Elections 2010 Viongozi wa Chadema tuambieni tukusanyike wapi

wewe Shiezo, huku hatupotezi muda na watu kama wewe.... bichwa lako!
 
Hayo matokeo yameandaliwa kabla hata ya uchaguzi na kutumwa NEC yale yenyewe yamechakachuliwa, ni imani yangu mwisho wa CCM ndo huu, kama watachomoka saizi ndani ya miaka mitano itakuwa migumukwa watanzania. Its too sad.

Kama yameandaliwa ilikuwaje mkakubali kuingia katika uchaguzi?Na pia hao wabunge lukuki mliotengeneza nao wameandaliwa na NEC?
Mwisho nyie mlidhani kutumia udini ungewanufaisha kumbe watanzania wa leo hawataki mambo hayo!Ujinga mtupu,na upuuzi kukumbatia udini.
 
"kama hauitambui kampeleke mama yako NEC,wewe una sauti gani katika nchi hii hadi useme haumtambui Makame and team.baba yako slaa anawatambua itakuwa kima kama wewe.umekalia uhayawani na umbea tu.kama unawashwa sana mwambie slaa akupakue"
 


wanakuhaleluya wewe kiatu kabisa nyambafffffffffffffff
 
"kama hauitambui kampeleke mama yako NEC,wewe una sauti gani katika nchi hii hadi useme haumtambui Makame and team.baba yako slaa anawatambua itakuwa kima kama wewe.umekalia uhayawani na umbea tu.kama unawashwa sana mwambie slaa akupakue"

Hivi mijamaa yenye akili fyatu kama Malembeka inatafuta nini kwenye jukwaa la great thinkers? Wewe ndo unawalazimisha CHADEMA waanzishe vurugu nchini? Hivi nyie watu akili zenu zipoje?
 

Wewe inaelekea ni juha, kati ya Slaa na Kikwete ni nani aliyekuwa anatumia udini kama fimbo ya ushindi? Kwanza hebu angalia matokeo yenyewe yalivyokaa. maeneo yote ya waislam, ameshinda lipumba na Kikwete lakini wakristo wamempa kikwete bila kujali dini yake. Kuwa na kiongozi anayewagawa watanzania kwa misingi ya kidini, kama alivyo kikwete ni hatari kubwa sana. Nafikiria hali ya udini itakuwaje itakapofika 2015, kama miaka mitano tu hii aliyokuwepo madarakani hali ya nchi ndiyo imekuwa hivi?
 
Kama noma na iwe NOMA tu, Damu kitu gani maisha haya...

Dont talk about damu!! Unataka imwagike damu ya nani? Watanzania tuwe watulivu, tudai haki yetu kwa utulivu mkubwa na si kukimbilia kwenye kumwaga damu. Hii ni hatari sana kwa mstakabali wa nchi yetu. Tafadhari watanzania wenzangu tusitumie jukwaa hili kama sehemu ya kuhamasishana ili kuanzisha machafuko.
 

teh..teh..tehhhh hakyanani watanzania waoga! hasa linapokuja suala la kupigania haki zao.....mwaga yako leo mtoto wako aishi vizuri kesho! now thats fair!
 

THANK YOU ----Butola kwa kumuelewesha huyo jamaa. Kuna watu humu wanaleta jazba bila kuelewa. Vilevile wanaleta vurugu za kwenye keyboard hata social issues za Tunduru hawazijui ---- Ni rahisi sana kukaa kwenye keyboard na kuanza kulalama.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…