengi bila kujali matokeo ya mbeleni?
Je, mtakuwa tayari kuwaomba radhi wananchi kwa uamuzi wenu wa kukurupuka kwa kuwasajili Lowasa na wenzake ambao mliwaita mafisadi papa?
Niwawekee nukuu zenu za nyuma kuwakumbusha kuwa mnasahau haraka mnayoyasema majukwaani?
Je, mtakubali kuwa uwezo wenu wa kufanya reasoning ni mdogo na kwamba mna tatizo la akili?
Mwaka wa uchaguzi umefika, mtaletewa mamluki wengine; nanyi kwa tamaa ya pesa au uelewa mdogo mtawapokea kwa shangwe.
Huo mtaji mbona Leo umeshindwa. Wapumbabu tu watawaza kama wewe.hakuwa na mtaji wowoteChadema walifaidika sana na ujio wa Lowassa,viti vingi vya ubunge, udiwani,walivyopata Chadema ilikua sababu ya Lowassa!
Lowassa alikua ni mtaji,hata kura zake Milioni sita alizozipata usitegemee zitapatikana kirahisi kwenye chaguzi zinazokuja! Zaidi ya majanga
Sent using Jamii Forums mobile app