Viongozi wa CHADEMA waliopewa madaraka serikalini kupitia CCM kwanini awatumbuliwi?

Viongozi wa CHADEMA waliopewa madaraka serikalini kupitia CCM kwanini awatumbuliwi?

Resilience

JF-Expert Member
Joined
Jan 4, 2023
Posts
1,096
Reaction score
4,948
Viongozi waliokulia CCM kila siku wanatumbuliwa kwa utendaji mbovu. Viongozi wote waliokua chadema na vyama vingine wakanunuliwa na kujiunga na CcM hakuna anayetumbuliwa bali wanapata uhamisho wa vituo vya kazi.

Je chadema inaandaa watu waadilifu na wachapa kazi kuliko CCM? Kama ndiyo kwanini CCM wasijifunze au kupeleka wanafunzi kwenye vyuo vya CHADEMA wakajifunze kuliko kupokea kila anayehitimu?
 
Gekul bado ni naibu waziri ,DAS Mwampamba ila wako makini maana wanajua wao ni ng'ombe wasio na mikoa

USSR
 
Mbona Heche soon nae ana graduate kazi yake imeisha huko Kwenye pagale la Mchaga

Chadema ni kijiwe Cha Pandikizi wa Serikali
 
Mbona Heche soon nae ana graduate kazi yake imeisha huko Kwenye pagale la Mchaga

Chadema ni kijiwe Cha Pandikizi wa Serikali
No sooner unatolewa kwenye payroll ya Lumumba buku 7,umepauka mno..jombaa,.sasa unatamani miujiza itokee...kama huu..eti
 
No sooner unatolewa kwenye payroll ya Lumumba buku 7,umepauka mno..jombaa,.sasa unatamani miujiza itokee...kama huu..eti
Nyie ndio mmevamia Jf

Unadhani naandika hovyo bila kuwa na ushaidi?

Nyie mnadhani hayo maduka Kuna wazalendo sio?
 
Back
Top Bottom